Polisi watatu wafungwa miaka 20 jela kwa Rushwa

Polisi watatu wafungwa miaka 20 jela kwa Rushwa

Askari hawa walikuwa wakifanya mambo aliyokuwa anayependa Magufuli kipindi chake . ================================================= View attachment 2864210
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu Askari Polisi watatu wa zamani wa Jeshi hilo Mkoa wa Arusha ( Inspekta Hillary Ferdinand Komba, Bartholomeo Augustine Maya na PC Apornary Proches Burretta ) kifungo cha miaka 20 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka.


Kosa lao hilo la matumizi mabaya ya madaraka walilifanya tarehe 19 March 2021 walipokwenda nyumbani kwa Profesa Justin Maeda Wilayani Arumeru, Arusha na kufanya upekuzi pasipo kufuata utaratibu kisha kutumia nguvu na kumchukua Profesa huyo hadi kwenye Benki mbili pamoja duka lake moja la vifaa vya ujenzi walikomlazimisha atoe pesa ( anazodai ni milioni 100) na kuwapatia ili wasimfikishe kwenye vyombo vya sheria wakimtuhumu kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo na ngozi ya chui.


Profesa Maeda kwenye mahojiano ya @AyoTV_ April 2021 alisema Askari hao walimtaka awape kiasi hicho cha pesa lasivyo atashtakiwa kwa uhujumu uchumi na walimtisha kuwa jela inamuhusu, kitisho ambacho kilimfanya awape pesa hiyo harakaharaka ili kuepuka kupelekwa mahabusu au jela akihofia hali yake mbaya ya kiafya aliyokuwa nayo wakati huo.


Japokuwa Profesa Maeda alidai kuwapa Askari hao milioni 100 kwa tuhuma hizo alizodai ni za uongo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikitoa hukumu kwa Askari hao leo imesema kiwango cha pesa walichokichukua kwa Profesa huyo ni shilingi milioni 73.


Sakata hili la Askari hao watatu liligundulika kwenye Vyombo vya dola baada ya Profesa Maeda ( pichani kulia) kujitokeza na kufikisha malalamiko yake kwa Vyombo hivyo ikiwemo TAKUKURU na Jeshi la Polisi ambalo baada ya uchunguzi wake liliamua kuwafukuza kazi Askari hao mwezi mmoja baadae. #MillardAyoMAHAKAMANI
Magufuli ameingiaje hapo kama siyo ujinga wako wewe. Kosa wametenda march 19 ,2021 Magufuli alituaga march 17. Wewe ni mjinga na shetani anayeishi .
 
Magufuli alifariki March 17, 2021, wakati hilo tukio limetokea March 21, 2021. Kumbe marehemu anaweza kuwatuma watu?!

Msiwe mnakurupuka kuanzisha thread bila kwanza kufanya uchunguzi wa kina, na wengine nao kushangilia kama kasuku bila kufanya uchunguzi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Maana yake walizoeshwa kubambikia watu kesi kitu ambacho boss wao alikuwa anahusudu sana.

Umesahau Magufuli aliruhusu rushwa hadharani aliposema askari wa usalama barabarani wachukue hela kwa madereva kwa ajili ya ku brashia viatu?

Huoni huko ni kuhalalisha rushwa?
 
Magufuli amefariki tarehe 17/3/2021 hao wamefanya tukio tar 19/3/2021 sasa marehemu anahusikaje au lazima uzi ulikuwa upate like na coment nyingi lazima umtaje marehemu,kazi yake ya kitume alikwisha imaliza hayupo tena muache apumzike kwa amani huko aliko!
Marehemu aliwazoesha kufanya dhuluma ndiyo maana wakawa wanaishi kwenye kivuli chake.
 
Walitakiwa wapate Mvua 30 na kuendelea kitendo cha kwenda kutupa kipande cha Jino la Tembo kwenye shamba lake ni kosa kubwa sana na je hao Polisi kupatikana na Jino la Tembo sio kosa walilipata wapi mpaka kulitumia mbona kama kesi imefunikwafunikwa majani...
Unauliza ngozi ya fisi kwa mganga
 
Bado Bashite. Sabaya naye ni vile tu kutakuwa kuna nguvu kutoka juu itakuwa imetumika kumchomoa. Maana alishakula tayari mvua zake 30.
 
