Polisi wazuia ndoa ya utotoni, muoaji na muolewaji wote wakiwa chini ya miaka 18

Polisi wazuia ndoa ya utotoni, muoaji na muolewaji wote wakiwa chini ya miaka 18

Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔

Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!

Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Ngoja nije tuyajenge kwanza,
 
15 si vichuchu tu jamani, aise bado mdogo, atleast 18 hapo sawa.
 
Lakini bado ni mtoto, she is only 16 kama sikosei, unadhani mtoto wa miaka 16 anaweza kumudu majukumu ya ndoa?

Dont blame yourself dear, kila kitu kinakuja kwa wakati wake, you should be greatful umepata elimu na una kazi nzuri, kuna watu wameolewa wapo majumbani hata mia ya kununua sabuni ya kuogea hawana na mume hana hata habari, sasa hapo unadhani anaona raha ya hiyo ndoa?

Atlist you can manage your life, Mungu atakupatia mume kwa muda wake
Waulize bibi zetu waliolewa na umri gani? Watu walipitia jando na unyago, wakapewa maadili na namna ya kumtunza mme au mke.

Tofauti kabisa na vijana wa sasa wanajifunza kwenye mitandao namna ya kuzuia na kutoa mimba. Ni afadhali hata kuoa au kuolewa.
Au uliza historia ya bi mkubwa (mama wa taifa) huko z'bar wanaolewa na umri gani? Au pwani kwa ujumla.

Binti akishatoka mkoleni, baada ya kuvunja ungo na kuwekwa ndani, tayari wanaamini anamudu ndoa.
Waacheni mabinti waolewe, wazae!
 
Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila![emoji17]

Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!

Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Una akili Sana wee mwanamke[emoji106]
 
Wanawake poleni
Mana mnafosiwa Sana kufanya Mambo msiyotaka
 
Uzungu umeleta shida kubwa sana.

Mtoto wa miaka 15 ambaye shule ameshamaliza kuolewa na mtoto mwenzake wa miaka 17 nini cha ajabu. Wote wamesha balehe na wanaishi maisha ya kimila.

Hao walioenda kuwakamata wajiulize bibi zao waliolewa wakiwa na miaka mingapi na babu zao walioa wakiwa na miaka mingapi?

Ndoa ya kimila mnakataza kisa wadogo huku mnaruhusu uzinzi kwa jina la kizungu watiane kwa njia ya u boyfriend na u girlfriend. Sababu wote wamebalehe wana mahitaji ya kimwili. Watayapataje bila ndoa,

Kutunza mke sio ngumu maana mwanaume anapewa mashamba na mifugo na wazazi wake ndipo anaozeshwa.. kama hapo mahari ngombe 10 na hizo hela wazazi wake wamemlipia
binti ako wa kumzaa akitolewa mahari na miaka14 utapokea wewe?kwa kutambua uwepo wa Raia kama nyie ndio maana unaona hapo Serikali imeingilia kati kama ni sahihi si wangepata utetezi?
 
Lakini bado ni mtoto, she is only 16 kama sikosei, unadhani mtoto wa miaka 16 anaweza kumudu majukumu ya ndoa?

Dont blame yourself dear, kila kitu kinakuja kwa wakati wake, you should be greatful umepata elimu na una kazi nzuri, kuna watu wameolewa wapo majumbani hata mia ya kununua sabuni ya kuogea hawana na mume hana hata habari, sasa hapo unadhani anaona raha ya hiyo ndoa?

Atlist you can manage your life, Mungu atakupatia mume kwa muda wake
Ndoa sio ngumu Kama unavyoaminishwa,
Ziko wapi ndoa za skuhz za watu wazima , kila siku kutwa kucha wanaachana
Angalia ndoa za zaman zinavodumu na wengi walioana umri mdg
 
Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔

Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!

Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Mkuu ngoja nisogee nikuongeze Mke wa 2 mila zetu za kiafrika zinaruhusu kabisa.
 
Watoto wakike wengi hugeuzwa kitega uchumi acha sheria iendelee
 
Sheria inaruhusu binti wa kuanzia miaka 14 kuolewa kwa ruhusa ya mzazi-sasa hao Maafisa Ustawi gani wa Jamii hawajui hiyo sheria.Kazi yao walitakiwa kwenda kuuliza mzazi wa binti kama wametoa ruhusu.
 
Sijawah kuomba picha lakin uzi huu ulipaswa kuwa na picha aisee
 
Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔

Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!

Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Shukuru hata una kazi mi niliolewa sehemu sina hata kazi mwanaume allikuwa mnyanyasaji yule, akileta mboga Siku hiyo utatukwana kama kwenu ulikuwa huli
 
Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔

Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!

Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Aisee pole sana.

Kuna raha ya mwanamke kua na mtoto kuliko mwanaume.
Mwanaume hata asipokua na mtoto sio big deal na huwa hawaumii sana kuliko wanawake.

Fanya fanya upate hata chalii wa kukufariji bna bado upo kwenye zone ya kupata mtu sahihi ni vile tu wanawake wakiwa na pesa/elimu wanakua too selective, na wengine hawahitaji wanaume mpaka nature iwafanye kazi.
 
Ndoa sio ngumu Kama unavyoaminishwa,
Ziko wapi ndoa za skuhz za watu wazima , kila siku kutwa kucha wanaachana
Angalia ndoa za zaman zinavodumu na wengi walioana umri mdg
Maisha yamebadilika, dunia imebadilika, kila kitu kimabadilika huwezi kufananisha na zamani

Ndio maana pia hii habari imetrend, ingekua zamani mzu anajizolea jiko wala husikii kwa jirani maana ilikua kawaida
 
Polisi wamefanya Kosa la kisheria kama tu huyo mtoto sio mwanafunzi na wazazi wameridhia basi hiyo ndoa ni halali kabisa mbele ya jicho la sheria
 
Uzungu umeleta shida kubwa sana.

Mtoto wa miaka 15 ambaye shule ameshamaliza kuolewa na mtoto mwenzake wa miaka 17 nini cha ajabu. Wote wamesha balehe na wanaishi maisha ya kimila.

Hao walioenda kuwakamata wajiulize bibi zao waliolewa wakiwa na miaka mingapi na babu zao walioa wakiwa na miaka mingapi?

Ndoa ya kimila mnakataza kisa wadogo huku mnaruhusu uzinzi kwa jina la kizungu watiane kwa njia ya u boyfriend na u girlfriend. Sababu wote wamebalehe wana mahitaji ya kimwili. Watayapataje bila ndoa,

Kutunza mke sio ngumu maana mwanaume anapewa mashamba na mifugo na wazazi wake ndipo anaozeshwa.. kama hapo mahari ngombe 10 na hizo hela wazazi wake wamemlipia

Kweli wanafata wazungu wakati wazungu mtoto miaka 12 hana bikra haha afu hao wazungu ndio wanaongoza kwa kukataza ndoa za umri mdogo but wanaona sawa mtoto wa miaka 15 kubeba ujauzito ,,,huko US mababy mama wanaongoza ni vitoto vya 15,16,17 huko hatar sana! Kwahili lakuoa/kuolewa mapema nawakubali wazee wazamani na waarabu waliona mbali,,,!
 
Back
Top Bottom