Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwann utembee na mme wa mtu ?
Waanze na huyo mke tu,mambo ya uchunguzi unaendelea hayana maana.Na inasemdkana huyo dem alitembea na mme wa mtu,mke ambaye ni polisi ndy alisuka mission hiyo
Ova
Halafu wanakataza baada ya wao kuiona...Hiyo hatukubali...Na sisi lazima tuione, ndio wakataze. Mwenye hiyo kitu tafadhali...Sasa polisi wanakataza watu kuendelea kuisambaza hiyo video, sasa wao polisi wangeiona vp kama watu wasingekuwa wanaisambaza?
Anyway, mwenye video naomba anitumie 😎
Mkuu mbona unawasemea wanawake na wewe ni Ke ?? Nauliza tuMhh mwanamke anaweza kwenda hata na mtu 10.ko hawajamkomoa bado
Na huenda aliwahonga uchiKwa hiyo mpango ulifanywa na "mke wa mtu" bila shaka
Maafande wenyewe ni kama wako under 18Kumbe ni maafande akili kisoda
mi nawajua wanawake nawajua wanyama nawajua mpka samaki na ndege...hivyo naweza kuwasemea tuMkuu mbona unawasemea wanawake na wewe ni Ke ?? Nauliza tu
Wa kulaumiwa ni huyo mwanaume. Kwanza kale kabinti kanaonekana ni kashamba na huenda huyo mume wa mtu alikadanganya hajao. Kiumri anaonekana ni mdogo sana.
Hata RC Mtumbuliwa wa Simiyu naye ni ChademaNoma sana
Chadema Hawa wamebaka
!!!!???. Unajua kusoma kwa ufahamu?acha kuanza ku complicate mambo. Wabakaji na aliowatuma wafyekwe ndani
Umejuaje?Mbona kama wale madogo ni askari
Tetesi zinasema mwanamke aliyeanda pambano hilo ni askrMbona kama wale madogo ni askari
Ni ujinga wa kiwango cha lami. Badala kubdeal na mume unaenda ku deal na mwanamke mwanzako. Kazi hana, mume atamkosa na jela inamhusu. Wakati mwingine sijui watu wanafikiria kwa kutumia nini.Duh hana kazi na ataishia jela yani unaharibu maisha yako kwa ajili ya kuendekeza hisia na hasira
NyongaaaNo mercy for sexual sadists and deviants 📌
No mercy for rapists 📌
No mercy for pedophiles 📌
Kamata piga mvua 30+ hao mbwa!
....and no probation!
View attachment 3061440