Duh wapo hadi wenye rasta we uko Tanzania ipi mkuuKatika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Hii nchi imetoboka mahali.Wakuu,
Baada ya video kutoka ndio tunajuzwa tukio lilitokea juzi! Bila video kuja kitaa wananchi tujakua lililotokea uchunguzi ungefanyika kweli au ndio lingeisha kimyakimya, pengine na kaka wa watu kwenda kuchukuliwa tena mara hii wakiwa wamwjipanga?
Halafu mbona wanaremba maneno hivyo "watu waliojaribu kumkamata na kumuingiza kwa nguvu kwenye gari", raia tunaona bana UTEKAJI uliokuwa unata kufanyika.
Pia soma: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
=====
Polisi yaanza Uchunguzi wa picha mjongeo inayoonesha Watu wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza Kwa nguvu Ndani ya gari Bw. DEOGRATIUS TARIMO ambaye ni Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibaha Pwani.
Unachoongea bro siyo kweli. TISS au UWT a.k.a WASIOJULIKANA huvaa na kuwa na mwonekano wa kiraia zaidi ili wasionekana kuwa ni watu wa mfumo.Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
We unaongea nini ,watu wanafuga rasta sembuse nywele ndefu, hujui duniaKatika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. Hv unajua maana ya SHUSHUSHU ww?Labda wa kike, lakini ME, sio kweli!
Ni laana ya Mwenyezi Mungu.Hii nchi imetoboka mahali.
Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Polisi wanaongoza kwa u-smart!!???Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Watu waliofeli form four wanakuwaga smart?.Katika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
mkuu suala la kumuelimisha tu sio mbaka umtukane binafsi hata mimi sikuwahi kujua kama Kuna askali wanafuga mbaka rastaPumbavu zako.Polisi wapo mpaka wana Rasta. Hivi unafikiri Watanzania wote ni mazuzu?
yes wapo askari kanzuUna safari ndefu bwanamdogo, polisi wana hadi rasta.
Au unadhani polisi ni wale wanaokua pale reception pekee??
Polisi mpaka rasta wanazoKatika hili kwa mbaaali naweza kuwamini Polisi kutokana na mwonekano wa yule Dogo aliyevaa tshirt nyeusi! Ki ukweli sijawahi ona polisi wa kiume akiwa na nywele ndefu! Sitaki ku-conclude kwamba hawapo lakini binafasi sijawahi kuwaona, na amini usiamini, polisi wanaongoza kwa u-smart. CHUNGUZA!
Watu wakawaida wanaruhusiwa kuwa na Pingu?. Halafu mbona hapo wawili ni askari wa gogon.Kwa nini Kila utekaji mnadai ni polisi ndo wanahusika?.
Je watu wengine mitaani hawawezi kufanya hiki jambo?.
Vyama vyote vya siasa haviwezi kufanya huu uhuni?.
Kama alishakosana nā watu ama kudhulumiana,pia hawawezi kumganyia hayo?.
Tujitafakari,vinginevyo tunawakatisha polisi moyo wa kufanya shuguli zao kwa weledi.
Na tukiacha ushahabiki wa kisiasa,ndani ya vyama hivi vya siasa kuna wahuni wengi,nā pia ni hatari sana kwa usalama wa raia japo Hilo hamwezi kulisemea
Watu wakawaida wanaruhusiwa kuwa na Pingu?. Halafu mbona hapo wawili ni askari gogoni.Kwa nini Kila utekaji mnadai ni polisi ndo wanahusika?.
Je watu wengine mitaani hawawezi kufanya hiki jambo?.
Vyama vyote vya siasa haviwezi kufanya huu uhuni?.
Kama alishakosana nā watu ama kudhulumiana,pia hawawezi kumganyia hayo?.
Tujitafakari,vinginevyo tunawakatisha polisi moyo wa kufanya shuguli zao kwa weledi.
Na tukiacha ushahabiki wa kisiasa,ndani ya vyama hivi vya siasa kuna wahuni wengi,nā pia ni hatari sana kwa usalama wa raia japo Hilo hamwezi kulisemea
wewe kama si walewale basi utakuwa ni shoga.Labda wa kike, lakini ME, sio kweli!
Aibu tupu, porojo! Hakuna kitu hapo, waliompiga risasi Lisu, video zilifichwaWakuu,
Baada ya video kutoka ndio tunajuzwa tukio lilitokea juzi! Bila video kuja kitaa wananchi tujakua lililotokea uchunguzi ungefanyika kweli au ndio lingeisha kimyakimya, pengine na kaka wa watu kwenda kuchukuliwa tena mara hii wakiwa wamwjipanga?
Halafu mbona wanaremba maneno hivyo "watu waliojaribu kumkamata na kumuingiza kwa nguvu kwenye gari", raia tunaona bana UTEKAJI uliokuwa unata kufanyika.
Pia soma: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
=====
Polisi yaanza Uchunguzi wa picha mjongeo inayoonesha Watu wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza Kwa nguvu Ndani ya gari Bw. DEOGRATIUS TARIMO ambaye ni Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibaha Pwani.