Pombe ni UKIMWI wa akili. Hadidu za Rejea ni Uislamu, Zanzibar, na Wachaga

Pombe ni UKIMWI wa akili. Hadidu za Rejea ni Uislamu, Zanzibar, na Wachaga

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana anajulikana sana kuliko Nuhu ambaye hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
 
Umeandika vitu vingiiiiii,,,,
Nenda Russia,,, watu wanakunywa pombe kama chai,,,,, alafu pima maendekeo yao,,

Tatizo Waafrica ni uwezo mdogo wa kufikiri,,,, na umasikini uliokithiri hata kabla ya kunywa pombe…


Acheni tunywe bia mbinguni hakuna bia….🎶🎶🎶
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!

Sira 31:31 Usimkaripie jirani yako kwenye pombe, wala usimdharau anapofurahia karamu. Usimwambie neno la kumwonya, wala usimsumbue kwa kumtaka alipe
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
Ni kweli pombe ni shetan
 
Upupu sio utabiri we unasoma wilaya ya rombo iko mbali kimaendeleo ikilinganisha na ipi?? Micheweni hawatumii pombe ila ushoga wewe huoni ni tatizo!!
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana anajulikana sana kuliko Nuhu ambaye hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
Mlokole: Hivi unakunywa bia ngapi kwa siku?

Mlevi: nakunywa bia tano kwa siku.

Mlokole: Bia moja unanunua kwa shgilingi ngapi?

Mlevi: Bia moja nanunua kwa shilingi za kitanzania 2,500/-.

Mlokole: Huoni kwamba unaharibu hela? Kwa kiasi hicho cha bia, ungekuwa unamiliki VOGUE.

Mlevi: Kivipi?

Mlokole: Kwa siku bia tano, 2,500 x 5 = 12,500/- ambayo ni sawa na (12,500 x 30) 375,000/- kwa mwezi, ambazo ni sawa na (375,000 x 365) 136,875,000/- kwa mwaka.!!??

Mlevi: Unakunywa bia?

Mlokole: Hapana

Mlevi: NIONYESHE VOGUE YAKO..!!??

Bado mpaka leo mlevi anasubiria jibu toka kwa mlokole..!!

Bwana Hamisi senga msaidie mlokole kujibu hapa..!!
 
Mlokole: Hivi unakunywa bia ngapi kwa siku?

Mlevi: nakunywa bia tano kwa siku.

Mlokole: Bia moja unanunua kwa shgilingi ngapi?

Mlevi: Bia moja nanunua kwa shilingi za kitanzania 2,500/-.

Mlokole: Huoni kwamba unaharibu hela? Kwa kiasi hicho cha bia, ungekuwa unamiliki VOGUE.

Mlevi: Kivipi?

Mlokole: Kwa siku bia tano, 2,500 x 5 = 12,500/- ambayo ni sawa na (12,500 x 30) 375,000/- kwa mwezi, ambazo ni sawa na (375,000 x 365) 136,875,000/- kwa mwaka.!!??

Mlevi: Unakunywa bia?

Mlokole: Hapana

Mlevi: NIONYESHE VOGUE YAKO..!!??

Bado mpaka leo mlevi anasubiria jibu toka kwa mlokole..!!
Mkuu hesabu imekupita kushoto ni 375k×12!!!!!
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana anajulikana sana kuliko Nuhu ambaye hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
Uko sahihi mkuu....
 
Mkuu hesabu imekupita kushoto ni milioni 375k×12!!!!!
Kama ujumbe umeupata, I'm happy..!!! Kuna watu wana kazi ya kuituhumu pombe kwenye kila kitu, lakini wana mambo ya kishenzi mengi sana wanayafanya huku hawanywi pombe.

Uzuri Mungu kaweka balansi. Utawasikia, pombe inafanya vile pombe inasababisha hivi sijui vile...!! LAKINI CHA AJABU HAYO YANAYOSABABISHWA NA POMBE, HATA WASIOKUNYWA YAWAPATA..!! Mungu anatisha.
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana anajulikana sana kuliko Nuhu ambaye hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
Mkuu umeandika kitu mhimu Sana pombe ndiye adui nambari moja wa mafanikio ya mtu
 
Back
Top Bottom