Duh hana kazi na ataishia jela yani unaharibu maisha yako kwa ajili ya kuendekeza hisia na hasiraNa inasemdkana huyo dem alitembea na mme wa mtu,mke ambaye ni polisi ndy alisuka mission hiyo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hana kazi na ataishia jela yani unaharibu maisha yako kwa ajili ya kuendekeza hisia na hasiraNa inasemdkana huyo dem alitembea na mme wa mtu,mke ambaye ni polisi ndy alisuka mission hiyo
Ova
Wale madogo ni wapumbavu. Kama ni wanajeshi wanapoteza kazi na kwenda jela miaka.Mtu tano mkuu, sio siri video inasikitisha sana. Wamemfanyia unyama sana yule mtoto
Utakuta huyo mke wa mtu nae ana mpenzi wake mme wa mtu.....Na inasemdkana huyo dem alitembea na mme wa mtu,mke ambaye ni polisi ndy alisuka mission hiyo
Ova
Sijaelewa stor inaendaje? Aliyebakwa ni wa kike au wa kiume?Daah imeniuma sana inaonekana huyo aliyewakodisha hao vijana ni askari wa kike na inaonekana baadhi ya walioshiriki kumdhalilisha huyo binti ni askari wa jeshi la polisi la Tanzania.
Wa kikeSijaelewa stor inaendaje? Aliyebakwa ni wa kike au wa kiume?
Kaweka na sura kabisa akikamatwa ataweleta wenzake
Asee hebu nishirikishe hiyo dhambi. PM
Inasikitisha sana, hii haivumilikiKumbe ni maafande akili kisoda
Haya majamaa majinga sana acha yakamatwe. Unafanya uhalifu mkubwa kama ule halafu unajirekodi tena kama uko harusini? Kama haitoshi, unasambaza tena ile video!Na inasemdkana huyo dem alitembea na mme wa mtu,mke ambaye ni polisi ndy alisuka mission hiyo
Ova
Walifanya ujinga (walipigwa na maluwe luwe kwa sababu ya unyama wao)wakaiachia. Imeshasambaa sana.Hawawezi kukutumia mkuu, maana wenye hiyo video ndiyo wabakaji wenyewe unataka wajichoreshe
Wa kulaumiwa ni huyo mwanaume. Kwanza kale kabinti kanaonekana ni kashamba na huenda huyo mume wa mtu alikadanganya hajao. Kiumri anaonekana ni mdogo sana.kwann utembee na mme wa mtu ?
Duh🥺🥺🥺Na inasemdkana huyo dem alitembea na mme wa mtu,mke ambaye ni polisi ndy alisuka mission hiyo
Ova
Wanawake wanaofanyiwa unyama namna hii wako wengi tu sema wanaogopa kutoka hadharani. Hata huyu kama siyo hao wabakaji kujirekodi na kuiachia mambo yangeisha hivi hivi kwani kale kabinti kanaonekana ni kasingeweza kusema chochote.Aisee wakikamatwa tuh jela maisha maana huo NI mtungo na hukumu Yake NI maisha