little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Karate combat na Muay boran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uku mvua tu tangu jana jioni mpk sasa mwendo wa kusogeza shuka tu😂Kabisa.VP pande hiyo?
✅🙏Ibada, haswa kuabudu, ule uwepo wa Mungu ni furaha kubwa haina upinzani, unaponya (ukiwa mwabudu utanielewa vizuri). Kisha..
Muda na niwapendao, mume, rafiki na familia.
Bongo zozo ndio mwenye hiyo starehe, wewe unaweza kuafford kusafiri kila wiki hata ukipata huo muda?Mfano, mimi naweza kusema starehe yangu ni kusafiri ila inapita miezi sijasafiri. Sababu ni kubanwa na majukumu.
Haimanishi siku nikisafiri, sitostareheka.
Usiseme kwa sauti sasa 😃😃😆Mademu wengi ni waroho wa mavyakula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wengine wanapenda KUBAMIZWA VINYEO [emoji3061]
Hongera sana mkuu, hobby nzuri sana hiyo.Mimi sinywi pombe na naweza kaa hata mwaka bila kufanya ngono. Napenda nature, walking jioni na mazoezi kidogo.
NyamaKama?
Km ndizi iv eeh..[emoji16]Napenda kula vitu vitamu [emoji39]
Nimecheka🤣🤣🤣🤣Ah mi naonaga mara nyingi ni tambi mkuu
Usinambie una chopsticks kwenye kabati 😁😁😁
Ok🍆Nyama
Aisee ngoja tuone hayo makitu yanakuaje nikija hapo mjini maana sahivi nipo ndani ndani hukoNimecheka🤣🤣🤣🤣
Chopsticks tena?hunitakii mema itakua mana zile kuaibika ni njenje!
Mi nasemea kula kimchi na kitimoto ya kuchoma mwenyewe na zile lettuce mbichi
Kuna restraurant yao iko nyuma ya saifee hospital panaitwa goong,
Kama uko dar pita hapo ujionee seoul city in dar es salaam!
Nyama😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bei zimechangamkaAisee ngoja tuone hayo makitu yanakuaje nikija hapo mjini maana sahivi nipo ndani ndani huko
Bei zimekaaje kwanza usikute bei nazo za kikorea nipitie lettuce sokoni😄😄😄
Kitimoto james anacho🙃🙂