Polisi watoa tamko tukio la jaribio la utekaji Kiluvya, wasema uchunguzi umeanza toka aliporipoti Novemba 11, 2024

Polisi watoa tamko tukio la jaribio la utekaji Kiluvya, wasema uchunguzi umeanza toka aliporipoti Novemba 11, 2024

Pumbavu zako.Polisi wapo mpaka wana Rasta. Hivi unafikiri Watanzania wote ni mazuzu?
Ukiona jitu linatetea huo upuuzi wa Serikali basi jua ni sehemu ya mfumo😉😳
Kwa nini Kila utekaji mnadai ni polisi ndo wanahusika?.
Je watu wengine mitaani hawawezi kufanya hiki jambo?.
Vyama vyote vya siasa haviwezi kufanya huu uhuni?.
Kama alishakosana nā watu ama kudhulumiana,pia hawawezi kumganyia hayo?.
Tujitafakari,vinginevyo tunawakatisha polisi moyo wa kufanya shuguli zao kwa weledi.
Na tukiacha ushahabiki wa kisiasa,ndani ya vyama hivi vya siasa kuna wahuni wengi,nā pia ni hatari sana kwa usalama wa raia japo Hilo hamwezi kulisemea
Acha kutetea ujinga. Hv kazi ya Jeshi la Polisi ni nn? Tunajua ni kulinda usalama wa Raia na mali zao! Sasa iweje kila siku wanaotekwa upande wa upinzani tu lakn CCM hatusikii wakitekwa? Wakti raia anatekwa Polisi wanakuwa wapi? Halafu kama ni kudhulumiana, wanaodhulumiana na kutekana ni Watz wa vyama pinzani peke yao! Hii haihitaji rocket science kujua nani wanafanya huu upuuzi!!
Kwa nini Kila utekaji mnadai ni polisi ndo wanahusika?.
Je watu wengine mitaani hawawezi kufanya hiki jambo?.
Vyama vyote vya siasa haviwezi kufanya huu uhuni?.
Kama alishakosana nā watu ama kudhulumiana,pia hawawezi kumganyia hayo?.
Tujitafakari,vinginevyo tunawakatisha polisi moyo wa kufanya shuguli zao kwa weledi.
Na tukiacha ushahabiki wa kisiasa,ndani ya vyama hivi vya siasa kuna wahuni wengi,nā pia ni hatari sana kwa usalama wa raia japo Hilo hamwezi kulisemea
Acha kutetea ujinga bro. Kazi ya Jeshi la Polisi ni kulinda Usalama wa Raia na Mali zao. Sasa inakuwaje wanaotekwa ni Raia toka upande wa Upinzani tu na hatuoni CCM wakitekwa?? Hata kama ni kudhulumiana ina maana wanao dhulumiana na kutekana ni Wapinzani peke yao??
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Kama unakaa kijijini basi ni kweli hujawahi ona polisi mwenye nywele ndefu.
Kama umekaa mjini na hujawahi kuwaona basi Kuna shida mahali.
Lakini pia hizo buti hujaziona!
Au siku hizi inaruhusiwa pia raia kumiliki pingu?
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Ng'ombe kasoro mkia wewe
 
Wakuu,

Baada ya video kutoka ndio tunajuzwa tukio lilitokea juzi! Bila video kuja kitaa wananchi tujakua lililotokea uchunguzi ungefanyika kweli au ndio lingeisha kimyakimya, pengine na kaka wa watu kwenda kuchukuliwa tena mara hii wakiwa wamwjipanga?

Halafu mbona wanaremba maneno hivyo "watu waliojaribu kumkamata na kumuingiza kwa nguvu kwenye gari", raia tunaona bana UTEKAJI uliokuwa unata kufanyika.

Pia soma: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

=====

Polisi yaanza Uchunguzi wa picha mjongeo inayoonesha Watu wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza Kwa nguvu Ndani ya gari Bw. DEOGRATIUS TARIMO ambaye ni Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibaha Pwani.

polisi kama polisiii....aka maandazi
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Kuna maaskari marasta, Kuna maaskari wasela, wapo kwenye muonekano usio tarajia kabisa.

Nenda hapo police msimbazi ndio utajua usikariri brother.

Kuna infomer wa police na Jwtz hutokuta wamevaa gwanda hata siku moja..

