one b
JF-Expert Member
- Jun 30, 2017
- 1,483
- 3,727
Mmbuyu..๐๐๐ safi sanaView attachment 3002161
Utamu huu hapa, shida sijui kuna feki....ukiamka asubuhi bichwa linauma balaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmbuyu..๐๐๐ safi sanaView attachment 3002161
Utamu huu hapa, shida sijui kuna feki....ukiamka asubuhi bichwa linauma balaaa
Nshapata hamu ๐ shetani akae mbali na mimi....AmenMmbuyu..๐๐๐ safi sana
Kunywa maji ya kutosha before then usinywe kupita alcohol persistent yakoDah pombe kwangu inaleta shida sana hata ninywe bia mbili kesho najiona kabisa sipo sawa acha tu nikomae na maji mzee
InauzwajeKwa uchumi wa watz wengi, hanson choice ita take over the game ni swala la mda Tu,
"Hansonchoice haina mpinzani bongo . Naipa 9.5/10
Wataziweza wabongo waliozoea safariHennesy,Jack Daniel ukinywa hizo kamwe uwezi pata hangover
Tumekosea nini kwani ๐นWataziweza wabongo waliozoea safari
Ukinyw ulanzi bila kula inachimba tumbo chamoto utakionaUlanzi na komoni
Hennessy ni chunguuu ๐ญHennesy,Jack Daniel ukinywa hizo kamwe uwezi pata hangover
๐๐Ni nzuriiiii,, It tastes lovely as it looks ๐ฅMartin, bill on me dada๐ฅ
Dah hizi Mimi zinanipa kiungulia na Hangover kama kawaidaHennesy,Jack Daniel ukinywa hizo kamwe uwezi pata hangover
Wapi huko
Njoy Lounge hapa.. Sakina.Wapi huko
Sexy!! ๐ ๐๐๐๐Ni nzuriiiii,, It tastes lovely as it looks ๐ฅ