Kubambikiana kesi kupo toka hata Magu hajawa Rais, nakumbuka kipindi cha Jakaya,watu walikua wanawekewa viungo vya albino uwani kwao,alafu ghafla police eti wanakuja na wanataka kupekua nyumba,na walivyokua wajinga wakiingia ndani tu,wao hao moja kwa moja kwenye mtego wao waliotega na kuibua kizibiti, na hapo ndiyo sasa maongezi ya pesa yanaanza! Kuna police wengine Mungu atawaazibu vibaya sana kutokana na matendo yao!!
Sema enzi za Magu walizidi sana mpaka baadhi ya Wakuu wa Wilaya wakawa wanatembea na kikosi kazi eti wanakagua EFD mashine leo hii wanatembea kwa kujifichaficha hawa Vima watakata Rufaa watatoka kwa rufaa si unajua Nchi yetu..
 
Mboba inaonekana uliyekurupuka ni wewe?

Usiwe unakimbilia ku-comment bila ya kusoma vizuri na kuelewa. Rudia tena kusoma mada, halafu urekebishe comment yako iliyolalia kwenye maelezo ya kutoielewa mada.


"Kosa lao hilo la matumizi mabaya ya madaraka walilifanya tarehe 19 March 2021 walipokwenda ....".

Tarehe 21 umeitoa wapi?

"Askari hawa walikuwa wakifanya mambo aliyokuwa anayependa Magufuli kipindi chake ."

Wapi mleta mada amesema hao askari walikuwa wametumwa na Magufuli? Tabia ikijengeka kipindi fulani, kwa uelewa wako, huwa inakufa ghafla?
Ok fine, tuondoe hiyo 21 tuweke 19, kuna kingine chochote kinachobadilika kwenye mantiki kuwa Magufuli alifariki tarehe 17 March?

Uzi wa mleta mada hauna maana hata kama nilikosea kuweka tarehe sahihi. Magufuli alikuwa ameshafariki wakati wa tukio la uporaji wa hao polisi.

Suala la uporaji ni tabia ya wahusika, wala sio kutumwa na mtu kama mnavyotaka kulazimisha iwe, kwasababu kama wangekuwa wanatumwa, basi wangeacha kwenda baada ya kifo cha Magufuli.

Wezi wasitetewe kwa kumtoa kafara Magufuli, hiyo ni tabia ya mtu personally, hivyo sioni sababu ya kutumia jina la Magufuli kwenye huu uzi zaidi ya chuki binafsi, sijakurupuka popote.

Sijui una ushahidi gani Magufuli alikuja kuwafundisha hao wezi tabia zao, na wala sio walikuwa nazo kabla ndio maana wakaendelea nazo hata baada ya kifo chake, mjifunze kutafakari kwa kina.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Magufuli alifariki March 17, 2021, wakati hilo tukio limetokea March 21, 2021. Kumbe marehemu anaweza kuwatuma watu?!

Msiwe mnakurupuka kuanzisha thread bila kwanza kufanya uchunguzi wa kina, na wengine nao kushangilia kama kasuku bila kufanya uchunguzi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Walitembea na upepo wa marehemu Pana watu Wana asili ya roho mbaya TU Hadi kesho hata maofisini wamejaa ujioo wa jiwe uliamsha roho zao
 
Askari hawa walikuwa wakifanya mambo aliyokuwa anayependa Magufuli kipindi chake . ================================================= View attachment 2864210
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu Askari Polisi watatu wa zamani wa Jeshi hilo Mkoa wa Arusha ( Inspekta Hillary Ferdinand Komba, Bartholomeo Augustine Maya na PC Apornary Proches Burretta ) kifungo cha miaka 20 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka.


Kosa lao hilo la matumizi mabaya ya madaraka walilifanya tarehe 19 March 2021 walipokwenda nyumbani kwa Profesa Justin Maeda Wilayani Arumeru, Arusha na kufanya upekuzi pasipo kufuata utaratibu kisha kutumia nguvu na kumchukua Profesa huyo hadi kwenye Benki mbili pamoja duka lake moja la vifaa vya ujenzi walikomlazimisha atoe pesa ( anazodai ni milioni 100) na kuwapatia ili wasimfikishe kwenye vyombo vya sheria wakimtuhumu kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo na ngozi ya chui.


Profesa Maeda kwenye mahojiano ya @AyoTV_ April 2021 alisema Askari hao walimtaka awape kiasi hicho cha pesa lasivyo atashtakiwa kwa uhujumu uchumi na walimtisha kuwa jela inamuhusu, kitisho ambacho kilimfanya awape pesa hiyo harakaharaka ili kuepuka kupelekwa mahabusu au jela akihofia hali yake mbaya ya kiafya aliyokuwa nayo wakati huo.


