Polisi wazuia ndoa ya utotoni, muoaji na muolewaji wote wakiwa chini ya miaka 18

Polisi wazuia ndoa ya utotoni, muoaji na muolewaji wote wakiwa chini ya miaka 18

Life span ya kuishi inapungua, sheria zinaongeza muda wa kuoana. Kumbuka kabla hujafa unatakiwa uwaone wajukuu na vitukuu kama ikiwezekana, ukija kutengeneza familia umezeeka huwezi kuyaona hayo
 
Bibi yangu ananiambia hakumbuki alishika mimba ya kwanza akiwa na umri wa miaka mingapi, amezaa jumla ya watoto 12 wametangulia mbele ya haki 2 wamebaki 10. Hakuzaa mapacha hata mara moja.

Nakadiria alianza kuzaa akiwa na miaka 16 -18, wakati huo alikuwa ameshaolewa na babu
 
Ile sheria inayoruhusu ndoa kwa watoto wa miaka 15 kwa ridhaa ya wazazi wao si bado ipo?

Mwanafunzi asipoenda shule miezi sita bila ruhusa anakuwa amejifukuzisha shule.

Hao maafisa maendeleo walikuwa wapi kumsaidia huyo mtoto aende shule toka January?

Rika hilo wapo wengi tu mitaani wanabebeshwa mimba hakuna mwenye muda nao kisa siyo wanafunzi ila akitaka kuolewa kwa mahari tu, wanajitokeza wasamaria.

Hao wasamaria hawana lolote ni wivu tu!😁.
 
Uzungu umeleta shida kubwa sana.

Mtoto wa miaka 15 ambaye shule ameshamaliza kuolewa na mtoto mwenzake wa miaka 17 nini cha ajabu. Wote wamesha balehe na wanaishi maisha ya kimila.

Hao walioenda kuwakamata wajiulize bibi zao waliolewa wakiwa na miaka mingapi na babu zao walioa wakiwa na miaka mingapi?

Ndoa ya kimila mnakataza kisa wadogo huku mnaruhusu uzinzi kwa jina la kizungu watiane kwa njia ya u boyfriend na u girlfriend. Sababu wote wamebalehe wana mahitaji ya kimwili. Watayapataje bila ndoa,

Kutunza mke sio ngumu maana mwanaume anapewa mashamba na mifugo na wazazi wake ndipo anaozeshwa.. kama hapo mahari ngombe 10 na hizo hela wazazi wake wamemlipia
Wacha wapeleke hio bongo lala shule,
Hakuna watakachoambulia zaidi ya mimba..

Wacha single mama's waongezeke.
 
Uzungu umeleta shida kubwa sana.

Mtoto wa miaka 15 ambaye shule ameshamaliza kuolewa na mtoto mwenzake wa miaka 17 nini cha ajabu. Wote wamesha balehe na wanaishi maisha ya kimila.

Hao walioenda kuwakamata wajiulize bibi zao waliolewa wakiwa na miaka mingapi na babu zao walioa wakiwa na miaka mingapi?

Ndoa ya kimila mnakataza kisa wadogo huku mnaruhusu uzinzi kwa jina la kizungu watiane kwa njia ya u boyfriend na u girlfriend. Sababu wote wamebalehe wana mahitaji ya kimwili. Watayapataje bila ndoa,

Kutunza mke sio ngumu maana mwanaume anapewa mashamba na mifugo na wazazi wake ndipo anaozeshwa.. kama hapo mahari ngombe 10 na hizo hela wazazi wake wamemlipia
Mama zetu wengi walituzaa wakiwa na miaka hiyo yaani 15-17
 
Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔

Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!

Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Umenena vizuri sana,
Ningekuwa sina mke ningekuoa,
Ila namuomba mungu akupe mume wa khery
Umekuwa mkweli sana big up
 
Kanda ya ziwa mbona kawaida sana alafu huku wanaanza kufanya mapenzi wakiwa wadogo sana
 
Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila!😔

Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!

Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Na Mimi Nina 40 yrs sijapata mke, kumbe tunafanana!!
 
