Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mademu wengi ni waroho wa mavyakulaNadhani nisingekua napenda kula ningekua tajiri saizi 😃😃🙈
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mademu wengi ni waroho wa mavyakulaNadhani nisingekua napenda kula ningekua tajiri saizi 😃😃🙈
😁😁 zipo mf.. kusafiri na bebe/ fam.. hamuwezi kusafiri kila siku.Ndio naona wewe umenimanya vyema
Starehe inapitaje 2 weeks
Vitu vitamu mdomoni sio vizuri kwenye afyaSijaelewa mkuu
Ndio maana vitambi vinazidi siku hiziKila mwanamke ninayekutana nae anasema anapenda kula, itakuwa ni tabia yenu
Woiiiiih
Oooh hapo sawaa.Tofauti tofauti kipenzi ila zisiwe za action kihivo!
Kama?Napenda kula vitu vitamu 😋
Inategemea na unachokula😁😁 zipo mf.. kusafiri na bebe/ fam.. hamuwezi kusafiri kila siku.
Pia kula ni wajibu, sio starehe.. kula kila mtu anakula.
Mara moja moja sio mbaya. Kama mimi jana nimetoka Tabata kwenda shabaha Mbezi Beach kula vile vibambala na ugali.That's my point exactly 😍😘... yani hata nikispend 50k per meal hua haiumi,, kwanza sio kila siku naumiaje😆😆
Same tu me...ila nimekuzidi kimoja tu😋Kufanya mazoezi ndio starehe yangu... Pia kutembea sehemu tulivu zilizo na misitu au mimea mingine
HahaInategemea na unachokula
kasema ni kula vitu vitam tam ndio starehe yake, nmemkatalia kwa sababu kasema anaweza pitisha 2 weeks bila kula hivyo vitam tam vyake.Haha
umetoka kumkatalia Ms Eyes huko juu… huwezi sema kula starehe maana itakubidi kila siku/ after 48hrs ule hiyo starehe yako… labda kukinai kusiwe sambamba nawe
Mimi sinywi pombe na naweza kaa hata mwaka bila kufanya ngono. Napenda nature, walking jioni na mazoezi kidogo.Wengi wamefichaficha tu, usinywe pombe halafu usipende ngono kweli?
We jamaa uko kama mimi.Situmii pombe,sigara sivuti, club siendi kwasababu nachukia sana kelele hata nikiskia kelele za mtu akigombezwa/kugomba hovyo tu zinanikera naondoka hiyo sehem
Starehe yangu ni mpira ila sibet na timu yangu ni manutd imenitesa kinyama imefika hatua siumii tena hata ikifungwa na mechi siangalii vilevile
Hakuna kinachonipa raha kwa sasa
Starehe sio lazima uifanye kila siku bro.Basi hiyo sio, angalia kile unachopenda kutumia sana daily
labda ila sidhan kama inazid wiki hujafanyaStarehe sio lazima uifanye kila siku bro.
Mfano, mimi naweza kusema starehe yangu ni kusafiri ila inapita miezi sijasafiri. Sababu ni kubanwa na majukumu.labda ila sidhan kama inazid wiki hujafanya
Basi tunge-match vizuri sana. Inabidi tutafutaneSame tu me...ila nimekuzidi kimoja tu😋