Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Hile kitu haikomolekiMtu tano mkuu, sio siri video inasikitisha sana. Wamemfanyia unyama sana yule mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hile kitu haikomolekiMtu tano mkuu, sio siri video inasikitisha sana. Wamemfanyia unyama sana yule mtoto
Wakajikuta wahuni. Ngoja wakutane na wahuni wenyewe.
Aise chukua kinywaji unachokunywa ntalipa!Wakipatikana hatua Kali na nzito zichukuliwe dhidi Yao wabakaji wakubwa
Duniani hakuna kitu kinaitwa mme wa mtu Kuna mke wa mtu pekee.
Wakamatwe haraka sana
Polisi Tanzania wananishangaza sana kwa kweli, jambo kama hili lichukuliwe serious na hawa watu wapewe adhabu wanayostahili maana hujui mangapi wamefanya ila shida yangu ni hawa police. Kwenye sauti yule mdada alikuwa na mume wa mtu na anaambiwa omba msamaha na kamuomba msamaha, sasa mimi sio mpelelezi kweli gumu kuwapata? muulize Dada ni mwanamme gani huyo, alikuwa anamuomba msamaha nani huyo akamwatwe kwanza aunganishwe na watu aliowatuma liwe funzo kwa upumbavu kama huu. Kitu hakikubaliki kabisa kachukuwa mume wako nenda kampige makofi mumeo.Wakipatikana hatua Kali na nzito zichukuliwe dhidi Yao wabakaji wakubwa
Duniani hakuna kitu kinaitwa mme wa mtu Kuna mke wa mtu pekee.
Dunia itaisha mda si mrefu ,shetani anaebdesha Dunia kwa Namana anavyotaka.Nchi hii imefikia kubaya sana
Kuna uchafu mwingi unafanyika
Sasa 9,10 kuna yale matamasha ya baikoko ni nomaaa huko watu wanapigana mtungo wanazamishana chupa huku singeli amapiano wakitumbuiza
Dar sahv kuna wDada wanaanda sex party nahisi muandaji anafahamika wanauza kadi kingilio,huko watu watmbn wanafln
Ova
Nliishigi nchi moja huko Latin America balaa nlizoona kuleDunia itaisha mda si mrefu ,shetani anaebdesha Dunia kwa Namana anavyotaka.
Safi kabisa waanzie hapo kamata huyo mume na mke watasema nani walihusika ni vurumisha wote miaka ya kutosha jelaPolisi Tanzania wananishangaza sana kwa kweli, jambo kama hili lichukuliwe serious na hawa watu wapewe adhabu wanayostahili maana hujui mangapi wamefanya ila shida yangu ni hawa police. Kwenye sauti yule mdada alikuwa na mume wa mtu na anaambiwa omba msamaha na kamuomba msamaha, sasa mimi sio mpelelezi kweli gumu kuwapata? muulize Dada ni mwanamme gani huyo, alikuwa anamuomba msamaha nani huyo akamwatwe kwanza aunganishwe na watu aliowatuma liwe funzo kwa upumbavu kama huu. Kitu hakikubaliki kabisa kachukuwa mume wako nenda kampige makofi mumeo.
Shetani ashashida mpaka sahviDunia itaisha mda si mrefu ,shetani anaebdesha Dunia kwa Namana anavyotaka.
Mkuu nimekuja huko nirushie nishangaeNjoo chemba
Maana natak kuifuta sasa
Ova
Ndio maana hutakiwi kushindana nako kule.Mtu tatu ndan ya track Moja na track imetokaa nzimaa...
Kesi ikishafika makao makuu polisi lazima udakwe. Na gerezani utakwenda tu.
Hiyo ni njia ya kumlinda huyo Mjeshi na Waliofanya huo unyama.Jeshi la Polisi limesema limeona taarifa na clip kwenye mitandao ya Kijamii ya Mwanamke anayebakwa na Wanaume Watatu kwa wakati mmoja
Jeshi la Polisi limesema linafuatilia tukio hilo la kinyama na kuwataka Wananchi wenye taarifa za kufanikisha Watu hawa Kukamatwa mara Moja waziwasilishe polisi
Taarifa imetolewa na DCP Msiime
Msemaji wa Polisi
View attachment 3061184