Kwanini asingemuita kwa Wazee wa Kanisa na kumkanya?
Kwanini asingemsema kwa mme wake?
Kwanini asingempuuza tu?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kama angekuwa alishawah kumwambia basi masanja angelisema hilo mapema kabisa,na hata jamaa asingejinyonga maana masanja angemfukuza kanisan mapema tuUnajuaje kama hakuwahi kumwambia mkuu
Msisahau hii ni issue ya waumini na viongozi wa Kanisa inayoweza kuleta mgogoro katika kanisa. Hivyo mama mtumishi atakuwa amejaribu njia za kawaida ikashindikana. Hivyo kumuonyesha dogo kuwa yuko serious akamwendea na mama mzee wa kanisa. Shida iko wapi hapa? Tena afadhali kaenda na shuhuda, angeenda peke yake angeweza kubakwa na kuuwawa kabla dogo hajajiua.
Huyo Masanja achunguzwe, asije akawa ametuma hitmen akiwa huko USA, kuibiwa mke sio kitu kidogo, kwamba Masanja alikuwa hajui kuhusu huko kutongozwa?
Sasa Kwanini asitambe na Mwanamke bado ni mwaminifu. Hajawahi msaliti. Au wewe umeelewaje. Angekula wala asingehangaika kujiua.
Anaonekana ana ugonjwa wa akili. Imaginations zake na utoto umemfanya alipokosa ajiue. Acheni wivu watanzania wenzangu. One is innocent until proven guilty.
Hakuna mahali popote pamepnyesha mke wa Masanja alikuwa na mahusiano. Kwa ajili ya kipumbavu ya Huyu jamaa lazima angepiga picha.
Fili frii hakuna wazee ni vijana tuuMasanja naye anachukuaje kijana mdogo namna hiyo kuwa kama Katibu wa Kanisa, angalau angepata mtu wa rika la juu
kama ni tukio la kupangwa.. waliopanga hawakujipanga na wanapojaribu kujipanga zaidi ndio wanazidi kuvurugaMimi nadhani huyo mwanamke Kuna Jambo ameficha.
What if kukimbia kitu..?? Mpelelezi yeyote hii ishu hawezi iweka kwa watu hawa watatu mke, mume na katibu... Lazima aende mbali zaidiKwenye hi kesi supect namba moja ni masanja. Kwanini amesafiri kwenda nje halfu baadae katibu wa kanisa anafariki.
Wanamuonea Monica, pengine Hata mke wa marehemu kamuua mumewe na kuiframe hio barua ili monica na mumewe wawe suspectsMsisahau hii ni issue ya waumini na viongozi wa Kanisa inayoweza kuleta mgogoro katika kanisa. Hivyo mama mtumishi atakuwa amejaribu njia za kawaida ikashindikana. Hivyo kumuonyesha dogo kuwa yuko serious akamwendea na mama mzee wa kanisa. Shida iko wapi hapa? Tena afadhali kaenda na shuhuda, angeenda peke yake angeweza kubakwa na kuuwawa kabla dogo hajajiua.
Hapa kuna swali,mama mchungaji katongozwa na kakataa(kama inavyodaiwa) sasa kuna sababu ipi ya kumfanya ASAMEHEWE??Nampongeza masanja kwa kumsamehe mke wake. Sasa amtumikie Mungu wake kiukweli. He is a real man!
Huyo msukuma wake ni chotara sio msukuma halisiMwamba alikua anajiona Tanzania nzima yeye ndio kaoa mwanamke bora.
"Msukuma wangu Msukuma wangu"
Kwamba mkeo aliliwa ukamsamehe ama sijakuelewa vizuri!!??ongeza sauti
Ibada ya mazishi iliongozwa na Masanja au?Kuna taarifa zinasambaa kwamba Masanja na mkewe watakamatw kwa ajili ya uchunguzi zaidi kuhusiana na kifo cha katibu wake wa kanisa
Inasemakana kwamba katibu uyo a kanisa la masanja wala hakujinyonga bali alinyongwa na kisha kuzusha kwamba amejinyonga
Nb tayari mwili wa Marehemu umeishazikwa, mwili huo umezikwa jana
Text mpaka umfuate MTU nyumbani?Hii taarifa ya polisi inasema masanja na mama mwingine walimfuata marehemu nyumbani kumuambia aache kutume texts za kumtaka!
Mbn km siyo yeye yuleAlafu kuna kideo cha mama mchungaji kinazunguka mitandaoni. Huwezi amini noma kweli
Pastor Rose ShabokaHuyo mama mtu mzima ni nani