Japokuwa Profesa Maeda alidai kuwapa Askari hao milioni 100 kwa tuhuma hizo alizodai ni za uongo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikitoa hukumu kwa Askari hao leo imesema kiwango cha pesa walichokichukua kwa Profesa huyo ni shilingi milioni 73.


Sakata hili la Askari hao watatu liligundulika kwenye Vyombo vya dola baada ya Profesa Maeda ( pichani kulia) kujitokeza na kufikisha malalamiko yake kwa Vyombo hivyo ikiwemo TAKUKURU na Jeshi la Polisi ambalo baada ya uchunguzi wake liliamua kuwafukuza kazi Askari hao mwezi mmoja baadae. #MillardAyoMAHAKAMANI
enzi za shujaa
 
Walitembea na upepo wa marehemu Pana watu Wana asili ya roho mbaya TU Hadi kesho hata maofisini wamejaa ujioo wa jiwe uliamsha roho zao
Atleast wewe umeiweka vizuri, wengine wana mihemko tu, wanalazimisha ionekane Magufuli ndio alikuja kuwafundisha wizi hao jamaa, ushabiki tu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Magufuli alifariki March 17, 2021, wakati hilo tukio limetokea March 21, 2021. Kumbe marehemu anaweza kuwatuma watu?!

Msiwe mnakurupuka kuanzisha thread bila kwanza kufanya uchunguzi wa kina, na wengine nao kushangilia kama kasuku bila kufanya uchunguzi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mada haijasema magufuli aliwatuma. Imesema walifanya kile ambacho magufuli alikuwa anaependa (aliwazoeza). Soma kwa makini.
 
Mboba inaonekana uliyekurupuka ni wewe?

Usiwe unakimbilia ku-comment bila ya kusoma vizuri na kuelewa. Rudia tena kusoma mada, halafu urekebishe comment yako iliyolalia kwenye maelezo ya kutoielewa mada.


"Kosa lao hilo la matumizi mabaya ya madaraka walilifanya tarehe 19 March 2021 walipokwenda ....".

Tarehe 21 umeitoa wapi?

"Askari hawa walikuwa wakifanya mambo aliyokuwa anayependa Magufuli kipindi chake ."

Wapi mleta mada amesema hao askari walikuwa wametumwa na Magufuli? Tabia ikijengeka kipindi fulani, kwa uelewa wako, huwa inakufa ghafla?
Unaitwa mfumo usio rasmi
 
Askari hawa walikuwa wakifanya mambo aliyokuwa anayependa Magufuli kipindi chake . ================================================= View attachment 2864210
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu Askari Polisi watatu wa zamani wa Jeshi hilo Mkoa wa Arusha ( Inspekta Hillary Ferdinand Komba, Bartholomeo Augustine Maya na PC Apornary Proches Burretta ) kifungo cha miaka 20 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka.


Kosa lao hilo la matumizi mabaya ya madaraka walilifanya tarehe 19 March 2021 walipokwenda nyumbani kwa Profesa Justin Maeda Wilayani Arumeru, Arusha na kufanya upekuzi pasipo kufuata utaratibu kisha kutumia nguvu na kumchukua Profesa huyo hadi kwenye Benki mbili pamoja duka lake moja la vifaa vya ujenzi walikomlazimisha atoe pesa ( anazodai ni milioni 100) na kuwapatia ili wasimfikishe kwenye vyombo vya sheria wakimtuhumu kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo na ngozi ya chui.


Profesa Maeda kwenye mahojiano ya @AyoTV_ April 2021 alisema Askari hao walimtaka awape kiasi hicho cha pesa lasivyo atashtakiwa kwa uhujumu uchumi na walimtisha kuwa jela inamuhusu, kitisho ambacho kilimfanya awape pesa hiyo harakaharaka ili kuepuka kupelekwa mahabusu au jela akihofia hali yake mbaya ya kiafya aliyokuwa nayo wakati huo.


Japokuwa Profesa Maeda alidai kuwapa Askari hao milioni 100 kwa tuhuma hizo alizodai ni za uongo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikitoa hukumu kwa Askari hao leo imesema kiwango cha pesa walichokichukua kwa Profesa huyo ni shilingi milioni 73.


