Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Doh!Link inagoma kuattach mkuu
Hebu jaribu jaribu tena na tena😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doh!Link inagoma kuattach mkuu
Hahahahaha, matatizo mengine huwa mnajitafutia wenyewe, nakukumbusha tu ,kusambaza picha za ngono za udhalilishaji ,ambazo tayari Polisi imeshatoa tamkoAu ndio maana link inanigomea kuattach
Asante kwa taarifa mkuu,. Walahi sitajaribu tenaHahahahaha, matatizo mengine huwa mnajitafutia wenyewe, nakukumbusha tu ,kusambaza picha za ngono za udhalilishaji ,ambazo tayari Polisi imeshatoa tamko
Ina maana hata kichwa cha habari cha mleta mada hujasoma?Binti alikosea nini?
Sio nchi bali watu au raia na tabia zao ndio shida au tatizoIla hii nchi hii,. Duuh🤔
Usiishee kwa watu wengine, utajitafutia msala, nilliingalia kupitia akaunti ya twitter (X) ya mtu anaitwa Patron wa geita nikaiacha huko huko wala sikuisevu.Asante kwa taarifa mkuu,. Walahi sitajaribu tena
Mwenyewe nilikua nataka nimtumie link akaangalizie x lakini basi ngoja tuache tuUsiishee kwa watu wengine, utajitafutia msala, nilliingalia kupitia akaunti ya twitter (X) ya mtu anaitwa Patron wa geita nikaiacha huko huko wala sikuisevu.
Ndiyo ni ma PTE.. privateNimeangalia saizi kipenzi,. Kiukweli inasikitisha lakini mbona kama hao majamaa wote ni askari na sio wahuni kama wanavyosema🤔🤔,. Halafu huyu binti em ngoja kwanza…. Halafu mbona kama majamaa ndo wanaonekana walichoka halafu binti bado wamoto,. Like howw??🤔🤔
Au sio katoto🤔
Ni wadogo. Nia askari hali kabisa. Waliagizwa na boss wao wa kike.Nimeangalia mkuu inasikitisha kwakweli,. Halafu hawa majamaa mbona kama ni askari na sio wahuni tu kama wanavyosema🤔🤔,. Nimeangaliaa style zao za kunyoa na ndevu pia mbona hawana,. Na wengine ni kama ni wadogo bado🤔
Pm nione nitoeUkichek walivyomfanyia noma
Inatia hasira alaf kuna mwamb anakuambia nkiingia mm nachezea tope tuu dah
Bint kdg sema kanaonekana mambo mengi
Ova
Aingie kwenye hiyo akaunti ya twitter kama jamaa hajaifuta. Ila inakera na kutia hasira sana. Wale mbwa kama wangemfanyia vile binti yangu au ndugu yangu hakika wangelipaMwenyewe nilikua nataka nimtumie link akaangalizie x lakini basi ngoja tuache tu
Nitumie pmWengi kama mimi tu,. Ngoja nitulie nikutumie mkuu
Labda nikusaidie kidogo kwenye imagination ili kukushepBasi ngoja niendelee tu kuimagime
Ndiyo ni ma PTE.. private
Kwani hakuna askari muhuni? Wapo.
Mtu kamaliza Level 3 mwaka huu means ni mpya bado kwenye game. Hata umoto moto wa kozi haujamuisha. Wenge la boss kampa kazi ndio maana wakakosa hata akili za kufikiria itakuwaje wakijulikana.
Mimi sijaona 😂😂
maybe sio mtoto. Au ni hao watoto wakubwa wa 2000s… katoto kamewapelekea moto 🤔🫢
Haina tofauti, maana hawa ni kifungo cha maisha. Hawa watakuwa na mlolongo wa uhalifu mitaani huko.Angekata moto na kesi ingekuwa kubwa zaidi, murder case!
Wee, hii issue sio yabkitoto. Wanasheria nguli wameshilia bango. Hawachomoki nakuambia. Kuvuja kwa video kutasaidia kwenye ushahidi.Hawatafanywa kitu hao mtaambiwa tu Binti hatoi ushirikiano kwa jeshi la police
Huyo boss ni wa kufungwa maisha pamoja na wahuni wenzieNi wadogo. Nia askari hali kabisa. Waliagizwa na boss wao wa kike.
Umeongea vizuri tena kwa uchungu kana kwamba una ka jiexpirience. Uliwahi kuchitiwa labdaThere is no justification in cheating dearest, ukisema utafute chanzo wakati mwingine wala hutakipata, wanaume wameumbwa as polygamist in nature kwa hiyo hata uwe mwanamke perfect and a half bado watacheat sema its more painful anapokucheat wazi au ukagundua, nyumba inakua haina heshima, afanye tu huko ila anaporudi nyumbani kunakua na heshima
Kosa kubwa ni mwanamke kupigana na mchepuko wa mume,naona kama unazidi kujishushia heshima, ni busara kudeal with your huband and not his side chick. Na pia hakuna sababu ya kutoana toho au kutumiana wahuni,kama mtu unaona yamekushinda,leave the toxic marriage and start a new page