Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Mimi nimeleta taarifa kama ilivyotolewa na wahusika.ndio maana Sijaweka neno langu lolote lile.Lucasi nakuita mara tatu juu ya hili kaa kimya usije ukawa mbuzi wa kafara kumbuka wewe ni verified na namba yako wanayo acha policcm ibebe zigo lake la misumari usitake watu wajilipizie kisasi kwako kupoza madhila yao.