Kama hakuwa tayari kuolewa hapo sawa lakini kama ni sheria tu imembana, ipo siku atajutia.
Elimu ipo tu.
Binafsi kwa Sasa nina miaka zaidi ya 35 na sina mme wala mtoto. Nilikataa kuolewa kwa kigezo cha kusoma na kupata kazi kwanza.
Kweli nina kazi ila sina mme. Maisha nayaona hayana faida.
Maana kusoma hakuna umri wala mipaka, ila kuolewa kuna umri ukifika, yaani maombi ya kufunga kama yote kama sio kupishana kwa akina kalumanzila![emoji17]

Nikiona binti anakatazwa kuolewa kwa kigezo cha umri, napata hasira sana. Labda kama hajapenda yeye binafsi.
Duniani tulikuja kuzaa na kuongezeka. Hizi elimu ni mfumo tu na ustaarabu wa kikoloni!

Mambo ninayoyapinga kwa nguvu zangu zote, ni ubakaji na ulawiti. Kumuingilia binti kwa lazima bila ridhaa yake au kinyume na maumbile. Lakini kuolewa, aolewe tu,azae!
Pole sana
 
Sheria ya ndoa si bado inaruhusu msichana wa miaka 14 kuolewa ila kwa ruhusa ya wazazi? Kwani ilishabadilishwa?
 
Eti tutamsaidia asome ili atimize ndoto zake, kwani kawaambia kama ana ndoto zozote kwenye elimu,, darasa la saba tu limemshinda mwacheni aolewe

Ustawi wa jamii wameona wivu maana pale kuna mimama huwa haiolewi na wakiolewa wiki wanaludi kwao.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lakini bado ni mtoto, she is only 16 kama sikosei, unadhani mtoto wa miaka 16 anaweza kumudu majukumu ya ndoa?

Dont blame yourself dear, kila kitu kinakuja kwa wakati wake, you should be greatful umepata elimu na una kazi nzuri, kuna watu wameolewa wapo majumbani hata mia ya kununua sabuni ya kuogea hawana na mume hana hata habari, sasa hapo unadhani anaona raha ya hiyo ndoa?

Atlist you can manage your life, Mungu atakupatia mume kwa muda wake

Kuna watu wako 40s na hawamudu maisha ya ndoa.
Wakati mwingine kuna facts nyingi zinazoweza kukufanya umudu maisha ya ndoa, mfano kiuchumi kama kwao wako njema wala hakuna gumu hapo.

Unyumba maana yake dogo yuko vizuri ndio maana anaoa.
Alaf kuna Sheria ya Ndoa 1977 inasema miaka 14 au 15 (sikumbuki vema) binti anaweza kuolewa kwa ridhaa ya wazazi wake.

Kuna wanawake walisoma sana kutimiza ndoto zao saiv ni single mothers na stress zao hazielezeki

Tutumie akili sana tusikariri maisha
 
Lakini bado ni mtoto, she is only 16 kama sikosei, unadhani mtoto wa miaka 16 anaweza kumudu majukumu ya ndoa?

Dont blame yourself dear, kila kitu kinakuja kwa wakati wake, you should be greatful umepata elimu na una kazi nzuri, kuna watu wameolewa wapo majumbani hata mia ya kununua sabuni ya kuogea hawana na mume hana hata habari, sasa hapo unadhani anaona raha ya hiyo ndoa?

Atlist you can manage your life, Mungu atakupatia mume kwa muda wake
Unadhani wanafunga ndoa wakapanga Manzese? Kwanza jifunze family structure ya wasukuma ndipo useme hayo. Huu ni unyanyasaji na kuingilia mipangilio ya familia. Lakini pia ni nani aliyeamua kwamba miaka 17 kwa mvulana ni mtoto bado na 16 kwa msichana ni mtoto? Jiulize mabinti wanabebeshwa mimba wakiwa na umri gani? Haya ndio matokeo ya kuleta sheria eti watoto wa kike wasome shule huku wakinyonyesha. Kwa mwanamke hakuna ndoto inazidi kuolewa
 
Ile sheria inayoruhusu ndoa kwa watoto wa miaka 15 kwa ridhaa ya wazazi wao si bado ipo?

Mwanafunzi asipoenda shule miezi sita bila ruhusa anakuwa amejifukuzisha shule.

Hao maafisa maendeleo walikuwa wapi kumsaidia huyo mtoto aende shule toka January?

Rika hilo wapo wengi tu mitaani wanabebeshwa mimba hakuna mwenye muda nao kisa siyo wanafunzi ila akitaka kuolewa kwa mahari tu, wanajitokeza wasamaria.

Hao wasamaria hawana lolote ni wivu tu![emoji16].

Kuna mimama kibao iko huko Halmashauri ofisi za ustawi imekwama kupata ndoa inamuonea dogo wivu[emoji23]
 
Back
Top Bottom