eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Barua ambayo imeelekezwa kwa CDM jimbo la Arusha Mjini, wewe unaiweka mtandaoni, kana kwa ni press release. Huo ni ujuha. Toa hapa hii barua, ibaki kwenye file.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niitoe haraka , asante kwa ushauriBarua ambayo imeelekezwa kwa CDM jimbo la Arusha Mjini, wewe unaiweka mtandaoni, kana kwa ni press release. Huo ni ujuha. Toa hapa hii barua, ibaki kwenye file.
Wahuni ni watu wabaya sana MkuuBado anajiuliza, dereva aliyeshika break ya nyundo kwenye msafara wake ghafula alionao nini!!
Ushabiki tuWanakuwa wanatuchanganya waandamanaji tunakuwa hatuwezi kuongea lugha moja
Eti🤣🤣🤣🔊Ruhusa imetolewa ila waandamanaji sasa labda mkodi kutoka Kenya hapo
Kwa ajali iliyotokea jana hapa Arusha nawaomba msitishe maandamano ni ombi
Hayana mvuto kwakoTatizo maandamano ya sasa hayana mvuto,
Ajali imeua watu 15 , njaa ya ugumu wa maisha inaua mamia , tutaandamana ila tutavaa vitambaa vyeusiKwa ajali iliyotokea jana hapa Arusha nawaomba msitishe maandamano ni ombi
Sishauri maana hii haitakuwa na afya bora isogezwe hata kwa siku 3, nipo Arusha hali halisi ni mbaya kwa wananchi watu 25 kufa + majeruhi ni balaa lakini ni ushauri wangu.Ajali imeua watu 15 , njaa ya ugumu wa maisha inaua mamia , tutaandamana ila tutavaa vitambaa vyeusi
Wasije ingilia msafara kama walivyo fanya Mbeya. Hapa tuta pasua pasua magari. Maana hatutaki uchokozi.
Kubali ukatae,hyo aina ya maandamano haiwezi kumtikisa mtawala..hayo yanafanana na matembezi ya Hisani.Hayana mvuto kwako
jamaa alijua atapendwa awe igipiii kumbe kuna wapendwa zaidiHivi yuko wapi yule Mkuu wa Polisi wa enzi za Magufuli aliyekuwa akitembea na Ilani ya CCM.