johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unafananisha Israel na Hamas? 🐼Nina swali moja Hiivi johnthebaptist na Sir John Roberts ni mtu Mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafananisha Israel na Hamas? 🐼Nina swali moja Hiivi johnthebaptist na Sir John Roberts ni mtu Mmoja
Ongezea na ndege JOHN hapo.Nina swali moja Hiivi johnthebaptist na Sir John Roberts ni mtu Mmoja
🤣🤣🤣Unafananisha Israel na Hamas? 🐼
Mwinyi , Kikwete, Samia Suluhu HassanKumbe inawezekana. This is what we were taught at school as "the right to speech". Wow, this is one step foward, tz
Hiyo Katiba sio lazima ifuatwe na watawala mkuu, usisahau hiloHiyo ni Barua ya Police kutaarifu umma utayari wao kulinda na kusimamia maandamano.
Ruhusa ya maandamano haitolewi police,
Ruhusa ya maandamano imetolewa na KATIBA ya nchi.
Usitoe Boko kamanda Erythrocyte
🤣🤣Ongezea na ndege JOHN hapo.
Samia deserves creditsKumbe inawezekana. This is what we were taught at school as "the right to speech". Wow, this is one step foward, tz
Nchi inaongozwa na KATIBA, Si matamshi ya Watawala.Hiyo Katiba sio lazima ifuatwe na watawala mkuu, usisahau hilo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] fala sanaUnafananisha Israel na Hamas? [emoji209]
Huyu secretary aliyeandika hii barua usikute ni form failure!
Shukrani ziende UN na Kwa mabalozi wa USA na EU na Uingereza, bila kumsahau mwanamikakati Bora kabisa tajiri Mbowe🙏This is the biggest step towards Democracy in Tz
Ni kweli inapaswa kuwa hivyo, ila ukweli halisi unaujua.Nchi inaongozwa na KATIBA, Si matamshi ya Watawala.
Niliandika BARUA YA POLISI KUHUSU MAANDAMANO YA CHADEMA HII HAPA , hili ndio tatizo la moderators wa JF wanaedit wasichokijua .Hiyo ni Barua ya Police kutaarifu umma utayari wao kulinda na kusimamia maandamano.
Ruhusa ya maandamano haitolewi police,
Ruhusa ya maandamano imetolewa na KATIBA ya nchi.
Usitoe Boko kamanda Erythrocyte
Jisikilize mwenyewe halafu ujicheke ..!Chadema siyo CCM .Chadema hawajawi kubeba watu na malori .Ni hivi UVCCM tafuteni uzushi mwingi huu hakuna atakaye waaminiMjitahidi kuwa wengi msibebe watu kutoka Manyara kama mlivyofanya Mbeya mkabeba watu kutoka Tanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bila kumsahau mwanaharakati na Mpambanaji Mkuu Mheshimiwa Tundu LIssu.Shukrani ziende UN na Kwa mabalozi wa USA na EU na Uingereza, bila kumsahau mwanamikakati Bora kabisa tajiri Mbowe🙏
Naujua UKWELI,Ni kweli inapaswa kuwa hivyo, ila ukweli halisi unaujua.