Polisi yazuia maandamano ya ACT Wazalendo

Polisi yazuia maandamano ya ACT Wazalendo

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Mimi thread zangu ni check and balance kati ya Awamu ya Sita na ile ya Tano, leo ngome ya vijana ya ACT wazalendo ilipanga kufanya maandamano hadi Ikulu kwa mama yao kipenzi rafiki wa demokrasia, diplomasia na maendeleo aliyekuja kuwapa uhuru walio ukosa kwa miaka sita ya Magufuli.

Wamekutana na na kukabiliana na polisi wakiwa bado eneo la ofisi zao, polisi walijihami kwa silaha, mabomu, virungu na pingu wakawambia wasithubutu kuvuka eneo lao, yako wapi ya kusema Magufuli alikuwa dikiteta?

USSR
Screenshot_20230418-121003.jpg


===
Dar es Salaam, Tanzania - Maandamano ya amani yaliyokuwa yakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Ngome ya Vijana, Abdul Nondo, kuelekea Ikulu kwa Rais Samia Suluhu Hassan, yamekabiliwa na zuio la polisi katika ofisi za chama hicho zilizopo Magomeni Jijini Dar es Salaam leo.

Maandamano hayo yaliyoandaliwa na vijana wa ACT yalilenga kuonesha hisia zao dhidi ya wabadhirifu wa fedha za umma waliotajwa kwenye ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Abdul Nondo, aliongoza maandamano hayo akiwa na vijana wengine.

Hii ni mara ya kwanza kwa vijana wa ACT kufanya maandamano ya aina hii, na tukio hili limezua mjadala mkubwa katika jamii kuhusu suala la ufisadi na uwajibikaji wa watumishi wa umma. Rais Samia Suluhu Hassan hajatoa tamko lolote kuhusu maandamano hayo hadi sasa.
 
Mimi thread zangu ni check an balance kati ya awamu ya sita na ile ya tano,leo ngome ya vijana ya Act wazalendo ilipanga kufanya maandamano hadi ikulu kwa mama yao kipenzi rafiki wa demokrasia, diplomasia na maendeleo aliyekuja kuwapa uhuru walio ukosa kwa miaka sita ya Magufuli.

Wamekutana na na kukabiliana na polisi wakiwa bado eneo la ofisi zao , polisi walijihami kwa siraha , mabomu ,virungu na pingu wakawambia wasithubutu kuvuka eneo lao,yako wapi ya kusema Magufuli alikuwa dikiteta

USSR View attachment 2591863

Sent using Jamii Forums mobile app
Maandamano ya mchongo hayo
 
Mimi thread zangu ni check an balance kati ya awamu ya sita na ile ya tano,leo ngome ya vijana ya Act wazalendo ilipanga kufanya maandamano hadi ikulu kwa mama yao kipenzi rafiki wa demokrasia, diplomasia na maendeleo aliyekuja kuwapa uhuru walio ukosa kwa miaka sita ya Magufuli.

Wamekutana na na kukabiliana na polisi wakiwa bado eneo la ofisi zao , polisi walijihami kwa siraha , mabomu ,virungu na pingu wakawambia wasithubutu kuvuka eneo lao,yako wapi ya kusema Magufuli alikuwa dikiteta

USSR View attachment 2591863

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamuache mama afanye kazi hayo maandamano hayana tija NAMWOMBA ndugu yetu MZALENDO ZZK
Amwache mama afanye Kaz maandamano hayana tija Kwa Sasa......

Nashaur jeshi la police litumie NGUVU zake kuwabzibiti na kuwasweka ndani Ili wamwache Mama Samia afanye kazi bila presha za wanasiasa uchwara.....

Mimi Huwa nafikiria badala vyama vyetu vya siasa viachane na siasa za majitaka na propaganda uchwara Kwa mwamvuli wa democrasia....

Ni muda Sasa CCM na vyama vingine kujitafakari sanaaa ni wakati sasa tupate mwarobaini wa kutibu matatizo yetu ya tangu Uhuru sio Kwa maandamano hayana tija....
 
Wamuache mama afanye kazi hayo maandamano hayana tija NAMWOMBA ndugu yetu MZALENDO ZZK
Amwache mama afanye Kaz maandamano hayana tija Kwa Sasa......

Nashaur jeshi la police litumie NGUVU zake kuwabzibiti na kuwasweka ndani Ili wamwache Mama Samia afanye kazi bila presha za wanasiasa uchwara.....

Mimi Huwa nafikiria badala vyama vyetu vya siasa viachane na siasa za majitaka na propaganda uchwara Kwa mwamvuli wa democrasia....

Ni muda Sasa CCM na vyama vingine kujitafakari sanaaa ni wakati sasa tupate mwarobaini wa kutibu matatizo yetu ya tangu Uhuru sio Kwa maandamano hayana tija....
Umeandika nini wewe!!???

Wamwache afanye kazi, kwani wamemshika kiuono kiasi cha yeye kushindwa kufanya kazi yake.??

Kabla ya kusema haya, ingekuwa busara sana kwako kama kwanza ungeuliza wana sababu ipi inayowafanya waende ikulu kwa maandano ya amani kumwona Rais..

Na sio kosa hata kidogo Kwa watu kupeleka hoja zao kwa Rais wao kwa njia ya maandamano ya amani..

By the way, ukiona watu wameamua kutumia njia ya maadamano ya amani kwenda kwa kiongozi wa juu (yaani Rais) ili kupeleka kero zao, ujue kabisa liko tatizo mahali ktk mfumo wa kiserikali ktk kushughulikia kero na shida za watu..!

Na moja ya tatizo la msingi kabisa, ni kushindwa Kwa mifumo ya uongozi ngazi ya chini kufanya kazi ya kutatua shida na changamoto za wananchi.

