Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

uwekezaji pale bandarini ukizihusisha nchi mbili Tanzania na UAE umepamba moto huku CCM ikijiapiza kuandamana kuunga mkono hoja .Tumeona pia wana harakati wakiitwa police kuhojiwa kujieleza kuhusiana na walikchokisema kuuhusu mkataba wa bandari kati ya Tanzania na DP World.

CCM mkiandamana mjue na wapinzani na wanaojiita wazalendo watandamana. police itoe haki ya maandamano kwa wote
 
Lini tumeandamana kuhusu migodi yetu na kuhanikiza "mzungu arudi kwaooooo"[emoji1787][emoji1787]

Shuleni tunakwenda kusomea upumbavu ?!!![emoji1787]
mwarabu lini akawa wa kuaminika?, tunasemajeeeee - ANAONDOKA na kama unampenda basi ondoka naye.
 
Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na UVCCM nchi mzima hayataruhusiwa.

Wametoa sababu kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii.


My take,
Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba MDUDE asiweze kufanya maandamano ya vijana nchi mzima kupinga mkataba wa bandari

Polisi Tanzania inabidi itambue kuwa kuandamana Ni takwa la kisheria ,na si utashi wowote wa mtu au taasisi kuamua lini na Nani aandamane ikiwa maandamano ni ya amani

Mdude chadema anataka kufanya maandamano ya amani, kwa kile anachoona kuwa rasilimali ya nchi inataka kupotea kiraisi, naomba jeshi letu la polisi liheshimu nia yake

Wakumbuke kuwa kutetea rasilimali ya nchi ipo kwa mujibu wa sheria
Hao vijana hawakuwa na Mpango wowote wa kuandamana Ila huo mpango wa kuwazuia vijana wanaopinga huo mkataba.

Huo ni mkakati
 
mwarabu lini akawa wa kuaminika?, tunasemajeeeee - ANAONDOKA na kama unampenda basi ondoka naye.
Huna haki ya kunifukuza nyumbanu kwetu...mzee unajionaje ?!!!

Una "obssessions" na hao WAARABU ?!!!

DUNIANI watu wote hawaaminiki....linaloaminika ni "deal tu" [emoji1787]

Wangekuwa hawaingii "madeal" wasingeuza mafuta ,gesi na kupewa kuandaa KOMBE LA DUNIA kule Qatar....wewe utakuwa una akili nyingi na "UZALENDO" kuliko wazungu wa FIFA....[emoji1787]

Shule tunakwenda kusomea upumbavu?!![emoji1787]
 
Back
Top Bottom