kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Acha mawasiliano kwa ushirikiano zaidi kesho yake unajikuta unahusikaUsiwaamini sana wanaposema tunaomba ushirikiano wako maana unaweza kujikuta matata ni bila kutegemea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mawasiliano kwa ushirikiano zaidi kesho yake unajikuta unahusikaUsiwaamini sana wanaposema tunaomba ushirikiano wako maana unaweza kujikuta matata ni bila kutegemea
Unakuta mtu anajigamba nitamkomesha, comeon, si utumie hizo nguvu kwa mambo ya msingi.Well said,watu wengone wana msongo wa mawazo na shida za akili ambayo inapelekea wao kuchukua maamuzi ya kijinga
Mimi sijaiona na wala i am not looking forward to see it. Kumbe tunatakiwa tuione pia..?Ukute Kuna mtu Bado hajaiona hio vedeo...!!
Nitumie nione 0757503034Ukute Kuna mtu Bado hajaiona hio vedeo...!!
Sijui walikuwa wanawaza nini. Hawa ni wahuni by nature. Sijui huko jeshini waliingiaje. Huyo sijui boss wao naye ni muhuni. Yaani hili litamfanya mume wake ajuie kumbe alikuwa anaishi na jambazi ndaniShetani akikutawala dakika kumi anaweza kupoteza maisha yako yote yaliyobaki!
Hawa watu walikuwa wanajua kuwa kwa kufanya hivi wamejihukumu kwenda kufia jela?
Excitedly waiting 🤣Kaiona! Wewe subiri anitumie nitakupunguzia dhambi
1)UKIAMBIWA CHAGUA KATI YA PESA NA ELIMU JIBU NI KUCHAGUA PESA.Bora ukose pesa ila sio akili.
Nitumie pmView attachment 3062705View attachment 3062706 Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah
Tupe connection au tuma pmPole mkuu! 😂
We sema tu unapenda iyo mambo isambae basiNdugu zangu salaam
Kutokea tukio la binti kufanyiwa ukatili wa kingono na njemba zaidi ya wanne kumekua na makatazo mbali mbali na amri za kutisha zakutokuisambaza video iliyorekodiwa ikionyesha wahusika waliotekeleza unyama huo huku tukifahamu kweli ni kinyume cha sheria kuendelea kusambaza
Pia vyombo mbali mbali vimeomba na kuombwa ushikikiano ili watu hao watiwe nguvuni .
Swali ni kwamba
1: Huku uraiani kuna wengine wanaoishi na ndugu jamaa na marafiki zao au walikua marafiki zao, watajuaje wahusika ni hawa ili wawachomeshe wakamatwe kama kuna katazo la kuendelea kuisamba hiyo video limetolewa na huku inafahamika kuendelea kuisambaza ni kinyume na sheria?
2: Tunajua walikuwa wanaenda kwenye nyumba za ibada, sehemu za huduma za kijamii, na kwenye mikusanyiko mbali mbali au sehemu za starehe, je, kama wametoa katazo ni vipi raia ambao hawajaona sura za wahusika wataweza vipi kushirikiana kutoa taarifa au kuwatia nguvuni kuwa wa husika ni hawa ili hali kunakatazo limetolewa la kutokuendelea kusambaza ile video ya unyama uliofanyika ambapo tunajua kuisambaza ni kinyume na sheria za mtandaoni?
Nb. Sipo hapa kuhalalisha hiyo video iendelee kusambazwa na ninapinga vikali maana ni kuvunja sheria kuendelea kuisambaza
Ila ...
Je, nini kifanyike ili sura za wahusika waliotenda kosa hilo zipatikane haraka na kuwekwa wazi ili kuwezesha kupatikana ushirikiano wa haraka kutoka kwa raia utakao wezesha hao jamaa watiwe nguvuni upesi na sheria ifate mkondo wake.
Pm videoNo mercy for sexual sadists and deviants! 📌
No mercy for rapists! 📌
No mercy for pedophiles!📌
➡️➡️➡️ Kamata hawa mbwa na piga mvua 30+
....and no parole!
View attachment 3062677View attachment 3062678