Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi
Soma Pia:
Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi
Soma Pia:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas shut up yor bakuli! shut up your bakuli!Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi View attachment 3090505
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi nimeweka taarifa ya jeshi la polisi. nimefanya kosa lipi kuweka taarifa hiyo? Au ni wapi nimeongeza maneno yangu? Au unachuki zako binafsi tu?Lucas Kuna Muda Kunyamaza Ni bora zaidi ya Kuongea..
We endelea kuleta mzaha na uhai wa watu,hapo ulipo umepata burdannn siyoNdugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi View attachment 3090505
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nabubujikwa tu hapaNdugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi View attachment 3090505
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Atakaetoa taarifa hatarudi naeNdugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi View attachment 3090505
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Dah aisee yaani kiumbe hai yeyote akija kwako na kujitambulisha polisi na anataka kukukamata yaani ni marufuku kabisa hata kuongea naye yaani pambana muuane hapo hapo. Yaani hata kusimamishwa na polisi kama una gari sehemu y porini aisee usisimame kabisaNdugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi View attachment 3090505
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani nimefanya kosa lipi kuweka taarifa zilizotolewa na jeshi la polisi? Mimi nimewasilisha taarifa kama ilivyo pasipo kuongeza neno lolote lileLucas shut up yor bakuli! shut up your bakuli!
Pole sana ndugu yangu.Mungu akusaidie tu.najuwa unamaumivu makali na uchungu moyoni mwako.Kuna mtusi umenikaba kwenye koo! Ngoja nimtafute mtu ni mchokoze ili nimtukane kwa niaba
Lucas Kulikuwa na Haja gani ya kuongeza Haya Maneno uliyoandika hapa chini?Mimi nimeweka taarifa ya jeshi la polisi. nimefanya kosa lipi kuweka taarifa hiyo? Au ni wapi nimeongeza maneno yangu? Au unachuki zako binafsi tu?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Nakwambia shut upu! Watu wana hasira, acha ujinga. Usilete upuuz kutoka polisi! Hujui ksho yako, Mungu si mnafiki ujue! Watu wanaomboleza wewe unaleta ujinga wa polisi!Kwani nimefanya kosa lipi kuweka taarifa zilizotolewa na jeshi la polisi? Mimi nimewasilisha taarifa kama ilivyo pasipo kuongeza neno lolote lile
[emoji7][emoji7]Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi View attachment 3090505
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwanza nitoe pole sana kwako binafsi na chama chote cha CHADEMA kwa tukio hilo la kumpoteza kiongozi wenu.najuwa maumivu yake.poleni sana katika hilo.inaumiza kwa binadamu yeyote mwenye moyo wa nyama.pole sana ndugu yangu Erythrocytes kwa kifo cha kiongozi wenu.Endeleeni kutoa Kejeli, lakini Iko siku Mtajuta
CCM hatuungi mkono Vitendo vya mauaji.ndio maana Chama kimelaani tukio hilo na hata serikali.ndio maana Mheshimiwa Rais ametoa maagizo ya kufanyika kwa uchunguzi wa kina juu ya tukio hilo la mauaji.Sema ndugu zangu CCM mnachofanya sio SAWA kabisa , hii nchi imewashinda?