salthanks
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 3,284
- 6,854
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah apo umenena mkuu asipo kuelewa na hapo basis...!!Mbona uingereza na ujerumani waliua watu wetu na kututawala lakin Bado tunawashobokea, acha hizo wewe
..hold on.
..Wajerumani waliua watu wetu wakati wa vita vya Maji Maji.
..German Chancellor wakati huo alikuwa anaitwa Bernhard von Bulow.
..sasa hebu tueleze ni lini ulisikia waTz "wakimshobokea" Chancellor Von Bulow wa Ujerumani?
..UV-CCM someni kidogo kabla hajaanzisha thread.
..hold on.
..Wajerumani waliua watu wetu wakati wa vita vya Maji Maji.
..German Chancellor wakati huo alikuwa anaitwa Bernhard von Bulow.
..sasa hebu tueleze ni lini ulisikia waTz "wakimshobokea" Chancellor Von Bulow wa Ujerumani?
..UV-CCM someni kidogo kabla hajaanzisha thread.
Acha uongo...porojo za mitaani hizoAcha kumfananisha tata madiba na vitu vya ajabu
1.Madiba hajawahi kuchukua majeshi kwenda kuvamia ardhi ya nchi nyingine lakini gadafi (lanatullah) alitoa majeshi yamsaidie idd amin (lanatullah) kuivamia Tanzania
2.Madiba kama Nyerere na Nkuruma walitaka muungano wa afrika nzima bila kuingilia dini wala mila za watu lakini gadafi alitaka afrika iwe na dini moja na alikuwa anaendesha operation za wazi na za siri kufuta dini nyingine
3.Madiba alikuwa anaheshimu mataifa mengine na dini zao lakini gadafi alitinga roma akiwa amekodisha makahaba zaidi ya 500 wakiwa wamebebeshwa kitabu cha dini yake na kuzunguka navyo kwa maadamano lengo ni kuchokoza dini nyingine
Kwahiyo Libya ni Africa au America?Shujaa wa afrika ni muafrika sio muarabu
Sent from my 4016X using JamiiForums mobile app
Tatizo lenu hamkawii kuingilia dini za watu...kwahiyo Mandela pia alijengewa msikiti alivyotamka kumkubali Gadafi kama kiongozi rafiki?Gadaf yule aliwauwa vijana wetu vita ya Kagera au mwingine au kwasababu kawajengea misikiti ndio kawa shujaa labda shujaa wenu kwangu mimi huyu ni gaidi sawa na Osama.
Exactly kama ukisoma history vizuri ya viongozi hawa wawili,soo unapoongelea ushujaa kwa africa kwa upande wa Viongozi wetu Mandela didn't cross his Country boundary, he did nothing to AfricaGADAFI SHUJAA WA AFRIKA NZIMA
MANDELA SHUJAA WA A.KUSINI PEKEE
ndio moja maraisi wa waliopigana kindaki ndaki kuhakikisha nchi za kiafrika zinabaki kuwa huru kwa jitihada za bila kukoma Afrika na nchi za kiarabu,huwezi kukosa mchango wa ki fedha wa benki yoyote ya kiafrika unayoijua wewe afrika haina mchango wa Gaddafi,Mandela nae hali kadharika alipigana sana hasa kupata ukombozi,ukombozi ulivyopatikana Mandela hakuendelea na mikiki ya kuwahamasisha waafrika kuendelea kujitambua na kujikomboa zaidi,Harakati za Gaddafi ziilikuwa hazina ukomo zilikuwa ni za kudumu kumkomboa na kumpigania mtu mweusighadaf kafny nn mpk afananishwe na madiba?
Hata Mandela mwenyewe alikiri kuwa Ghadafi ni(alikuwa) jembe hapa Afrika. Msikilize anavymjibu huyu jamaa.
Hela ya Qaddafi nzuri inafanya watu wachanganyikiwe. Wengi hawajui jamaa alitupa ultimatum huko Uganda tukamnyoosha...Gadaffi huyu aliyeua askari wetu wakati wa vita vya Uganda?!
..vijana wa siku hizi hebu someni kidogo.
..manaake mnaaibisha kwa kuanzisha thread kama hizi.
Yaani wewe Mkuu unapigia mbuzi gitaa. Hela ya Qaddafi inatuchanganya...waTz hatupaswi kumsifia mtu aliyetoa roho za askari wetu ktk vita vya Uganda.
..Ndiyo maana vijana wa kiTz mnadharaulika kwasababu mnakurupuka kujadili mambo mazito lakini hamsomi.