babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hao ni watu wanamtandika kila siku on daily basis.Na huenda aliwahonga uchi
Tuliambiwa tusishindane na mahali tulipotokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni watu wanamtandika kila siku on daily basis.Na huenda aliwahonga uchi
Hasira na kisasi ni kazi ya shetani ukijiona una pata hasira jitahidi sana kujidhibiti maana yake umetawaliwa na shetani kuna siku hasira zitakuponzaNi ujinga wa kiwango cha lami. Badala kubdeal na mume unaenda ku deal na mwanamke mwanzako. Kazi hana, mume atamkosa na jela inamhusu. Wakati mwingine sijui watu wanafikiria kwa kutumia nini.
Wambura atamlinda huyo askari subiri uone.Ni ujinga wa kiwango cha lami. Badala kubdeal na mume unaenda ku deal na mwanamke mwanzako. Kazi hana, mume atamkosa na jela inamhusu. Wakati mwingine sijui watu wanafikiria kwa kutumia nini.
Hatari sana.....Hivi huwa wanacheck Afya zao kabla ya hizo party zao??
Binadamu sijui tumekuwaje jamani.!!
Najua hujaifuta 😹😹😄 nishaifuta
Ova
Aise hao hawatakiwi kulindwaWambura atamlinda huyo askari subiri uone.
Raia hawaogopi aisee.!!Hatari sana.....
Ova
Seriously nmeifuta,ila huyo binti apewe haki yake tunajuwa tamaa zinawaponza hawa lkn siyo kumfanyia hivyoNajua hujaifuta 😹😹
Ila usiwatumie waache wapambane na upwiru wao.!!
Haya bana Ila sina uhakika.!!Seriously nmeifuta,ila huyo binti apewe haki yake tunajuwa tamaa zinawaponza hawa lkn siyo kumfanyia hivyo
Ova
Dar usiku kuna mambo mengi sana....Raia hawaogopi aisee.!!
Hapana mimi sitaki hata kuiona mkuu ni udhalilishajiIngia X account ya patron wa geita kapost.
Nawasikitikia sana wazazi sahvHaya bana Ila sina uhakika.!!
Hao vijana na huyo boss wao wachukuliwe hatua ni ukatili wa hali ya juu, nimeona wamemshikia mpk chupa ya bia wanamforce vitu vya ajabu.!
Sijui tutawaficha wapi watoto zetu na hii dunia ya hovyo.!Nawasikitikia sana wazazi sahv
Ova
Kabisa ila sasa mbona mwanamke anatoa ushirikiano kabisa cio Malaya wamemnunua?Hapana mimi sitaki hata kuiona mkuu ni udhalilishaji
Aliomba maji sjui walimpaIla wale majamaa makatili dih, Mmoja anakwambia "Mi nikija ni mavi tu au Jokeri"