Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boresha maslahi Yao kwanzaIli kufuatilia nyendo za Polisi na kuepusha rushwa. Polisi walazimishwe kuvaa body camera ili kufuatilia mazungumzo na mienendo Yao yote ichunguzwe na Mamlaka huru (Independent Police Oversight Authority).
Hapo tu Rwanda wameweza, wale wana maslahi gani? Kama kazi upolisi Ina maslahi madogo mbona hawaaxhagi kazi? Wacha kutudanganyaBoresha maslahi Yao kwanza
Sawa polisi tumekusikia. Magu aliwajali sana wakati wakeBoresha maslahi Yao kwanza
si ufatilie kwanza!!Hapo tu Rwanda wameweza, wale wana maslahi gani? Kama kazi upolisi Ina maslahi madogo mbona hawaaxhagi kazi? Wacha kutudanganya
Ili kufuatilia nyendo za Polisi na kuepusha rushwa. Polisi walazimishwe kuvaa body camera ili kufuatilia mazungumzo na mienendo Yao yote ichunguzwe na Mamlaka huru (Independent Police Oversight Authority).
Mama Kizimkazi ameshatoa ruksa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yakeIli kufuatilia nyendo za Polisi na kuepusha rushwa. Polisi walazimishwe kuvaa body camera ili kufuatilia mazungumzo na mienendo Yao yote ichunguzwe na Mamlaka huru (Independent Police Oversight Authority).
Rwanda ni sawa na wilaya na kagame ndie Sheria kafanya vile kwa maslai yake ya kulinda tumboHapo tu Rwanda wameweza, wale wana maslahi gani? Kama kazi upolisi Ina maslahi madogo mbona hawaaxhagi kazi? Wacha kutudanganya
Ha ha haUnataka wafukuzwa kazi wote!?
Felicitations a vousPesa za 'kufa na kuzikana' zimepigwa, hizo kamera si utazikuta Kariakoo zimepangwa kama Mihogo zinauzwa.
🙏🏿Felicitations a vous
Ili kufuatilia nyendo za Polisi na kuepusha rushwa. Polisi walazimishwe kuvaa body camera ili kufuatilia mazungumzo na mienendo Yao yote ichunguzwe na Mamlaka huru (Independent Police Oversight Authority).
View attachment 2892394
Kwa hiyo sisi tumeamua kuwa hivi ili kulinda maslahi ya matumbo ya polisi?! Kama tunashindwa kumanage nchi kwa sababu ni kubwa si tuwagawie wengine tubaki na kanchi kadogo kama wilaya ili iwe manageable?;Rwanda ni sawa na wilaya na kagame ndie Sheria kafanya vile kwa maslai yake ya kulinda tumbo
Kweli hizo kamera ziwepo polisi wa Zimbabwe wamezidi.Ili kufuatilia nyendo za Polisi na kuepusha rushwa. Polisi walazimishwe kuvaa body camera ili kufuatilia mazungumzo na mienendo Yao yote ichunguzwe na Mamlaka huru (Independent Police Oversight Authority).
View attachment 2892394