Kinaeleweka
Senior Member
- Nov 10, 2014
- 153
- 121
Kuna kitu katika hiliPolisi inshort wameelezea last part ya barua.. Mwanzoni wa barua ya marehemu inashukuru kwa penzi zito alilompa na waliwekeana ahadi na marehemu aliiweka moyoni ..ila kitendo Cha kumwacha kimemuumiza Sana...So polisi wanaelezea tu last part ya kukataliwa mengine hawaweki wazi...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama hicho,Wanamuonea Monica, pengine Hata mke wa marehemu kamuua mumewe na kuiframe hio barua ili monica na mumewe wawe suspects
Si kwa sababu alitongozwa na kwenda kumkataza marehemu nyumbani kwake akiwa na mama mwingne.Hujaona sababu tuHapa kuna swali,mama mchungaji katongozwa na kakataa(kama inavyodaiwa) sasa kuna sababu ipi ya kumfanya ASAMEHEWE??
Kashasema,atamwacha mke wake au kumsamehe mkuu.Usimwamulie cha kufanya utakacho weweHuna Akili kama Kukaziwa Mke Kwako Juha Wewe ni Kawaida tuanikie ( tuwekee ) hapa Namba za Simu za Mkeo ili 'tukukazie' Hadi 'mtaroni' Kwake tuone kama hutochukia na utasamehe.
Mnafiki mkubwa Wewe........!!!!!!!
Usipofikiri,ni rahisi kuona hivoSijaona kosa la mke wa masanja .. binafai.. hakuna mwanamke asietongozwa.. sasa mnamlaumu yeye anakosa gan?. Katongozwa kakataa bwege limejiua..
Kesi ilishaisha mkuuMasanja hatoboi hii kesi watu washaweka pesa za kumframe .. yeye utajir alioupata wa siri ndo huu unamtafuna. Kama alibeba sembe halaf akatokomea nayo akawa bilionea sasa waliolizwa wamekuja kivingne.. au kama watu waliwekeza pesa kwake halaf yeye akadhulum na kuwa tajir na kujificha kwenye kivul cha uchungaj. Sada wamekuja kivingne na watamframe hii kesi hachomok. Nakaaa paleee
Umeongea kwa uchungu sana 😂😂Sasa hv ataigiza kuwa amemsamehe na yamekwisha ila ndani ya nafsi yake hataweza kumsamehe, kila akimuona huyo mwanamke ...
😜 sa mbona hukuja?Jana ukanichinjia ziwani[emoji24][emoji38]
uwanaume sio kumsamehe mkeo aliyeto** nje hlfu huyo aliyejilia anajinadi kwa penzi tamu alilopewa..Kijana usiwe mzembe mzembeNampongeza masanja kwa kumsamehe mke wake. Sasa amtumikie Mungu wake kiukweli. He is a real man!
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee kipindi cha ujahilia nikagundua mchepuko wangu una mchepuko wake daaah, inauma balaa.. hii kitu bora usimuliwe tuSasa hv ataigiza kuwa amemsamehe na yamekwisha ila ndani ya nafsi yake hataweza kumsamehe, kila akimuona huyo mwanamke...
PointPolisi wamerahisisha sana hili zoezi! Unathibitisha vipi hicho kifo, pasipo kumhoji Mama Mchungaji?
Hawa wa kipare hatari [emoji16][emoji16]wanapenda dudu haaao na hawalichoki,huwa najiuliza sijui wanalishwaga nini kuwa hiviSisemi kwa sauti ila kila mtu ajaribu kufuatilia hili, mademu wa kisukuma wanapenda ngono mfanowe labda mademu wa kipare, mtakuja kuamini.
Kwa mtazamo wako ni sahihi, haimaanishi yeye hayupo sahihiuwanaume sio kumsamehe mkeo aliyeto** nje hlfu huyo aliyejilia anajinadi kwa penzi tamu alilopewa..Kijana usiwe mzembe mzembe
tafuta msg za mchizi kabla hajafa ndio utaelewa Kama alikula tayari au alikuwa anaomba,wanajaribu kufunikaAla!! Sikuinyaka hii, kumbe mke ndio alitia ngumu kuvua chupi, basi mwanamke apongezwe na masanja tumsifu ana mke muaminifu.
U make some sense[emoji3061]Masanja hatoboi hii kesi watu washaweka pesa za kumframe .. yeye utajir alioupata wa siri ndo huu unamtafuna. Kama alibeba sembe halaf akatokomea nayo akawa bilionea sasa waliolizwa wamekuja kivingne.. au kama watu waliwekeza pesa kwake halaf yeye akadhulum na kuwa tajir na kujificha kwenye kivul cha uchungaj. Sada wamekuja kivingne na watamframe hii kesi hachomok. Nakaaa paleee
Amefanya haraka kusema amesamehe labda sijui ndio kupenda huko.Wazinzi wangapi tunaishi nao na maisha yanasonga? Tuac
Ww Demi dada buanaKama una 40 plus wewe ni mtu mzima kaka😅😅
Halafu hii post ya kusema amemsamehe sijaiona bado. Ngoja tuone mwisho wa hii movieAmefanya haraka kusema amesamehe labda sijui ndio kupenda huko.