Hassani
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 900
- 1,632
Duh wapo hadi wenye rasta we uko Tanzania ipi mkuuKatika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!