Polisi watoa tamko tukio la jaribio la utekaji Kiluvya, wasema uchunguzi umeanza toka aliporipoti Novemba 11, 2024

Polisi watoa tamko tukio la jaribio la utekaji Kiluvya, wasema uchunguzi umeanza toka aliporipoti Novemba 11, 2024

Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Duh wapo hadi wenye rasta we uko Tanzania ipi mkuu
 
Wakuu,

Baada ya video kutoka ndio tunajuzwa tukio lilitokea juzi! Bila video kuja kitaa wananchi tujakua lililotokea uchunguzi ungefanyika kweli au ndio lingeisha kimyakimya, pengine na kaka wa watu kwenda kuchukuliwa tena mara hii wakiwa wamwjipanga?

Halafu mbona wanaremba maneno hivyo "watu waliojaribu kumkamata na kumuingiza kwa nguvu kwenye gari", raia tunaona bana UTEKAJI uliokuwa unata kufanyika.

Pia soma: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

=====

Polisi yaanza Uchunguzi wa picha mjongeo inayoonesha Watu wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza Kwa nguvu Ndani ya gari Bw. DEOGRATIUS TARIMO ambaye ni Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibaha Pwani.

Hii nchi imetoboka mahali.
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Unachoongea bro siyo kweli. TISS au UWT a.k.a WASIOJULIKANA huvaa na kuwa na mwonekano wa kiraia zaidi ili wasionekana kuwa ni watu wa mfumo.
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
We unaongea nini ,watu wanafuga rasta sembuse nywele ndefu, hujui dunia
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!

Huoni aibu ulivyo mjinga?
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Polisi wanaongoza kwa u-smart!!???
Utakuwa huishi Tanzania wewe.
Hawana usmart wa utanashati wala usmart wa kichwani.
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Watu waliofeli form four wanakuwaga smart?.

Acha wenye nywele ndefu mpaka wenye ndevu wapo kibao, kuanzia wanajeshi mpaka hao askari Police.
 
Pumbavu zako.Polisi wapo mpaka wana Rasta. Hivi unafikiri Watanzania wote ni mazuzu?
mkuu suala la kumuelimisha tu sio mbaka umtukane binafsi hata mimi sikuwahi kujua kama Kuna askali wanafuga mbaka rasta
 
Kwa nini Kila utekaji mnadai ni polisi ndo wanahusika?.
Je watu wengine mitaani hawawezi kufanya hiki jambo?.
Vyama vyote vya siasa haviwezi kufanya huu uhuni?.
Kama alishakosana nā watu ama kudhulumiana,pia hawawezi kumganyia hayo?.
Tujitafakari,vinginevyo tunawakatisha polisi moyo wa kufanya shuguli zao kwa weledi.
Na tukiacha ushahabiki wa kisiasa,ndani ya vyama hivi vya siasa kuna wahuni wengi,nā pia ni hatari sana kwa usalama wa raia japo Hilo hamwezi kulisemea
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Polisi mpaka rasta wanazo
 
Kwa nini Kila utekaji mnadai ni polisi ndo wanahusika?.
Je watu wengine mitaani hawawezi kufanya hiki jambo?.
Vyama vyote vya siasa haviwezi kufanya huu uhuni?.
Kama alishakosana nā watu ama kudhulumiana,pia hawawezi kumganyia hayo?.
Tujitafakari,vinginevyo tunawakatisha polisi moyo wa kufanya shuguli zao kwa weledi.
Na tukiacha ushahabiki wa kisiasa,ndani ya vyama hivi vya siasa kuna wahuni wengi,nā pia ni hatari sana kwa usalama wa raia japo Hilo hamwezi kulisemea
Watu wakawaida wanaruhusiwa kuwa na Pingu?. Halafu mbona hapo wawili ni askari wa gogon.
 
Kwa nini Kila utekaji mnadai ni polisi ndo wanahusika?.
Je watu wengine mitaani hawawezi kufanya hiki jambo?.
Vyama vyote vya siasa haviwezi kufanya huu uhuni?.
Kama alishakosana nā watu ama kudhulumiana,pia hawawezi kumganyia hayo?.
Tujitafakari,vinginevyo tunawakatisha polisi moyo wa kufanya shuguli zao kwa weledi.
Na tukiacha ushahabiki wa kisiasa,ndani ya vyama hivi vya siasa kuna wahuni wengi,nā pia ni hatari sana kwa usalama wa raia japo Hilo hamwezi kulisemea
Watu wakawaida wanaruhusiwa kuwa na Pingu?. Halafu mbona hapo wawili ni askari gogoni.
 
Wakuu,

Baada ya video kutoka ndio tunajuzwa tukio lilitokea juzi! Bila video kuja kitaa wananchi tujakua lililotokea uchunguzi ungefanyika kweli au ndio lingeisha kimyakimya, pengine na kaka wa watu kwenda kuchukuliwa tena mara hii wakiwa wamwjipanga?

Halafu mbona wanaremba maneno hivyo "watu waliojaribu kumkamata na kumuingiza kwa nguvu kwenye gari", raia tunaona bana UTEKAJI uliokuwa unata kufanyika.

Pia soma: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

=====

Polisi yaanza Uchunguzi wa picha mjongeo inayoonesha Watu wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza Kwa nguvu Ndani ya gari Bw. DEOGRATIUS TARIMO ambaye ni Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibaha Pwani.

Aibu tupu, porojo! Hakuna kitu hapo, waliompiga risasi Lisu, video zilifichwa
 
Back
Top Bottom