kibo mawenzi kilimanjaro
Member
- May 11, 2024
- 41
- 63
Kitu cha mbege uñashiba uku unalewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yooo 😂Njoy Lounge hapa.. Sakina.
Hivi mbege inalewesha 🙄🙄🙄 duuuh hadi unywe kiasi gani ndio ulewe.....Kitu cha mbege uñashiba uku unalewa
Mibapa yenyewe feki kibaoHyo HC nmeshainywa na mwana kipnd Cha nyuma...wote tukaumwa tumbo...sijawahi kufikiria kuirudia fake zipo nyingi mtaaani...Bora bapa tu hata kama litaniamsha na HO
Hmn noma ngj niyazingatieYooo 😂
Enjoy.. wana makange amazing
Ushajipata wewe.Ballentine na Jagermeister kwa pombe kali hazikati hamu ya kula na kujaza tumbo.
Shots kadhaa za tequilas limao na chumvi na heineken ya kuzugia kichwa kinakaa vyema.
Kunywa beer nyingi hapana, siku hizi naona ushamba tu, kukojoa kama mgonjwa wa diabetes na tumbo kujaa hapana aisee..
Dah asee mtumishi na wewe huwa unakunywa pombe. SiaminiFlying fish jamani…. Kadude hakana kabisa hangover
Ewaa mie napiga sana VODKA ile ndg.. ikiisha nahamia ktk Heineken hata 3 zinatosha geji inakuwa imekaa mkao..Ushajipata wewe.
Mbege za mjni hazileweshi,njoo huku marangu unywe uone ladha yake inavyopendeza. Huwa wanaweka ungaunga flani unaotokana na magome ya mti unaoitwa msesewe yani magome ya huo mti yanakaushwa alafu unatwanga unatoka unga ambao huo unga unachanganya kwenye mbege .cjui kwa kiswahili huo msesewe unaitwaje labda kama kuna wachaga wenzangu watakufafanulia. Huo unga wa msesewe unafanya mbege inakuwa kali ukinywa lita mbili (albamu) unalewa kabisa hasa ukiwa kichwa cha panziHivi mbege inakewesha 🙄🙄🙄 duuuh hadi unywe kiasi gani ndio ulewe.....
Mkuu hiyo ni budget yangu ya mwezi kwenye visungura wewe unatumia suku moja, kisungura kimoja elfu 2 kila siku. Ngoja namimi nizisake nianze kunywa vodka pia.Ewaa mie napiga sana VODKA ile ndg.. ikiisha nahamia ktk Heineken hata 3 zinatosha geji inakuwa imekaa mkao..
Okay nilishakunywa nikiwa marangu, ila ni kama kinywaji cha burudani tu sikuhisi chochote hata.Mbege za mjni hazileweshi,njoo huku marangu unywe uone ladha yake inavyopendeza. Huwa wanaweka ungaunga flani unaotokana na magome ya mti unaoitwa msesewe yani magome ya huo mti yanakaushwa alafu unatwanga unatoka unga ambao huo unga unachanganya kwenye mbege .cjui kwa kiswahili huo msesewe unaitwaje labda kama kuna wachaga wenzangu watakufafanulia. Huo unga wa msesewe unafanya mbege inakuwa kali ukinywa lita mbili (albamu) unalewa kabisa hasa ukiwa kichwa cha panzi
Noma kweli kweliSikuwahi fahamu kama kuna pombe zinaleta hamu ya kula
Hizo pombe za kunywa kifuniko umelewa siziweziMkuu hiyo ni budget yangu ya mwezi kwenye visungura wewe unatumia suku moja, kisungura kimoja elfu 2 kila siku. Ngoja namimi nizisake nianze kunywa vodka pia.
😂😂 mkuu unadhani tunapenda basi? Ni uchumi tuu, hakuna asiyependa vodka, henessy vitu imported ila ndio hivyo maisha yanakuchagulia cha kunywa.Hizo pombe za kunywa kifuniko umelewa siziwezi
Japo sijawahi onja hii kitu binafsi nakubaliana na wewe 😄Bangi sio pombe, ila ukivuta utalewa na kula chakula mara 3 ya kawaida