Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Kweli kabisa,nakumbuka nilipokuwa secondary,jamaa zangu waliniambia kuna dada anatakiwa akabakwe msituni wa shule,Mimi moyo wangu uligoma kabisa, Matokeo yake wote walifukuzwa shule!Sasa wamekuwa watu wazima,mmoja nilikutana nae anajutia jambo hili na halitokaa limtoke kichwani ni la kipuuzi mno.Nafikiria tu jinsi ambavyo wazo la mtu mmoja linavoenda kuwaponza watu wengi ndo maana in lazima kujiepusha kuwa na marafiki wasiofaa maishani mwetu,
Kati ya wale watano kuna mmoja alipewa taarifa na akaamua kuwashirikisha rafiki zake kwa sasa wapo katika majuto makubwa mno.
Na mmoja anavuta sijui ni bange Ile au sigaraKweli
Kweli kabisa,nakumbuka nilipokuwa secondary,jamaa zangu waliniambia kuna dada anatakiwa akabakwe msituni wa shule,Mimi moyo wangu uligoma kabisa, Matokeo yake wote walifukuzwa shule!Sasa wamekuwa watu wazima,mmoja nilikutana nae anajutia jambo hili na halitokaa limtoke kichwani ni la kipuuzi mno.
Soma uelewe mkuu mimi na ulizia sura za hao jamaa mkuu ila kama wameshatiwa nguvuni inatoshaMkuu si useme hujaiona video unataka kutumiwa😁😁😁
Ila wahuni si washajulikana na mpaka aliyetoa kazi tumeshamjuaa...
Ni kweli, hawaaminiki kabisa.Usiwaamini sana wanaposema tunaomba ushirikiano wako maana unaweza kujikuta matata ni bila kutegemea
Hadi kupata dhambi inahitaji uwe na connection😂Kila kona wanajadiliwa hawa jamaa halafu mimi mpaka sasa sijaona hiyo video!
Ina maana huu mji umeniacha kabisa!
😮
Oya.. sasa sina connection kabisa yaani..Hadi kupata dhambi inahitaji uwe na connection😂
Ushirikiano wa wananchi wala sio jambo la msingi,swali lipo wale ambao hawa wajui watajuaje wa husika ndo hawa ili wasaidie kutoa ushirikiano
Lets not base on one side,tumesikia malalamiko ya wanaume wengi kama unavyodai,hebu tujaribu kusikia upande wa wanawake na changamoto zaoWanandoa wengi hasa wanaume wamekuwa wakilalamika humu jf na mitandaoni kuwa hawapewi tendo la ndoa pale wanapohitaji kwa wakati na wake zao hili uoni kuwa linaweza likawa sababu ya kucheat sometimes tusikariri eti wanaume wote wana hulka ya kutoridhika
Ndugu ni wale wapongezi kwa kunyoa vichwa?Nafikiria tu jinsi ambavyo wazo la mtu mmoja linavoenda kuwaponza watu wengi ndo maana in lazima kujiepusha kuwa na marafiki wasiofaa maishani mwetu,
Kati ya wale watano kuna mmoja alipewa taarifa na akaamua kuwashirikisha rafiki zake kwa sasa wapo katika majuto makubwa mno.
Hapo lazima connection na shetani.Hadi kupata dhambi inahitaji uwe na connection😂
Well said,watu wengone wana msongo wa mawazo na shida za akili ambayo inapelekea wao kuchukua maamuzi ya kijingaNi kweli kabisa, ni ujinga ku deal na side chick, tatizo tunadhani ukishafunga ndoa una hati miliki ya mtu. Unakomaa na mahusiano ambayo unaona kabisa hakuna upendo matokeo yake ndio unafanya ujinga kama wa huyo mwanamke.
Cheating haitakaa iishe maana ilikuwepo toka dunia iubwe.
Nichakijinga kutokana na uelewa wakoUshirikiano wa wananchi wala sio jambo la msingi,
Haja ya wananchi kuwajua wahusika kwa sura haipo. Labda kama una nia yako nyngine na hio video
Kwani hata hao wananchi wasipo toa huo ushirikiano ndio Mamlaka zitashindwa. ?
Mbona hichi unacho hoji nicha kijinga sana
Marafiki wa mkumbo mkumbo ni wabaya sanaNafikiria tu jinsi ambavyo wazo la mtu mmoja linavoenda kuwaponza watu wengi ndo maana in lazima kujiepusha kuwa na marafiki wasiofaa maishani mwetu,
Kati ya wale watano kuna mmoja alipewa taarifa na akaamua kuwashirikisha rafiki zake kwa sasa wapo katika majuto makubwa mno.
Pole mkuu! 😂Oya.. sasa sina connection kabisa yaani..
Wana wanaangalia wenyewe tu.
Au nidiwnload telegram na TikTok ndiyo nione?
Wapo wengi sana majeshini. Huwa nashangaa wabongo wanavyolisifia kupitiliza jeshi letu wakati limejaa vilaza idadi isiyohesabika. Wangekuwa hata mafundi seremala njaa kali sidhani kama wangefanya hivyo.Hivi inakuwaje mtu Mwanajeshi ufanye kitendo kibaya kama hicho, ujirekodi na kisha uiweke hadharani mitandaoni?? How comes???
Ni kweli Wana akili timamu sawa sawa kweli???
Ahsante.. hebu tuwekane wazi, wewe umeiona?Pole mkuu! 😂