POMBE ‘Ganzi yenye maumivu’ (Safari yangu ya kuacha pombe)

InshaAllah!... Hii nimeacha kwa nia moja mkuu na sio kwamba namaisha magumu sasaivi, kama ni pesa ya matumizi hainipigi chenga kama ningekuwa na nia ya kulewa nisingeshindwa kunywa kila siku
Sawa Allah akuongoze katika njia iliyonyooka
 
Usiache pombe sababu ya umaskini acha pombe sababu umeamua nakuhakikishia yeyote anaecha sababu amekosa pesa siku akizipata itakuwa hatari mara 11.....mimi mlevi hayo yote nayapitia sio siri ila life goes on......drink responsible
Kila kitu kina sababu yake alafu mimi sijaacha pombe kwa sababu ya amasikini pesa ya kunywa bado ninayo ila nimeona siwezi kujicontrol kwenye pombe na uhakika sitarudi maana nilijaribu kuicontrol ili niendelee lakini nilishindwa bali yenyewe ndio ilinicontrol so sitarajii kurudi tena kwenye kitu ambacho kilishanishinda.
 
Umeandika pumba shehe ungejikita kujibu hoja zake na sio hizi taarabu uNazoleta acha ujinga jibu maswalibyake kama unaaweza
Binti yangu na wewe umekuja kumsaidia mwenzako... Usiingilie vitu katikati usivyo vijua utapasuka... Pumba unazo wewe matakoni... Karibuni nipo hapa kwajili ya wapumbavu gays kama nyinyi, leo nitawanyoosha
 
Kama sina pesa baa sigusi, japo kweli marafiki wanashawishi mno.
Hata kama huna kitu utaambiwa we njoo mambo yote ipo huku.

Ninapowakubali walevi wengi sio wanafki kama ambao hawanywi. Mkilewa pale ni rahisi mtu kuropoka utumbo kama alikua hakukubali atakuchana makavu mtateteana pale mchezo unaisha kesho amani amani(wengi niliokutana nao wako hivi).

Usiache ila punguza, ukiona mpaka inakupeleka puta unachukua malaya bila kupenda na wakati mfuko hairuhusu hilo ni tatizo jicontrol tu.
 
"E="Haya_Land, post: 42492584, member: 469833"]
Je sisi wenye mademu wawili na Bado kabla ya kulala tunajichuwa yaani hatuliziki kingono na huku X wangu anaitafuta kwa Nguvu na huku kaolewa ndoa takatifu Pentakosti .. Je Mimi Ni Nani #Mtuombee
duuh.kumbe tupo wengi.
[/QUOTE]"
 
Uloyasema yote ni kweli.binafsi nilihangaika na pombe sana nkatumia madawa za kienyeji za kuacha pombe zenye garama lakini sikufanikiwa.kuna siku nimetoka dar ad karatu kwa mganga lakini bado sikufanikiwa.nilibakiwa na wazo moja tu KUJINYONGA ,Nilipokua nasubiri siku nijinyonge nlikutana na fundi mmoja mshona viatu cha pombe mnywa gongo na bumburi , ameacha pombe,sikuamini nkasema mm itawezekana? Basi nkashea stor yangu na huyu mzee na akanihakikishia nitaacha pombe na tukaagiza dawa tena kwa garama ndogo.amini usiamini mimi na pombe atuendan kabsa na mm huwa muwaz kwa washkaji kua skuacha bure nilitumia dawa.3 years now i dont drink beer na kwa msemo wako.sitorudi tena kwa pombe bora nife.kwa sasa kuepuka maswali mengi kwa wadao nawaambia tu bia napiga na ninaagiza brand kabisa isiopatikana eneo husika.KWA POMBE KUNA MAJONZI MENGI NYUMA YA PAZIA ASIKWAMBIE MTU
 
Daa kuna mshikaji wangu mmoja amenizoea kupitia magroup tokea nimemjua 3yrs ago mwana mm ndio nazungusha round aisee halafu ikifika ijumaa utasikia mwanangu biriani vp ibungu kiumri kanipita sana he is 40plus kuna siku tuko mahali jioni tunakula vyombo kaita manzi there after anaitumia meseji ya mzinga anaomba hela akamp....... yule mwanamke kuanzia siku hiyo nimempunguza wanaozungusha round wachache sana siku hizi
 
Wewe uko sawa na mimi,sikuwa nakunywa kivile,bia 2 au 3 kwa siku,cha ajabu nilikuwa nikinywa kiu ya hawa wenzetu ilikuwa inanitesa sana,nikaamua tu bora niache ...
 
mkuu mi nakamilisha mwezi wa tatu huu ,nimeamua sifanyi kosa tena as long huo mwanya wa kuacha nimepata.
 
mkuu mi nakamilisha mwezi wa tatu huu ,nimeamua sifanyi kosa tena as long huo mwanya wa kuacha nimepata.
Jambo la msingi sana mkuu, mi niliacha mwanzoni mwa January 2022
 
Hongera sana mkuu

tangu umeacha unamuda gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…