Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Ukiona jitu linatetea huo upuuzi wa Serikali basi jua ni sehemu ya mfumo😉😳Pumbavu zako.Polisi wapo mpaka wana Rasta. Hivi unafikiri Watanzania wote ni mazuzu?
Acha kutetea ujinga. Hv kazi ya Jeshi la Polisi ni nn? Tunajua ni kulinda usalama wa Raia na mali zao! Sasa iweje kila siku wanaotekwa upande wa upinzani tu lakn CCM hatusikii wakitekwa? Wakti raia anatekwa Polisi wanakuwa wapi? Halafu kama ni kudhulumiana, wanaodhulumiana na kutekana ni Watz wa vyama pinzani peke yao! Hii haihitaji rocket science kujua nani wanafanya huu upuuzi!!Kwa nini Kila utekaji mnadai ni polisi ndo wanahusika?.
Je watu wengine mitaani hawawezi kufanya hiki jambo?.
Vyama vyote vya siasa haviwezi kufanya huu uhuni?.
Kama alishakosana nā watu ama kudhulumiana,pia hawawezi kumganyia hayo?.
Tujitafakari,vinginevyo tunawakatisha polisi moyo wa kufanya shuguli zao kwa weledi.
Na tukiacha ushahabiki wa kisiasa,ndani ya vyama hivi vya siasa kuna wahuni wengi,nā pia ni hatari sana kwa usalama wa raia japo Hilo hamwezi kulisemea
Acha kutetea ujinga bro. Kazi ya Jeshi la Polisi ni kulinda Usalama wa Raia na Mali zao. Sasa inakuwaje wanaotekwa ni Raia toka upande wa Upinzani tu na hatuoni CCM wakitekwa?? Hata kama ni kudhulumiana ina maana wanao dhulumiana na kutekana ni Wapinzani peke yao??Kwa nini Kila utekaji mnadai ni polisi ndo wanahusika?.
Je watu wengine mitaani hawawezi kufanya hiki jambo?.
Vyama vyote vya siasa haviwezi kufanya huu uhuni?.
Kama alishakosana nā watu ama kudhulumiana,pia hawawezi kumganyia hayo?.
Tujitafakari,vinginevyo tunawakatisha polisi moyo wa kufanya shuguli zao kwa weledi.
Na tukiacha ushahabiki wa kisiasa,ndani ya vyama hivi vya siasa kuna wahuni wengi,nā pia ni hatari sana kwa usalama wa raia japo Hilo hamwezi kulisemea