Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Yaani hata utuite majina yote, hatuachi kudemand picha😅Najua kuna wapuuzi wataomba picha ya nyuki. SINA!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hata utuite majina yote, hatuachi kudemand picha😅Najua kuna wapuuzi wataomba picha ya nyuki. SINA!!
Mkuu sumu ya Nyuki hata ukingatwa mgongoni Kama itaingia kiasi kuzuri na nyuki wa kutosha watakung'ata kukuimbia haleluya lazmaHii chai ya Mufindi pale Mtwango!!!,okay in a seriously note,ukishambuliwa na nyuki hit the ground haraka sana,protect uso wako
Yeah ,yaani ni uongo uongo uongo, hasa wale wavaa nguo za kijani, yaani ni waongo suguKwani mmezoea sana kudanganywa ee?!!!
haisaidii hii mbinu unless ni wale nyuki wanaosafiri ila waliovurugwa hata ukiingia kwenye maji wanabaki juu wanakusubiri hadithi za mtaani zinagharimu sana uhaiHii chai ya Mufindi pale Mtwango!!!,okay in a seriously note,ukishambuliwa na nyuki hit the ground haraka sana,protect uso wako
Kibondo HukoMihambwe mkuu
Wana wakaanza kupambania uhai...nyuki ni wapumbavu walishawahi kunidhalilisha katikati ya mji
walinishukia toka juu jengo nikakumbuka ile mbinu ya kulala chini ili wapite bhana kumbe walikua siwapitaji niliona swarm of killler bees linanishukia pale mavumbini nilipojilaza nikaona kukimbia napo ni mbinu ya kivita nilitoka nduki nikiwalenga bodaboda waliokua karibu yangu lengo likiwa kuwagawana nyuki ili mbinu ilifanya kaz nilivowapita tu wale bodaboda mimi nikapumua wana wakaanza kupambania uhai wao
Nyuki noma. Nina bibi yangu mwaka jana November alishambuliwa na mzinga wote wa nyuki kwa muda mrefu raia walijaribu kumtoa wafail.nyuki ni wapumbavu walishawahi kunidhalilisha katikati ya mji
walinishukia toka juu jengo nikakumbuka ile mbinu ya kulala chini ili wapite bhana kumbe walikua siwapitaji niliona swarm of killler bees linanishukia pale mavumbini nilipojilaza nikaona kukimbia napo ni mbinu ya kivita nilitoka nduki nikiwalenga bodaboda waliokua karibu yangu lengo likiwa kuwagawana nyuki ili mbinu ilifanya kaz nilivowapita tu wale bodaboda mimi nikapumua wana wakaanza kupambania uhai wao
Tunaomba jina la kijiji tupeleke dawa kumnusuru majeruhiNajua kuna wapuuzi wataomba picha ya nyuki. SINA!!
Ila na wao hanaogopa nyukiDuh aiseee polisi wanaogopwa kila kona
[emoji51][emoji51][emoji854][emoji854][emoji55][emoji55]nyuki ni wapumbavu walishawahi kunidhalilisha katikati ya mji
walinishukia toka juu jengo nikakumbuka ile mbinu ya kulala chini ili wapite bhana kumbe walikua siwapitaji niliona swarm of killler bees linanishukia pale mavumbini nilipojilaza nikaona kukimbia napo ni mbinu ya kivita nilitoka nduki nikiwalenga bodaboda waliokua karibu yangu lengo likiwa kuwagawana nyuki ili mbinu ilifanya kaz nilivowapita tu wale bodaboda mimi nikapumua wana wakaanza kupambania uhai wao
Polis waache ukora waishi vyema na jamii ili wasiogopwe bali wapewe ushiriiano katika kulinda usalama.Ni kwamba polisi walikuwa wanapita na msafari wao tu. Mara, karibu na kijiji fulani, wakamuona mwanakijiji, aliyeonekana kama anatoka shamba, akishambuliwa vibaya na nyuki.
Wakiaa hawana uzoefu wa hao wadudu, wakaona wasijihatarishe na wao bali wakimbie haraka wakawahabarishe wanakijiji wenzake ili waje kutoa msaada kwa mwanakijiji mwenzao.
Walipofika kijijini na kusimamisha gari tu, wanakijiji wote wakaanza kutimua mbio bila hata kungoja polisi wanataka kusema nini.
Polisi wakabaki kwenye mshangao wasijue la kufanya na kuondoka kurejea kule alikoshambuliwa yule mwananchi. Walifanikiwa kumkuta hai lakini akiwz hoooi musa wowote, kwa hali yake, linaweza kutokea lolote.
Hivi kwanini hivi?!! Nini kidanyike?
Umenikumbusha tulikuwa kwenye harusi moja Malangali shooter wa video akaenda sehemu ili apate picha nzuri za maarusi wakitoka kwenye gari kuingia kanisani, kumbe chini kwenye majani kuna siafu, bila kujua ametoka hapo kaingia kanisani wakaanza kumtafuna ndani kwa ndani akatelekeza camera kwenda kutafuta washroom akakuta kumefungwa, mwisho akakubali liwalo na liwe yaishenyuki ni wapumbavu walishawahi kunidhalilisha katikati ya mji
walinishukia toka juu jengo nikakumbuka ile mbinu ya kulala chini ili wapite bhana kumbe walikua siwapitaji niliona