Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
😀😀😀 kuna savana na desperado piaMtoto wa kiume kuweka flying fish mezani dah, ngumu sana kwetu Depal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 kuna savana na desperado piaMtoto wa kiume kuweka flying fish mezani dah, ngumu sana kwetu Depal
Hapo una fanya mixing 😊Siongei sana ni vitendo tuView attachment 3002127
Iyo kuna washkaji huwa naona wanakunywa ila kwangu bado naona imekaa kikike kikeJe akiweka SMINOFF BLACK ACE!?
Upo vizuri mkuu😀😀😀 kuna savana na desperado pia
😀 😀 😀 ni uwongo huu kabisaSikuwahi fahamu kama kuna pombe zinaleta hamu ya kula
Zipo nyingi ukinywa kidogo zinaleta appetizer😀 😀 😀 ni uwongo huu kabisa
Zipo nyingi ukinywa kidogo zinaleta appetizerSikuwahi fahamu kama kuna pombe zinaleta hamu ya kula
Basi mi bhna hata kunywa pombe naona ni shida mana kesho yake mwili unakua na homa kabisa hata hamu ya kula inakua ndogo sana labda ni aina ya pombe nayokunywaZipo nyingi ukinywa kidogo zinaleta appetizer
😀 😀 😀 ni uwongo huu kabisa
Maana mimi najua walevi wengi wa pombe ni wavivu wa kula chakulaZipo nyingi ukinywa kidogo zinaleta appetizer
Akimaliza anakula supu ya kichwa Cha mbuzi, makongoro ya kitimoto, miguu ya mbuzi, ng'ombe ,mapupu, ngozi
Watu wanakula utumbo wa kuku, kichuri Cha kitimoto
Chezea pombe wewe
Kabisa yani ila cha ajabu kuna vibonge vinapiga sana gambe na havipungui sisi wengine nikinywa leo kesho najiona nimekonda balaa kiasi kwamba sitamana tena kunywaMaana mimi najua walevi wengi wa pombe ni wavivu wa kula chakula
Kuna wanywaji na walevi..Maana mimi najua walevi wengi wa pombe ni wavivu wa kula chakula
Inaitwa Hennessey pori..Kwa uchumi wa watz wengi, hanson choice ita take over the game ni swala la mda Tu,
"Hansonchoice haina mpinzani bongo . Naipa 9.5/10
Pombe nyinyi mna over drink kunywa bia zako mbili jion iwe routine yako au Kama Ni mdau kunywa pombekali isizid 350mls pia kunywa maji mengiKabisa yani ila cha ajabu kuna vibonge vinapiga sana gambe na havipungui sisi wengine nikinywa leo kesho najiona nimekonda balaa kiasi kwamba sitamana tena kunywa
Dah pombe kwangu inaleta shida sana hata ninywe bia mbili kesho najiona kabisa sipo sawa acha tu nikomae na maji mzeePombe nyinyi mna over drink kunywa bia zako mbili jion iwe routine yako au Kama Ni mdau kunywa pombekali isizid 350mls pia kunywa maji mengi
Kuna wanywaji na walevi binafsi nachukiaga Sana tabia za walevi ukisha kua mlevi
Hii vita yake mkuu hutapiki?Siongei sana ni vitendo tuView attachment 3002127