Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Yaani mtu ujinyonge kwa kukataliwa na mke wa bosi wako?
Inawezekana Masanja alipogundua akamlazimisha mke wake aende ajifanye anamkataza kumitumia msg za mapenzi
Au inawezekana Kuna picha mbaya za mke wa Masanja huyo katibu alikuwa nazo labda akatishia kuzitoa hadharani labda masaanja akaona reputation yake itaharibika wakaamua kummaliza
 
We hujui kuwa huyo ndiye mshauri na mlezi wa Monica?

Rose ni mtu Mzima kiroho Ila kimwili bado hajazeeka
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Rose nimesoma naye Sasa uliposema mtu mzima umenitia unyonge ina maana na Mimi ndio nimekuwa mtu mzima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anyways nimeshazeeka hata hivyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huna Akili kama Kukaziwa Mke Kwako Juha Wewe ni Kawaida tuanikie ( tuwekee ) hapa Namba za Simu za Mkeo ili 'tukukazie' Hadi 'mtaroni' Kwake tuone kama hutochukia na utasamehe.

Mnafiki mkubwa Wewe........!!!!!!!
 
nawaomba wanaume walioa ukiona mchepuko wa mkeo usikasirike au kutafuta mauwaji,sasa hivi wake za watu wapo njenje sana hawamkatai mtu kuweni wavumilivu
 

watakuuwa weww kwanza nakukutombea watakutombea mtu anaegombana kwa ajili kafumania ni mshamba
 
Ile hadithi ya mkono wa baunsa inajirudia kwa Masanja. Kule tuliambiwa video ni feki, tukapigwa na marufuku ya kuiongelea, huku tunaambiwa jamaa hakula mzigo ila ilikuwa ni hatua za mwanzo za maombi ya mzigo.

Asanteni polisi kwa kupoza mambo, angalau watu watasahau kama lile la mkono wa baunsa.

Maisha na yaendelee, story closed
 
N
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Rose nimesoma naye Sasa uliposema mtu mzima umenitia unyonge ina maana na Mimi ndio nimekuwa mtu mzima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anyways nimeshazeeka hata hivyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimesema ni mtu mzima 'kirihoy' ina maana wewe huelewi baba au mama wa kiroho alivyo?

Rose ana watoto wengi sana wa 'kiroho', hata Monica ni mwanaye wa kiroho
 
Huna Akili kama Kukaziwa Mke Kwako Juha Wewe ni Kawaida tuanikie ( tuwekee ) hapa Namba za Simu za Mkeo ili 'tukukazie' Hadi 'mtaroni' Kwake tuone kama hutochukia na utasamehe.

Mnafiki mkubwa Wewe........!!!!!!!
OK tough guy, siku wakikukazia wa kwako (kisha kazwa kwanza hujui tuu ) mtandike risasi tuu then watafute waliokukazia uwatembezee kichapo, ukimaliza njoo uweke matokeo hapa, nina uhakika utakuwa jela au umeokotwa kwenye mtaro na wanao watakuwa wanaishi na bibi yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…