Pombe gani hazikupi hangover at the same time zinakupa appetite ya kula?

Pombe gani hazikupi hangover at the same time zinakupa appetite ya kula?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake ukiamka nazo la sivyo ukazimue Tena moto ndo mwili unakaa sawa. na hakuna mtu ambaye hateseki na pombe ni basi tu huwaoni kikiwa kimeumana, wengine hutapika nyongo wengine hakuna chakula kinapanda hata bites au maji tu hayapandi..wengine wanakaa hata siku tatu hajala pampu chafu kisa alifululiza 😂😂😂😂... Kiujumla ni mateso.

Mimi binafsi nilikuwa mnywaji mzuri hakuna aina ya bia au spirit au gin hasa hizi local ambazo sikugusa hakuna za asili ambazo sikugusa, week chache zilizopita nimeamua kuacha ulevi mbwa nitakuwa sinywi Tena pombe ili niokoe FIGO na INI nitakuwa nakunywa damu ya yesu kristo tu yenye kuleta ukombozi(huo ni uongo bhana huo ni uongo) Najua mtabisha kwamba haziachiki ni vile tu Sina hela Kwa sasa 😂 😂 😂 😂..

Katika kuteseka kote huko niliamuaga nijitafute nifanye survey nipate pombe isiyoniumiza isiyonichosha na yenye kunikwangua tumbo maana napenda kula kula sana.
Nikajipata kwenye

1. HANSON CHOICE a. k. a CHAI -hii brand Safi Sana aliyeunda formula yake alituliza akili hii pombe itafika mbali sana nitafutieni marketing manager nimshauri atengeneze chupa zenye shape kama thermos unaweza ukainywa na mandazi pia inapanda.. No hangover kama zile zenye kuchangwanywa na ma ethanol mapombe mengi ya viwandan ni fake wameya duplicate sana .. Hii CHAI niliwahi kufuliliza kunywa mwezi mzima bila kupata athari zozote huku misosi ikipanda kama kawaida.. Ilinifanya Mpaka nikanenepa 😂 😂 😂.

GONGO - Isiwe tu yenye kuchanganywa na mauchafu uzoefu wangu upo kwenye NIPA ya mabibo toka masasi ila isiwe shoka sana ni vema ukamix na MAJI. kupunguza makali. Hii hata nilikuwa naweza kufululiza mwezi mzima halafu fresh tu. Ila sikushauri kunywa On your own risk. Usije kufakamia gongo kama za Tabora huko utaumia

TEMBO (MNAZI). Kuna mzungu mmoja anaipenda sana kila siku anawekewa oda kwenye ubanda fulani hii pombe ina sukari sana hivyo lazima utahisi kushiba uzuri haina hangover haina kemikali imeshushwa kwenye mnazi moja Kwa moja ya asili. Hii mnazi ziko aina mbili kuna ile OG ambayo inashuka kwenye mnazi hapo hapo ila nyingine wanakwenda kuizimua na ya Jana. So usimuone mtu ni Tajiri ila hafakamii mabia ovyo ana kuwa na kapombe chake fulani kanachompa stimu za kula na kasichomtesa sana ila kuteseka huwa ni pie lazima siku moja tu kitaumana.

Je wewe ni bia gani au pombe gani zisizo ondoa appetite yako

Drink responsibly.

images (38).jpeg

Screenshot_20240528-104910.png
 
Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake ukiamka nazo la sivyo ukazimue Tena moto ndo mwili unakaa sawa. na hakuna mtu ambaye hateseki na pombe ni basi tu huwaoni kikiwa kimeumana, wengine hutapika nyongo wengine hakuna chakula kinapanda hata bites au maji tu hayapandi..wengine wanakaa hata siku tatu hajala pampu chafu kisa alifululiza 😂😂😂😂... Kiujumla ni mateso.

Mimi binafsi nilikuwa mnywaji mzuri hakuna aina ya bia au spirit au gin hasa hizi local ambazo sikugusa hakuna za asili ambazo sikugusa, week chache zilizopita nimeamua kuacha ulevi mbwa nitakuwa sinywi Tena pombe ili niokoe FIGO na INI nitakuwa nakunywa damu ya yesu kristo tu yenye kuleta ukombozi(huo ni uongo bhana huo ni uongo) Najua mtabisha kwamba haziachiki ni vile tu Sina hela Kwa sasa 😂 😂 😂 😂..

Katika kuteseka kote huko niliamuaga nijitafute nifanye survey nipate pombe isiyoniumiza isiyonichosha na yenye kunikwangua tumbo maana napenda kula kula sana.
Nikajipata kwenye

1. HANSON CHOICE a. k. a CHAI -hii brand Safi Sana aliyeunda formula yake alituliza akili hii pombe itafika mbali sana nitafutieni marketing manager nimshauri atengeneze chupa zenye shape kama thermos unaweza ukainywa na mandazi pia inapanda.. No hangover kama zile zenye kuchangwanywa na ma ethanol mapombe mengi ya viwandan ni fake wameya duplicate sana .. Hii CHAI niliwahi kufuliliza kunywa mwezi mzima bila kupata athari zozote huku misosi ikipanda kama kawaida.. Ilinifanya Mpaka nikanenepa 😂 😂 😂.