Sakata hili la Askari hao watatu liligundulika kwenye Vyombo vya dola baada ya Profesa Maeda ( pichani kulia) kujitokeza na kufikisha malalamiko yake kwa Vyombo hivyo ikiwemo TAKUKURU na Jeshi la Polisi ambalo baada ya uchunguzi wake liliamua kuwafukuza kazi Askari hao mwezi mmoja baadae. #MillardAyoMAHAKAMANI
This was robbery sio rushwa hiyo
 
Mada haijasema magufuli aliwatuma. Imesema walifanya kile ambacho magufuli alikuwa anaependa (aliwazoeza). Soma kwa makini.
Unaweza kuniambia kwanini limetumika jina la Magufuli hapo kwenye hiyo mada, hata baada ya kifo chake?

Lini na wapi Magufuli aliwahi kuwaambia anapenda wizi?

Chuki inapofusha uwezo wa kifikra.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Askari hawa walikuwa wakifanya mambo aliyokuwa anayependa Magufuli kipindi chake . ================================================= View attachment 2864210
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu Askari Polisi watatu wa zamani wa Jeshi hilo Mkoa wa Arusha ( Inspekta Hillary Ferdinand Komba, Bartholomeo Augustine Maya na PC Apornary Proches Burretta ) kifungo cha miaka 20 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka.


Kosa lao hilo la matumizi mabaya ya madaraka walilifanya tarehe 19 March 2021 walipokwenda nyumbani kwa Profesa Justin Maeda Wilayani Arumeru, Arusha na kufanya upekuzi pasipo kufuata utaratibu kisha kutumia nguvu na kumchukua Profesa huyo hadi kwenye Benki mbili pamoja duka lake moja la vifaa vya ujenzi walikomlazimisha atoe pesa ( anazodai ni milioni 100) na kuwapatia ili wasimfikishe kwenye vyombo vya sheria wakimtuhumu kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo na ngozi ya chui.


Profesa Maeda kwenye mahojiano ya @AyoTV_ April 2021 alisema Askari hao walimtaka awape kiasi hicho cha pesa lasivyo atashtakiwa kwa uhujumu uchumi na walimtisha kuwa jela inamuhusu, kitisho ambacho kilimfanya awape pesa hiyo harakaharaka ili kuepuka kupelekwa mahabusu au jela akihofia hali yake mbaya ya kiafya aliyokuwa nayo wakati huo.


Japokuwa Profesa Maeda alidai kuwapa Askari hao milioni 100 kwa tuhuma hizo alizodai ni za uongo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ikitoa hukumu kwa Askari hao leo imesema kiwango cha pesa walichokichukua kwa Profesa huyo ni shilingi milioni 73.


Sakata hili la Askari hao watatu liligundulika kwenye Vyombo vya dola baada ya Profesa Maeda ( pichani kulia) kujitokeza na kufikisha malalamiko yake kwa Vyombo hivyo ikiwemo TAKUKURU na Jeshi la Polisi ambalo baada ya uchunguzi wake liliamua kuwafukuza kazi Askari hao mwezi mmoja baadae. #MillardAyoMAHAKAMANI
Kitu kibaya ni kwamba kesi za jinai kama hizi huwa haziwahusu kabisa viongozi na watu maarufu kama vile Chenge, Sabaya wote Sn & Jr, Bashite, Gekul, Kingai, Siro, n.k.
 
Hiyo ilikuwa ndio staili ya polisi kipindi cha Magufuli, walikuwa bado wapo kwennye legacy yake, kabla Samia hajaapishwa
Polisi siku zote wako hivyo usijaribu kuwa sanitize kwa kuonyesha wapo huvyo kwa Zama fulani.

Huu ni unafiki.
 
Magufuli amefariki tarehe 17 March 2021 kosa limefanyika Tarehe 19 March 2021 pia Taarifa inatoka KANDA iliyomchukia Hayati maana yake nini Chuki ni mbaya sana kikomaa hufakaranisha umoja wa kitaifa.Tuacheni chuki sisi sote ni Watanzania.
Sio kanda ilmchukia magufuli. Magufuli ndiye aliichukia hiyo kanda. Hata alisema wasubiri kwanza/wasahau kwa vile wamechagua wapinzani.
 
Maana yake walizoeshwa kubambikia watu kesi kitu ambacho boss wao alikuwa anahusudu sana.

Umesahau Magufuli aliruhusu rushwa hadharani aliposema askari wa usalama barabarani wachukue hela kwa madereva kwa ajili ya ku brashia viatu?

Huoni huko ni kuhalalisha rushwa?
Kwa hiyo yule Mmeru aliyetaka kumuua mumewe kwa kumkodea majambazi ametumwa na Samia…?
 
Back
Top Bottom