TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mtego huo...! Unaaandamanaje wakati watu Wana kadhia ya mAfuriko?Amani na utulivu viwepo wakati wa maandamano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtego huo...! Unaaandamanaje wakati watu Wana kadhia ya mAfuriko?Amani na utulivu viwepo wakati wa maandamano.
Huu ndio ujinga uliokujaa kichwani? Shule yenu ya ujinga mmeshaifungua au imefungwa?Bila mabomu ya machozi utamu unapungua
Kuna Mjinga alilopoka eti mwenye Zero anawaongoza wenye Degrees, Masters & PhD, Dunia tambala bovu kabisaDiv IV ya point 32
Maccm na makuwadi yao ya dpworld yamepagawa.Andamaneni ila tunahitaji mabango yenye vitu vya maana
Sasa usafi mtafanyaje ?Haya, kesho watu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa wamesema kutakuwa na mvua kubwa sana, sasa sijui mtasema chanzo cha mvua ni CCM, ndio maana maandamano yamekwama
Maji huwa yanaondoka na takaSasa usafi mtafanyaje ?
hizo degree zinasaidia nini acha ujuwawaa, mbawawa weweKuna Mjinga alilopoka eti mwenye Zero anawaongoza wenye Degrees, Masters & PhD, Dunia tambala bovu kabisa
Ukitaka mabomu nenda kandahariBila mabomu ya machozi utamu unapungua
Wewe ni Zero?hizo degree zinasaidia nini acha ujuwawaa, mbawawa wewe
Asogee Gaza hapoUkitaka mabomu nenda kandahari
Karibu sana mkuu maana hii ni kwa kila mtanzania mzalendoNitakuwepo Route ya Mbezi ya Kimara
Hajaruhusu maandamano maana yapo kisheria ndani ya katiba ya JMTMama anaupiga mwingi! ameruhusu maandamano..
Nenda kamrudishe shuleni basi maana naona watanzania mmejawa na ujuaji mwingiHii Barua ya polisi ni kama imeandikwa na mtoto wa LA SABA.
Full miparaganyiko, hata kuandika hawajui.
Nyani Ngabu
Katiba inaruhusuMama anaupiga mwingi! ameruhusu maandamano..
Chadema haizuiliki mpaka UNHaya, kesho watu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa wamesema kutakuwa na mvua kubwa sana, sasa sijui mtasema chanzo cha mvua ni CCM, ndio maana maandamano yamekwama