Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Legacy...Magufuli amefariki tarehe 17/3/2021 hao wamefanya tukio tar 19/3/2021 sasa marehemu anahusikaje au lazima uzi ulikuwa upate like na coment nyingi lazima umtaje marehemu,kazi yake ya kitume alikwisha imaliza hayupo tena muache apumzike kwa amani huko aliko!
Ujinga wako unakutesa wew mtume mtu Leo kisha ufe uone km atafanyaAlikwisha toa maelekezo mapema
Nadhani wewe ndo ujinga wako unakuzuia kujua kuwa hata wao zoezi lilikuwa linawanufaishaUjinga wako unakutesa wew mtume mtu Leo kisha ufe uone km atafanya
Tusameheane bosi mkubwa kwenye ujumbe wangu wa mwanzo nilikosea kusema wewe mjinga, ila pointi yangu ilikuwa siasa za kuzushiana ni mbaya sana maana zinatuondoa kwenye kijadili mambo ya maana yenye maendeleo kwa nchi yetuWewe unaonyesha kiwango cha uhaya*ani kwa familia yako kuanzia kwa aliekuzaa mpaka mtoto yako
Nipe huo uthibitisho wa Magufuli kuwahimiza hao jamaa wakaibe..Magufuli ni kama alikuwa akiwa embolden, akiwapa ujasiri polisi kufanya uhalifu
Kwenye hotuba zake nyingi tu alikuwa akisikia akiwaambia polisi kupiga, na hata kuua watuhumiwa
- Umeshindwa kutofautisha wizi wa tabia na wizi wa kutumwa, naona unaandika vitu jumla jumla tu, nimeshakwambia; kama hao polisi walifanya hivyo bila ya uwepo wa Magufuli, huo ni uthibitisho hiyo ilikuwa tabia yao, na hizo pesa walizichukua wao.Wewe ndiye unayestahili kutafakari kwa kina.
Kama ungekuwa unatafakari kwa kina ungejiuliza:
1) Kwa nini matukio kama hayo ya kumkamata mtu ambaye ana hela yake benki, anatishwa na polisi na viongozi wateule wa Rais kubambikiwa kesi wasipowapa pesa, kisha analazimishwa na hao polisi na kusindikizwa mpaka benki, pesa inachukuliwa kwa uimamizi wa polisi, mteule wa Rais au Polisi wanaondoka na hiyo pesa, yalifanyika wakati wa utaeala wa Magufuli tu? Hayakuwahi kuwepo kabla wala baada yake. Imethibitika, alifanya hivyo Sabaya, na sasa hawa maafisa wa polisi.
2) Kwa nini, ni wakati wa utawala wa Magufuli pekee, watu wote waliodhihirika kumkosoa Rais au Serikali yake, ama waliuawa, ama walitekwa ama walishambuliwa kwa risasi, na kunusurika kwa kudra za mwenyezi Mungu?
3) Ni wakati gani, zaidi ya wakati wa uongozi wa Magufuli, kuliwahi kutokea miili ya watu inatupwa kwenye viroba kwenye fukwe za bahari na mito, siyo mtu mmoja na siyo mara moja, na Serikali inagoma kufanya uchunguzi?
Ni dhahiri kuwa hayati MAGUFULI, hata kama hakuwaamrisha wafanye hivyo, lakini binafsi hakuumizwa wala kusikitishwa na chochote pale ambapo wateule wake au watu ambao yeye anawatumia katika uongozi wake wa kikatili, wakiendeleza ukatili kwa watu wengine. Ni sawa na Mobutu Seseseko wa Zaire aliyewaambia askari kuwawanawezaje kumwomba yeye awaoongezee mshahara wakati amewapa bunduki, akimaanisha bunduki alizowapa zinaweza kutumika katika kuwapa pesa.
Tukubaliane jambo moja, Magufuli alikuwa mchapa kazi sana lakini alikuwa mtu KATILI SANA.
Magufuli kwenye assessment ya haraka:
1) Haki za binadamu 20%
2) Demokrasia 0%
3) Utawala wa sheria 10%
4) Uchapa kazi 80%
5) Ujasiri na kujiamini 80%
Marehemu alikuwa na tatizo kubwa sana kwenye kuheshimu haki za watu na demokrasia.
Ni dhahiri marehemu aliyapenda majitu katili kwenye utawala wake, ndiyo aliyapatia madaraka.
Hata na Rais wa wanyonge?Toka nchi ipate uhuru hakuna mtu wa hali ya chini ambaye kwenye target zao uwa anatendewa haki
Hapa Faizafoxy sijui atasemaje sambamba na sakata la wiki iliyopita huko Arusha Bejamini NetanyahuMahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu Askari Polisi watatu wa zamani wa Jeshi hilo Mkoa wa Arusha ( Inspekta Hillary Ferdinand Komba, Bartholomeo Augustine Maya na PC Apornary Proches Burretta ) kifungo cha miaka 20 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka.
Kosa lao hilo la matumizi mabaya ya madaraka walilifanya tarehe 19 March 2021 walipokwenda nyumbani kwa Profesa Justin Maeda Wilayani Arumeru, Arusha na kufanya upekuzi pasipo kufuata utaratibu kisha kutumia nguvu na kumchukua Profesa huyo hadi kwenye Benki mbili pamoja duka lake moja la vifaa vya ujenzi walikomlazimisha atoe pesa ( anazodai ni milioni 100) na kuwapatia ili wasimfikishe kwenye vyombo vya sheria wakimtuhumu kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo na ngozi ya chui.
Asipotaja mwamba kasred kake hakatavutia, pia yamkin vyeti feki group hawa watu wa vyeti feki hawajawah kupoa maumivu yao dhidi ya Chuma JPM.Magufuli alifariki March 17, 2021, wakati hilo tukio limetokea March 21, 2021. Kumbe marehemu anaweza kuwatuma watu?!
Msiwe mnakurupuka kuanzisha thread bila kwanza kufanya uchunguzi wa kina, na wengine nao kushangilia kama kasuku bila kufanya uchunguzi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Subiri za awamu hii na zenyewe akisha toka madarakani mtakuja kufunuliwa na kuona vishindo vya upigaji mshangilie hivi hivi
Acha ujinga wewe chawa. Magufuli alikuwa dikteta na chawa kuliko unavyoweza kudhani 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇Moderator badilisheni heading. Mungu ndiye anafahamu jinsi Dkt Magufuli alivyokuwa mzalendo kwa wananchi wake. Hao walikuwa wahalifu kama alivyo wahalifu wa mitaani na Dkt Magufuli alishafariki hayupo na kumhusisha ni kumkosea heshima
Kwa awamu hii, yumkini haupo uporaji wa pesa za watu mitaani, wanakomba tokea jikoni, na madeal ya kuuza rasilimali za nchi. Hawampori mtu mmoja mmoja kwa sababu hela itakuwa ndogo, wanawapora Watanzania wote kwa pamoja.Subiri za awamu hii na zenyewe akisha toka madarakani mtakuja kufunuliwa na kuona vishindo vya upigaji mshangilie hivi hivi
Wamepata haki yao ya kikatibaHapa Faizafoxy sijui atasemaje sambamba na sakata la wiki iliyopita huko Arusha Bejamini Netanyahu
Yale yale ya Sabaya. Tarehe 19 march 2021 ni siku 2 tu baada ya kifo cha jiwe.Askari hao walimtaka awape kiasi hicho cha pesa lasivyo atashtakiwa kwa uhujumu uchumi na walimtisha kuwa jela inamuhusu,