Polisi watatu wafungwa miaka 20 jela kwa Rushwa

Sabaya walimchomoa kumbe kwenye hii kesi
 
Nimeamini dhambi nilizo nazo ni ndogo sana ukilinganisha na wahalifu wengine ambao huenda wakawa kuni za kuchochea moto huko kuzimu.
 
Hata hukumu ya kifo ingetosha pia. 😭
 
Kilichomsaidia profesa itakua ana connection na kigogo serikalini la sivyo ndio alikua anaenda na maji kwa kesi ya kusingiziwa,wengi sana wamebambikiwa kesi kama hizo kwa maslahi ya polisi wachache wasio waaminifu
Alikuwa lecturer wa Sirro chuo kikuu
 
Ingependeza zaidi na mwendazake kabuli lake lipigwe pingu kwa miaka 20.




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…