Afcon 2027
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 309
- 579
Siyo askari waleMbona kama wale madogo ni askari
Atuwez kua na askari wapumbavu kiasi kile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo askari waleMbona kama wale madogo ni askari
Bila shaka wewe sio mtanzania tuache na nchi yetu tunawajua vizuri askari wetu.Siyo askari wale
Atuwez kua na askari wapumbavu kiasi kile
Usidhalilishe lami brotherNi ujinga wa kiwango cha lami. Badala kubdeal na mume unaenda ku deal na mwanamke mwanzako. Kazi hana, mume atamkosa na jela inamhusu. Wakati mwingine sijui watu wanafikiria kwa kutumia nini.
Unatakiwa uwasaidie polisi maana unaonekana hili tukio unalijua vizurKWANINI UTEMBEE NA MUME WA MTU ?
NB : sizan kama wanawake huwa wanatongoza wanaume.
Jamaa anashangaza sana sijui ndiye aliyechukuliwa mume.Hivi wewe una akili au mjinga mjinga? Huoni walipokua wanamtishia kumpiga na chupa? Unajua alipitia mateso ya aina gani mpaka akaamua kuwapa ushirikiano yaishe?..umeangalia clip 3 na ile ya mwisho umeiona?
Brother UVCCM tupo makini and trust me sis ndo wakombozi wa this Country.....tutakuja kuikomboa na kuinyosha Tanzania yetu.......ni muda sahihi wa kuleta changes na changes za kwel zitapatkana kwetuhiyo ndo biashara ya uvccm
Hahahaj, jinga sana. Sasa anafaidika na nini. Unachukua wahuni huko ambao hawana cha kupoteza wanakuja kukuharibia maisha.Usidhalilishe lami brother
Iyo askari no mjinga kama kinyesi
To me anafaa kufananishwa na kinyesi
Mimi niliondoka zangu. Ukiona hamuendani ni kumuacha aende. Huna hati miliki ya binadamu. Mapenzi huwa yanaishaHuyo mke kichwa maji achunguzwe,unashindwa kudeal na mmeo malaya unadili na mtoto wa watu,mi sijui nikoje kuna wakati nakutaga mambo ya hovyo ila sijawahi mtafuta mtoto wa mtu.
Mpumbavu sana yaaanHahahaj, jinga sana. Sasa anafaidika na nini. Unachukua wahuni huko ambao hawana cha kupoteza wanakuja kukuharibia maisha.
Hawa pamoja na huyo aliyewatuma hawaponi. Kuna mashirika yameshaanza kulishikia bango hili.Mpumbavu sana yaaan
Imeniuma as if alefanyiwa vile ni dada yangu and I swear ntafatlia ad afkuzwe Kaz plus kuwajibishwa
Tunakuaje na watu wa ajabu namba Ile nchiniHawa pamoja na huyo aliyewatuma hawaponi. Kuna mashirika yameshaanza kulishikia bango hi
Hao ni maafande rejea lugha ya kuitana "baba" Mara nyingi utumia kuitana katika mawasiliani Yao unaweza kuwa ni PT au TPDFIla wale jamaa sijui wa wapi yaani unabaka huku unajirekodi then unatuma kwa watu ni kwamba nchi hii ya baba ako umeishika🚮🚮
Hapana siyo maafande waleHao ni maafande rejea lugha ya kuitana "baba" Mara nyingi utumia kuitana katika mawasiliani Yao unaweza kuwa ni PT au TPDF
Hapana siyo maafande wale
Ni wahuni tu....na muda wao wa kuangamia umefika
Brother ao cyo maafandeHao ni maafande hata namna Yao ya kuzungumza inawafichua, au haujawai kujichanganya nao
Hao vijana(maafande) kwenye clip wanamwambia Binti mwombe msamaha afande(alieibiwa mume) sasa inawezekana vipi kwenda kutafuta raia wa kawaida kumfanyia unyama huyo mtoto wakati unajua raia na askari hawachangamani kwa upande mwingine hilo jambo ni kisasi na pia inahitajika kutunza siriBrother ao cyo maafande
And kesho utaskia report zao
Utakuta huyo mke wa mtu nae ana mpenzi wake mme wa mtu.....
Duniani kuna unafiki na ubinafsi sana 😹
Wa kulaumiwa ni huyo mwanaume. Kwanza kale kabinti kanaonekana ni kashamba na huenda huyo mume wa mtu alikadanganya hajao. Kiumri anaonekana ni mdogo sana.