Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Unajua sana sema udini umekujaaMandela kafanya nini kwa waafrika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua sana sema udini umekujaaMandela kafanya nini kwa waafrika?
Kazi kubwa aliofanya Gadafi ni kutawanya misikitiUlipaswa kushangaa sio kutoamini
Libya ndio Taifa pekee ambalo sehemu ya Pato la Mafuta liligawanywa kwa Raia wote interms of Cash sio blaa blaa za kuambiwa huduma za kijamii
Mkuu umenifanya nicheke peke yangu kwenye gari, asante na pole mkuu.Kama ulidhani USA ndio nchi yenye huduma bora na maisha bora kwa watu wake pole sana.
Sasa nimejua kuwa najaribu kumuelewesha mtoto wa elimu ya Shule za kata aliyefaulu kwa bahati mbaya. Kwa mtu mwelevu hawezi kuitaja USA kwenye nchi zenye huduma bora kwa watu wake au nchi yenye maisha bora kwa watu wake.
Libya ya Gaddafi mfano wake kidogo labda uilinganishe na Scandinavian countries like Sweden tena kwa mbali.
Rudi shule mkuu.
Mbona uingereza na ujerumani waliua watu wetu na kututawala lakin Bado tunawashobokea, acha hizo wewe..waTz hatupaswi kumsifia mtu aliyetoa roho za askari wetu ktk vita vya Uganda.
..Ndiyo maana vijana wa kiTz mnadharaulika kwasababu mnakurupuka kujadili mambo mazito lakini hamsomi.
Ni somo pana sana mkuu kwa wabongo hawawezi kuuelewa. Vyombo ya mangaribi hasa media na viongoz wao wanampamba sana madiba kwa sababu hakugusa maslahi ya wazungu.Umenena vyema. Madiba ndio maana anapewa sifa sana na wazungu kwa kuwa hakugusa maslahi yao ya kiuchumi na kijamii huko SA. Wazungu waliendelea kuwa wamiliki wa uchumi na pia 1st class citizens.
Lakini kwa upande wa Africa hakuna hata nchi moja aliyowahi kuisaidia.sasa inakuwaje leo tumtaje kama HERO wa Africa!!!!
Pole sana tena sana.Mkuu umenifanya nicheke peke yangu kwenye gari, asante na pole mkuu.
Ok mkuuPole sana tena sana.
Mbona uingereza na ujerumani waliua watu wetu na kututawala lakin Bado tunawashobokea, acha hizo wewe
Skia nikuambie mkuu kwa busara za Nyerere sidhani kulikua na haja ya kuingia vitani...madai yangu ni kwamba Gadaffi aliuawa askari wetu wakati wa vita vya Kagera.
..na kwamba Mtanzania anayemuenzi Gadaffi hana uchungu na maisha ya wenzetu waliopoteza maisha wakipigana na majeshi ya Amin na Gaddafi.
Nilikuwa nahisi unachangia kutokana na dini ya wanaojadiliwa sasa kwa post yako hii nimeamini udini umekujaa, Rais wa tz kila siku akitoa mfano anaitolea libya na si SAUnajua sana sema udini umekujaa
Wazungu wame brainwash waafrika sana. Tunaibiwa halaf tunajipoingeza kwa kuibiwa et?Ukisoma historia ya gaddafi utajua nini maana ya kiongozi!! mabeberu wa nchi za mangaribi ni watu hatari sana!!
Walibya hawatakaa wapate waliyoyapata kutoka kwa gadafi!! mpaka sasa Libya haijatulia!
Japo nimempigia kura gadaffi lakini hamna mtu anaweza itaja africa bila kuwataja mandela, nyerere, kwame nkuruma plus gadafi!!
Pamoja mkuu.Sawa Kabisa Mkuu ila soma vyema post yangu utanielewa, nawakubali sana akina Gadaffi na Nyerere
Huyu alimsaidia Idd Amin Dada katika vita ya KageraGaddafi
Nope mkuu mm sio CCM wala siko kwenye uchafu wowote ule but think twice.Mkuu nipo vizuri kuliko wewe, kwa akili yako ya Kiccm Libya ina maendeleo kuliko hata USA? shame on you
Huo nimtazamo wako! Lakini je katika utawala wake maisha ya walibya yalikuaje ukilinganisha na sasa ivi?Kazi kubwa aliofanya Gadafi ni kutawanya misikiti