NIlipomsikia chalamila anadai iundwe tume kuchunguza lile tukio nikajua kuna mchezo unataka kuchezwa,baadae tukasikia bint kapelekwa kituo cha saikoloji sijui ile ilikua ni njia tu kumficha ili asiseme ukweli ili wapate kulindana,hawa watu karma itawakuta tu
 
Tuko bara la giza ambapo kuna watu wapo juu ya sheria,hii kitu sio afya kama taifa sababu matukio kama yale yanaweza kufanywa tena na tena na mhusika akijua atalindwa kama alivyolindwa mwingine,tunatengeneza taifa la kijinga kwa vizazi vyetu vijavyo
 
Huyu afande mngese anamlinda mtu wake hapa, mmmaamaae zao polisi wa bongo
Huyu alitakiwa kufukuzwa kazi on the spot
Kama tukio lilitokea mei maana yake bint hakutoa taarifa popote na hakuna uchunguzi wa kiforensia uliofanyika.

Kesi itakuwa ngumu sana upande wa dada
 
Sio kulindana, sasa polisi watafanya nini mbele ya wanajeshi? Ukiona hivyo ujue wamepigwa stop. Waendelee tu kuwaonea CDM.
 
Hii nchi wasiojielewa ni raia,
Hili siyo la kwanza na Wala halitakuwa la mwisho..
Si tumekubaliana ni nchi ya amani na mama anaupiga mwingi?
Sawa tuendelee na msimamo wetu muhimu Kila mmoja ale ashibe akojoe akalale...
Mnyonge akiiba kuku tumsulubu mpaka afe lakini wenye kushika mpini waendelee kulindana,ndiyo amani yetu hiyo.
 
Nilishasema humu kuwa hao vijana hawatofanywa chechote kile kwasababu dalili zilionekana mwanzo hakika magufuli atakumbukwa kwa mengi
Huyo ndo kabisa aive na moto kumbuka tukio la mtt wa mwisho alilofanya clouds akaja kusema ahavifanyii kazi taarifa za mtandao huyo ndo si lolote alikua na cycle yake tu unless uwe sio cycle yake
 

Huyo raia mwema hutaki aendelee kuishi,hili jambo Kwa hapo lilipofikia tafsiri yake ni Kuna mtu au watu wanalindwa na siyo wadogo.
Hawagusiki hata na Sheria
 
CCM oyeeeee,kazi iendelee kizimkazi mitano tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…