Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
1. Nimekumiss hadi nimeku misplace.Hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Nimekumiss hadi nimeku misplace.Hahaha
Ngoja nije tuyajenge kwanza,Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔
Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!
Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Waulize bibi zetu waliolewa na umri gani? Watu walipitia jando na unyago, wakapewa maadili na namna ya kumtunza mme au mke.Lakini bado ni mtoto, she is only 16 kama sikosei, unadhani mtoto wa miaka 16 anaweza kumudu majukumu ya ndoa?
Dont blame yourself dear, kila kitu kinakuja kwa wakati wake, you should be greatful umepata elimu na una kazi nzuri, kuna watu wameolewa wapo majumbani hata mia ya kununua sabuni ya kuogea hawana na mume hana hata habari, sasa hapo unadhani anaona raha ya hiyo ndoa?
Atlist you can manage your life, Mungu atakupatia mume kwa muda wake
Una akili Sana wee mwanamke[emoji106]Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila![emoji17]
Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!
Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
binti ako wa kumzaa akitolewa mahari na miaka14 utapokea wewe?kwa kutambua uwepo wa Raia kama nyie ndio maana unaona hapo Serikali imeingilia kati kama ni sahihi si wangepata utetezi?Uzungu umeleta shida kubwa sana.
Mtoto wa miaka 15 ambaye shule ameshamaliza kuolewa na mtoto mwenzake wa miaka 17 nini cha ajabu. Wote wamesha balehe na wanaishi maisha ya kimila.
Hao walioenda kuwakamata wajiulize bibi zao waliolewa wakiwa na miaka mingapi na babu zao walioa wakiwa na miaka mingapi?
Ndoa ya kimila mnakataza kisa wadogo huku mnaruhusu uzinzi kwa jina la kizungu watiane kwa njia ya u boyfriend na u girlfriend. Sababu wote wamebalehe wana mahitaji ya kimwili. Watayapataje bila ndoa,
Kutunza mke sio ngumu maana mwanaume anapewa mashamba na mifugo na wazazi wake ndipo anaozeshwa.. kama hapo mahari ngombe 10 na hizo hela wazazi wake wamemlipia
Ndoa sio ngumu Kama unavyoaminishwa,Lakini bado ni mtoto, she is only 16 kama sikosei, unadhani mtoto wa miaka 16 anaweza kumudu majukumu ya ndoa?
Dont blame yourself dear, kila kitu kinakuja kwa wakati wake, you should be greatful umepata elimu na una kazi nzuri, kuna watu wameolewa wapo majumbani hata mia ya kununua sabuni ya kuogea hawana na mume hana hata habari, sasa hapo unadhani anaona raha ya hiyo ndoa?
Atlist you can manage your life, Mungu atakupatia mume kwa muda wake
Mkuu ngoja nisogee nikuongeze Mke wa 2 mila zetu za kiafrika zinaruhusu kabisa.Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔
Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!
Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Shukuru hata una kazi mi niliolewa sehemu sina hata kazi mwanaume allikuwa mnyanyasaji yule, akileta mboga Siku hiyo utatukwana kama kwenu ulikuwa huliKama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔
Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!
Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Aisee pole sana.Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔
Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!
Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
In Mwanri voice [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msiwaache waliochagua mchele, wapiga ngoma, shehe au mchungaji na mwenyekiti wa kijini, wote tupa ndani.
Maisha yamebadilika, dunia imebadilika, kila kitu kimabadilika huwezi kufananisha na zamaniNdoa sio ngumu Kama unavyoaminishwa,
Ziko wapi ndoa za skuhz za watu wazima , kila siku kutwa kucha wanaachana
Angalia ndoa za zaman zinavodumu na wengi walioana umri mdg
Uzungu umeleta shida kubwa sana.
Mtoto wa miaka 15 ambaye shule ameshamaliza kuolewa na mtoto mwenzake wa miaka 17 nini cha ajabu. Wote wamesha balehe na wanaishi maisha ya kimila.
Hao walioenda kuwakamata wajiulize bibi zao waliolewa wakiwa na miaka mingapi na babu zao walioa wakiwa na miaka mingapi?
Ndoa ya kimila mnakataza kisa wadogo huku mnaruhusu uzinzi kwa jina la kizungu watiane kwa njia ya u boyfriend na u girlfriend. Sababu wote wamebalehe wana mahitaji ya kimwili. Watayapataje bila ndoa,
Kutunza mke sio ngumu maana mwanaume anapewa mashamba na mifugo na wazazi wake ndipo anaozeshwa.. kama hapo mahari ngombe 10 na hizo hela wazazi wake wamemlipia