Sasa, kama ni hivi si bora Rais akawasikiliza ili imsaidie kufanya kazi yake vizuri? Kwanini wewe unaona kama anakerwa vile? Unajua kweli uandikacho au ndiyo obsession ya neno "mama" tu na hivyo unatamani kulitamka tamka tu?

Na kwa hiyo basi, basically kwa watu kuandamana kwa amani kwenda kwa kiongozi wao yaani Rais, moja kwa moja kupeleka shida au hoja zao ni kumsaidia huyo Rais wako ili apate kufanya kazi yake vizuri na si hivyo unavyofikiri wewe!!

Lakini cha ajabu wewe unaona tofauti. Haa haa, makubwa haya Kwa kweli!!
 
Umeandika nini wewe!!???

Wamwache afanye kazi, kwani wamemshika kiuono kiasi cha yeye kushindwa kufanya kazi yake.??

Don't be stupid.

Kabla ya kufyatuka hovyo, ungekuwa na busara sana kama kwanza ungeuliza wana sababu ipi inayowafanya waende ikulu kwa maandano ya amani kumwona Rais?

Na tangu lini ikawa kosa watu kupeleka hoja zao kwa Rais wao kwa njia ya maandamano ya amani?

By the way, ukiona watu wameamua kutumia njia ya maadamano ya amani kwenda kwa kiongozi wa juu (yaani Rais) ili kupeleka kero zao, ujue kuwa, mifumo ya uongozi ngazi ya chini imeshindwa kufanya kazi kutatua shida na mahitaji ya wananchi.

Je, kama ni hivi si bora Rais akawasikiliza ili imsaidie kufanya kazi yake vizuri?

Kwa hiyo, basically Kwa watu kuandamana Kwa amani kwenda kwa kiongozi wao yaani Rais, moja kwa moja ni kumsaidia ili afanye kazi yake vizuri na si hivyo unavyofikiri wewe!!

Lakini cha ajabu wewe unataka ifanyike tofauti, nakuuliza tena UNA AKILI KWELI WEWE!!???
IF YOU USE THIS ENERGY FOR YOUR LIFE, THEN YOU WILL NOT BE BEGGING FOR FOOD

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Wasalaam
Kwa Sasa
+267
 
Mimi thread zangu ni check an balance kati ya awamu ya sita na ile ya tano,leo ngome ya vijana ya Act wazalendo ilipanga kufanya maandamano hadi ikulu kwa mama yao kipenzi rafiki wa demokrasia, diplomasia na maendeleo aliyekuja kuwapa uhuru walio ukosa kwa miaka sita ya Magufuli.

Wamekutana na na kukabiliana na polisi wakiwa bado eneo la ofisi zao , polisi walijihami kwa siraha , mabomu ,virungu na pingu wakawambia wasithubutu kuvuka eneo lao,yako wapi ya kusema Magufuli alikuwa dikiteta

USSR View attachment 2591863

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani waandamanaji hawafiki kumi, halafu vyote vitoto
 
Mimi thread zangu ni check an balance kati ya awamu ya sita na ile ya tano,leo ngome ya vijana ya Act wazalendo ilipanga kufanya maandamano hadi ikulu kwa mama yao kipenzi rafiki wa demokrasia, diplomasia na maendeleo aliyekuja kuwapa uhuru walio ukosa kwa miaka sita ya Magufuli.

Wamekutana na na kukabiliana na polisi wakiwa bado eneo la ofisi zao , polisi walijihami kwa siraha , mabomu ,virungu na pingu wakawambia wasithubutu kuvuka eneo lao,yako wapi ya kusema Magufuli alikuwa dikiteta

USSR View attachment 2591863

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kabisa, walitegemea wanaandamana mpaka ikulu? Hata adabu hawana....who can allow such nonsense. Kila mtu akiruhusiwa kuandamana kwenda Ikulu heshima ya ikulu itakuwaje. Mambo ya kutazama kwenye movie wanadhani ni uhalisia
 
Mimi thread zangu ni check an balance kati ya awamu ya sita na ile ya tano,leo ngome ya vijana ya Act wazalendo ilipanga kufanya maandamano hadi ikulu kwa mama yao kipenzi rafiki wa demokrasia, diplomasia na maendeleo aliyekuja kuwapa uhuru walio ukosa kwa miaka sita ya Magufuli.

Wamekutana na na kukabiliana na polisi wakiwa bado eneo la ofisi zao , polisi walijihami kwa siraha , mabomu ,virungu na pingu wakawambia wasithubutu kuvuka eneo lao,yako wapi ya kusema Magufuli alikuwa dikiteta

USSR View attachment 2591863

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo pointi yako ni kuwa Magufuli hakuwa dikteta sababu ACT wamezuiwa kuandamana Ikulu!😂😂😂
 
Mimi thread zangu ni check an balance kati ya awamu ya sita na ile ya tano,leo ngome ya vijana ya Act wazalendo ilipanga kufanya maandamano hadi ikulu kwa mama yao kipenzi rafiki wa demokrasia, diplomasia na maendeleo aliyekuja kuwapa uhuru walio ukosa kwa miaka sita ya Magufuli.

Wamekutana na na kukabiliana na polisi wakiwa bado eneo la ofisi zao , polisi walijihami kwa siraha , mabomu ,virungu na pingu wakawambia wasithubutu kuvuka eneo lao,yako wapi ya kusema Magufuli alikuwa dikiteta

USSR View attachment 2591863

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitegemea kuona wamevunjwa viuno au wawe nyang’anyang’a kwa kipigo kw mbwa koko. Hawa polisi ni wema sana.
 
Back
Top Bottom