Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na UVCCM nchi mzima hayataruhusiwa.

Wametoa sababu kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii.


My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari

Polisi Tanzania inabidi itambue kuwa kuandamana Ni takwa la kisheria ,na si utashi wowote wa mtu au taasisi kuamua lini na Nani aandamane ikiwa maandamano ni ya amani

Mdude chadema anataka kufanya maandamano ya amani, kwa kile anachoona kuwa rasilimali ya nchi inataka kupotea kiraisi, naomba jeshi letu la polisi liheshimu nia yake

Wakumbuke kuwa kutetea rasilimali ya nchi ipo kwa mujibu wa sheria
Maigizo tupu
 
Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na UVCCM nchi mzima hayataruhusiwa.

Wametoa sababu kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii.


My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari

Polisi Tanzania inabidi itambue kuwa kuandamana Ni takwa la kisheria ,na si utashi wowote wa mtu au taasisi kuamua lini na Nani aandamane ikiwa maandamano ni ya amani

Mdude chadema anataka kufanya maandamano ya amani, kwa kile anachoona kuwa rasilimali ya nchi inataka kupotea kiraisi, naomba jeshi letu la polisi liheshimu nia yake

Wakumbuke kuwa kutetea rasilimali ya nchi ipo kwa mujibu wa sheria
Mdude chadema anataka kufanya maandamano ya amani, kwa kile anachoona kuwa rasilimali ya nchi inataka kupotea kiraisi, naomba jeshi letu la polisi liheshimu nia yake[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1689580170602.png
 
Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na UVCCM nchi mzima hayataruhusiwa.

Wametoa sababu kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii.


My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari

Polisi Tanzania inabidi itambue kuwa kuandamana Ni takwa la kisheria ,na si utashi wowote wa mtu au taasisi kuamua lini na Nani aandamane ikiwa maandamano ni ya amani

Mdude chadema anataka kufanya maandamano ya amani, kwa kile anachoona kuwa rasilimali ya nchi inataka kupotea kiraisi, naomba jeshi letu la polisi liheshimu nia yake

Wakumbuke kuwa kutetea rasilimali ya nchi ipo kwa mujibu wa sheria

Kuna ukweli kuwa maandamano ya UVCCM yaweza kusababisha uvunjifu wa amani kwa sababu lengo lake ni kinyume na hisia hasi za uwekezaji bandari kwa huo mkataba wa makubaliano (IGA). Aidha kundi la vijana wanaoupinga au wasio itakia mema nchi wanaweza kuvuruga maandamano kukatokea vurumai.

UVCCM wajifikirie
 
Lazima tuandamane tukiimba "Mwarabu arudi kwao atuachie bandari yetu"
Lini tumeandamana kuhusu migodi yetu na kuhanikiza "mzungu arudi kwaooooo"[emoji1787][emoji1787]

Shuleni tunakwenda kusomea upumbavu ?!!![emoji1787]
 
Jeshi letu linaongozwa na watu wenye upeo mdogo sana. Kwa kupanga hii mbinu chafu yenye lengo la kufanya kitendo kilicho kinyume cha katiba, kwa upeo wao mdogo walio nao, wanaona wametumia mbinu ya akili kubwa sana, kwa sababu ndipo upeo wao unapoishia.

Polisi na huyo mwenyekiti wa UVCCM, watambue kuwa wananchi wana akili zaidi yao maradufu, vimbinu vya kijinga kama hivyo havina msaada wowote.
Tunasubiri tamko la mwenyekiti wetu.....

Hapa tumejiandaa vyema kuandamana kusapoti uwekezaji huo....

Tuna ari na nguvu ,tumejiandaa kupigwa mabomu ya machozi.....

Vivaaa green guard [emoji123][emoji123][emoji123]
 
Mlezi wa UVCCM TAIFA ni Nani???

Katibu mkuu wa CCM TAIFA kuna mahali Hauko sawa , Wewe ni mlezi wa UVCCM , ulikuwa wapi hadi Wanatangaza maandamano haramu!!

Inakuaje Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hadi anatangaza maandamano nchi nzima alikuwa ameshauriwa na Nani???
Wanaopinga uwekezaji wametutia Moto.....tumeamua kuandamana na hatumsikilizi mtu....kama mabomu ya machozi tupigwe tu.. .haiwezekani watu wachache wakapotosha maslahi ya umma......
 
UVCCM NA POLISI HII WALIPANGA ILI KUONYESHA KUWA UVCCM WAMEZUILIWA MAANDAMANO BASI WENGINE WAJAO WATAZUILIWA, KITAELEWEKA SOON.

Maandamano yako pale pale trust me.
UVCCM na polisi wapi na wapi?!!!

Sisi tunafanya siasa....polisi wetu wanasimamia kazi zao kikatiba....wana haki ya kuyapinga maandamano haya.....ila kwetu si haramu....tuko tayari kuandamana hapa tunasubiri tu tamko la mwenyekiti wetu mh.Komredi Kawaida.....akiturudisha nyuma TUNARUDI....akitutia NDIMU....tunasongesha.....ITIKADI YA UVCCM mioyoni ni kubwa kuliko maumivi ya MABOMU YA MACHOZI......
 
Polisi na UVCCM walipanga maandamano na UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike 18,07,2023 na baadaye Polisi watangaze maandamano yamefutwa ili kuhadaa UMMA WA WATANGANYIKA.
Unadanganya kweupeee.....

Maandamano ni kazi yetu.....polisi wanafanya kazi zao nao......
 
CCM wanatumia mbinu nyingi sana sana Ili mkataba wa kihuni upate na ufanikiwe.

WATANGANYIKA TUSIKUBALI HATA KIDOGO
Kama zilivyo mbinu chafu za mh.Mbowe kuuhadaa umma dhidi ya maslahi mapana ya uwekezaji bandarini ?!!!
 
Ngoja tuone.
Tunasubiri tamko la mh.mwenyekiti wetu komredi Kawaida....akisema tusongeshe tunaandamana kuufahamisha umma umuhimu wa uwekezaji bandari..... tumejiandaa kuchapwa mabomu ya machozi....

Tunasubiri tamko tu....akisema turudi nyuma tunarudi....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Back
Top Bottom