GONGO - Isiwe tu yenye kuchanganywa na mauchafu uzoefu wangu upo kwenye NIPA ya mabibo toka masasi ila isiwe shoka sana ni vema ukamix na MAJI. kupunguza makali. Hii hata nilikuwa naweza kufululiza mwezi mzima halafu fresh tu. Ila sikushauri kunywa On your own risk. Usije kufakamia gongo kama za Tabora huko utaumia

TEMBO (MNAZI). Kuna mzungu mmoja anaipenda sana kila siku anawekewa oda kwenye ubanda fulani hii pombe ina sukari sana hivyo lazima utahisi kushiba uzuri haina hangover haina kemikali imeshushwa kwenye mnazi moja Kwa moja ya asili. Hii mnazi ziko aina mbili kuna ile OG ambayo inashuka kwenye mnazi hapo hapo ila nyingine wanakwenda kuizimua na ya Jana. So usimuone mtu ni Tajiri ila hafakamii mabia ovyo ana kuwa na kapombe chake fulani kanachompa stimu za kula na kasichomtesa sana ila kuteseka huwa ni pie lazima siku moja tu kitaumana.

Je wewe ni bia gani au pombe gani zisizo ondoa appetite yako

Drink responsibly.

View attachment 3001677
View attachment 3001679
Mbege its my favourite
 
Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake ukiamka nazo la sivyo ukazimue Tena moto ndo mwili unakaa sawa. na hakuna mtu ambaye hateseki na pombe ni basi tu huwaoni kikiwa kimeumana, wengine hutapika nyongo wengine hakuna chakula kinapanda hata bites au maji tu hayapandi..wengine wanakaa hata siku tatu hajala pampu chafu kisa alifululiza 😂😂😂😂... Kiujumla ni mateso.

Mimi binafsi nilikuwa mnywaji mzuri hakuna aina ya bia au spirit au gin hasa hizi local ambazo sikugusa hakuna za asili ambazo sikugusa, week chache zilizopita nimeamua kuacha ulevi mbwa nitakuwa sinywi Tena pombe ili niokoe FIGO na INI nitakuwa nakunywa damu ya yesu kristo tu yenye kuleta ukombozi(huo ni uongo bhana huo ni uongo) Najua mtabisha kwamba haziachiki ni vile tu Sina hela Kwa sasa 😂 😂 😂 😂..

Katika kuteseka kote huko niliamuaga nijitafute nifanye survey nipate pombe isiyoniumiza isiyonichosha na yenye kunikwangua tumbo maana napenda kula kula sana.
Nikajipata kwenye

1. HANSON CHOICE a. k. a CHAI -hii brand Safi Sana aliyeunda formula yake alituliza akili hii pombe itafika mbali sana nitafutieni marketing manager nimshauri atengeneze chupa zenye shape kama thermos unaweza ukainywa na mandazi pia inapanda.. No hangover kama zile zenye kuchangwanywa na ma ethanol mapombe mengi ya viwandan ni fake wameya duplicate sana .. Hii CHAI niliwahi kufuliliza kunywa mwezi mzima bila kupata athari zozote huku misosi ikipanda kama kawaida.. Ilinifanya Mpaka nikanenepa 😂 😂 😂.

GONGO - Isiwe tu yenye kuchanganywa na mauchafu uzoefu wangu upo kwenye NIPA ya mabibo toka masasi ila isiwe shoka sana ni vema ukamix na MAJI. kupunguza makali. Hii hata nilikuwa naweza kufululiza mwezi mzima halafu fresh tu. Ila sikushauri kunywa On your own risk. Usije kufakamia gongo kama za Tabora huko utaumia

TEMBO (MNAZI). Kuna mzungu mmoja anaipenda sana kila siku anawekewa oda kwenye ubanda fulani hii pombe ina sukari sana hivyo lazima utahisi kushiba uzuri haina hangover haina kemikali imeshushwa kwenye mnazi moja Kwa moja ya asili. Hii mnazi ziko aina mbili kuna ile OG ambayo inashuka kwenye mnazi hapo hapo ila nyingine wanakwenda kuizimua na ya Jana. So usimuone mtu ni Tajiri ila hafakamii mabia ovyo ana kuwa na kapombe chake fulani kanachompa stimu za kula na kasichomtesa sana ila kuteseka huwa ni pie lazima siku moja tu kitaumana.

Je wewe ni bia gani au pombe gani zisizo ondoa appetite yako

Drink responsibly.

View attachment 3001677
View attachment 3001679
Mkuu,
Nyinyi Ni aina ya watu mnao kunywa kiasi kikubwa Cha pombe..

Mfano hiyo Hanson choice uliyo nayo mkononi 750mls unaimaliza kwa siku moja mfano uanze jioni??

Sana Sana kunywa Hanson choice Ile ndogo moja ukizidisha Sana ongeza na nusu..

Watu wa heshima wanywaji wapo wengi tu to mention few mzee sinde warioba, nyerere, mkapa, mbowe, lowassa,msukuma n.k
Hata rais Putin Ni mdau mzur Sana wa hizi spirit & wine
 
Back
Top Bottom