Usisahau hiyo katiba huwa wanaifuata pale tu wanapotatua tofauti baina yao.Naujua UKWELI,
2020 walijichagua wenyewe majimbo yote,
Walipokuja kusoma Katiba, wakagundua kuwa Haiwezekani kuunda Serikali katika Nchi ya vyama vingi bila KAMBI RASMI YA UPINZANI.
Kilichotokea ni kwenda kuwateka wabunge Ili wapewe ubunge wa lazima mambo yaende.
Ndo hapo UKWELI unabakia pale pale kuwa,
Wanaosema KATIBA ni kijitabu, kijitabu hicho hicho ndicho kulitatua mzizi wa nani awe Rais baada ya msiba wa March 2021.
Hii imeenda. Halafu Magamba waje kudenyuka hapa kwamba CHADEMA wanaandamana kiharamu. Migamba ni mijitu ya ajabu sana.
Polisi kwenye masuala ya uandishi unaweza ukacheka hadi ukachana mbavu , ni sifuri yenye masikioHuyu secretary aliyeandika hii barua usikute ni form failure!
Hiyo namba 6, alimaanisha nini kusema "nawatakiwa"?!
Jinai haifi,Usisahau hiyo katiba huwa wanaifuata pale tu wanapotatua tofauti baina yao.
Ila ikiwa ni kwa wapinzani wao, wanaisigina bila huruma.
Nilidhani ni kile kibao Cha,
Na waliokutwa na hatia na kufungwa umewaona?Jinai haifi,
Nimeona Kwa macho yangu wazee waliowahi kuwa viongozi wakipandishwa kizimbani kujibu case walizotenda wakiwa uongozini miaka mingi ilopita.
Afrika hawafungwi,Na waliokutwa na hatia na kufungwa umewaona?
Huyo Robert ni pandikizi la PakaNina swali moja Hiivi johnthebaptist na Sir John Roberts ni mtu Mmoja
Yaani 'Karma' huwaadhibu sio ?Afrika hawafungwi,
Hufariki kabla ya muda wao, sijui kama umelielewa hili.
Kama karma inamaanisha Judgement, ni sawa.Yaani 'Karma' huwaadhibu sio ?
Matembezi Yana kishindo Hadi kutaka kuingiliwa na Biteko.Matembezi yataanzia wapi
Tatizo kwenye hayo matembezi huwa tunajitokeza watu 60 tu wengine huwa mnakua wapi? Jitokezeni tufike hata 100 basi wazee tujipange mistari 10 ya watu 10Matembezi Yana kishindo Hadi kutaka kuingiliwa na Biteko.
Na Kwa taarifa Yako,
Maandamano hayo ni non stop Hadi uchaguzi.
Kufikia June tu hapo, kama ni mto, utafurika na kutapika.Tatizo kwenye hayo matembezi huwa tunajitokeza watu 60 tu wengine huwa mnakua wapi? Jitokezeni tufike hata 100 basi wazee tujipange mistari 10 ya watu 10
Kila goti litapigwa......Milele amina
Mungu ni mwemaMatembezi Yana kishindo Hadi kutaka kuingiliwa na Biteko.
Na Kwa taarifa Yako,
Maandamano hayo ni non stop Hadi uchaguzi.
Tangu zamani ndio kisingizio chao. Lakini Chadema ime wa prove wrong kwa hilo.Mbona anarudia rudia sana hilo neno amani anapagawa na nini?
Ulitaka yakuvutie kwani ni Mpenzi huyo? We endelea kula kulala bureTatizo maandamano ya sasa hayana mvuto,