Kuna mshikaji wangu mmoja yupo kwenye vyombo vya ulinzi JW yeye havaagi sare Kuna siku anaendesha bodaboda akijaribu kumkwepa trafiki trafiki akamfuata upande wake akampush wakadondoka wote jamaa Ile kunyanyuka akaenda mpa mkono trafiki kumnyanyua traffic alipo amka akampiga pingu jamaa..jamaa ndio kumwambia yeye ni askari na kumpa kitambulisho Basi wakasameheana hivyo..
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
NEnda arusha pale central police utamkuta afande rasta, ambaye naye anatajwa tajwa kuwa ni miongoni mwa vijana wa kikosi kazi.
 
Wakuu,

Baada ya video kutoka ndio tunajuzwa tukio lilitokea juzi! Bila video kuja kitaa wananchi tujakua lililotokea uchunguzi ungefanyika kweli au ndio lingeisha kimyakimya, pengine na kaka wa watu kwenda kuchukuliwa tena mara hii wakiwa wamwjipanga?

Halafu mbona wanaremba maneno hivyo "watu waliojaribu kumkamata na kumuingiza kwa nguvu kwenye gari", raia tunaona bana UTEKAJI uliokuwa unata kufanyika.

Pia soma: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

=====

Polisi yaanza Uchunguzi wa picha mjongeo inayoonesha Watu wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza Kwa nguvu Ndani ya gari Bw. DEOGRATIUS TARIMO ambaye ni Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibaha Pwani.

Kwa hiyo kama matukio mengine kusingekua na video ndio basi.. wale jamaa wanajulikama na polisi hata kana wao sio polisi, wale jamaa watekaji nashawishika kuwa wao ni sehemu ya mfumo.
 
Wakuu,

Baada ya video kutoka ndio tunajuzwa tukio lilitokea juzi! Bila video kuja kitaa wananchi tujakua lililotokea uchunguzi ungefanyika kweli au ndio lingeisha kimyakimya, pengine na kaka wa watu kwenda kuchukuliwa tena mara hii wakiwa wamwjipanga?

Halafu mbona wanaremba maneno hivyo "watu waliojaribu kumkamata na kumuingiza kwa nguvu kwenye gari", raia tunaona bana UTEKAJI uliokuwa unata kufanyika.

Pia soma: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

=====

Polisi yaanza Uchunguzi wa picha mjongeo inayoonesha Watu wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza Kwa nguvu Ndani ya gari Bw. DEOGRATIUS TARIMO ambaye ni Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibaha Pwani.

Kila nikitazama mambo yanavyoendeshwa na jeshi la polisi nashindwa kujivunia jeshi langu naishia kusikitika tu.
 
Polisi nao .Wana pigia debe uchaguzi wa serikali za mitaa🤣🤣🤣.hivi vituko ni made from Tanzania only
 
Swali la kujiuliza ni je,bonge ana kosa gani mpk kufuatwa kubebwa mchana kweupe.
Inawezekana aliitwa polisi kakaidi ndo wakaletwa hao wahuni.
Zamani kulikua na defender wakikufata muondoke unadandia bodi unavunja kishoka,huna kosa wanakurudisha kwako salama salmini ukiwapa hela ya mboga.
 
Wakuu,

Baada ya video kutoka ndio tunajuzwa tukio lilitokea juzi! Bila video kuja kitaa wananchi tujakua lililotokea uchunguzi ungefanyika kweli au ndio lingeisha kimyakimya, pengine na kaka wa watu kwenda kuchukuliwa tena mara hii wakiwa wamwjipanga?

Halafu mbona wanaremba maneno hivyo "watu waliojaribu kumkamata na kumuingiza kwa nguvu kwenye gari", raia tunaona bana UTEKAJI uliokuwa unata kufanyika.

Pia soma: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

=====

Polisi yaanza Uchunguzi wa picha mjongeo inayoonesha Watu wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza Kwa nguvu Ndani ya gari Bw. DEOGRATIUS TARIMO ambaye ni Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibaha Pwani.

kimbieni hilo li nchi ni la kingese sana bora kuishi utumwani kwenye amani kuliko kuishi tz
 
kimbieni hilo li nchi ni la kingese sana bora kuishi utumwani kwenye amani kuliko kuishi tz
Tuko million 60 tutakimbia wote ? Kisa saa 100 atawale kwa damu na lazima hataki kukosolewa? Uchaguzi umedodaaaa
 
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Renda ofisi ya RCO Tabora kuna police huwezi kuwatofautisha na wanamziki wa bongo fleva. Hadi wanasokota nywele kama kaseja wanafunga kichwani na yale matambala while on duty yenye rangi nyeupe na nyeusi ambayo hutumika kama simbo ya wapalestina
 
Haya Matamko na uchunguzi wa polisi wetu tuliisha uzoea, hata ukiwapa miaka 100 hawatokuja na jibu lolote
 
Back
Top Bottom