Pre GE2025 Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maisha yenyewe ya Dar ni Maandamano tosha. rejea mwendokasi
 

Bila kusahau wanazo wapi mahabusu za kuhifadhi hata 2,000 tu wetu?
 
Tusubirie kauli ya kamati baada yakuketi
@tanpol eti baada ya RAIS kutoa amri upelelezi kufanyika bila madam president kutoa kauli uchunguzi usingefanyika
 
Lipi jema kwa jeshi la polisi kuwaleta waliotekwa na kuwakamata watekaji au kuzuia maandamano?
Hakika hawa ni wanafiki

Maandamano yako pale pale asubiri Mwenyekiti Mbowe awajibu.

Ila nahisi Mbowe watamtaka ajisalimishe kwenye kituo cha Polisi kilicho karibu nae kabla ya sept23

Ila namtaka mbowe asijethubutu Kujisalimisha pressure ya maandamano hayo iko juu yanasubiriwa kwa hamu na watanzania wapenda haki na amani.
 
Ningependa kutoa pongezi za dhati kwa Jeshi la Polisi la Tanzania kwa kazi kubwa, ya kujitolea na ya weledi wanayoendelea kufanya katika kulinda usalama wa raia na mali zao. Kwa muda mrefu sasa, jeshi letu limekuwa mstari wa mbele kuhakikisha amani inatawala, huku likidhibiti magenge ya kihalifu na kuleta utulivu katika maeneo mengi nchini. Hii ni kazi ya kijasiri inayohitaji maarifa, nidhamu, na moyo wa kujitoa kwa ajili ya taifa.

Kupitia juhudi hizi, raia wanapata fursa ya kuishi kwa amani, kufanya shughuli zao za kiuchumi na kijamii bila hofu. Tunatambua kwamba bila usalama hakuna maendeleo, na kwa hili, tunawashukuru sana maafisa wa Jeshi la Polisi kwa kujitoa kwao usiku na mchana kuhakikisha tunabaki salama. Tunaamini kuwa kwa ushirikiano wa jeshi na wananchi, Tanzania itaendelea kuwa ngome ya amani na utulivu. Hongereni sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kufanya kwa ajili ya taifa letu! #JeshiLaPolisi #AmaniNaUsalama #Tunawaamini
 
Nchi hii haina demokrasia kabisa.
 
Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoan
Jeshi la polisi ni zaidi ya kwuma. Kwani maandamano ni uhalifu? Sijawahi kusikia kauli ya kipumbavu kama hii iliyotolewa na jeshi la poliCCM. Mbona CCM wakitaka kuandamana hawaulizwi? Wapuuzi wakubwa mbwa koko!
 
Andamaneni sasa keyboard warriors. Kelele za nini?
 
Subiri trh 23

Waambieni wanaopaswa kuwajibika wawajibike na wawarudishe waliowakamata kinyume cha Sheria tofauti na hapo maandamano yapo palepale
 
Kwa hiyo sasa unapendekeza tubakie kulia lia labda watatuonea huruma?
Watanzania walio wengi wako Bize na Yanga na Simba mtu wa namna hiyo ni kazi sana kumkomboa.

Yale Maandamano ya juzi juzi wengi walikuwa wanashangaa tuu wamekaa kwenye Vijiwe vyao vya Kahawa.
 
Chadema,hekima ni kusubiri upelelezi ukamilike, muone nini kimeletwa mezani, tukijadili tuone!
Hakuna uchunguzi wowote unafanywa na hao wahalifu. Imekuwa ni kawaida ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola kuumiza, kuacha wapinzani na vilema vya maisha, hata vifo kisha polisi kujifanya wanafanya uchunguzi bila kutoa majibu. Kwa sasa uvumilivu umefikia mwisho. Cdm wafanye kama walivyofanya wamasai ili wawapate wanachama wao. Kuendelea kutegemea hao watuhumiwa kutoa taarifa ni kujidanganya.
 
Kwahiyo hawafanyi kazi mpaka raisi atoe kauli ya kuwatuma. Ndio maana policcm hawapo kwaajili ya kuwalinda wananchi kiujumla bali kwa kukilinda chama cha majambazi(ccm)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…