Pombe ni UKIMWI wa akili. Hadidu za Rejea ni Uislamu, Zanzibar, na Wachaga

Pombe ni UKIMWI wa akili. Hadidu za Rejea ni Uislamu, Zanzibar, na Wachaga

Bado upo pale pale. Kama asiyekunywa naye anapata madhara yanayompata anayekunywa, basi haina maana kuipinga pombe
Sasa nimeanza kukuekewa kwamba kumbe una maanisha kwamba kwakuwa mlevi na asiye mlevi wote Wana patwa na maralia hivyo pombe Haina tatizo kwa afya na akili ya mtu si ndiyo?
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana anajulikana sana kuliko Nuhu ambaye hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
Hapa unawasema wachagga tu.
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana anajulikana sana kuliko Nuhu ambaye hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
Kobaaazi...
 
Sasa nimeanza kukuekewa kwamba kumbe una maanisha kwamba kwakuwa mlevi na asiye mlevi wote Wana patwa na maralia hivyo pombe Haina tatizo kwa afya na akili ya mtu si ndiyo?
Malaria haisababishwi na pombe. Nazungumzia vinavyotajwa kwamba ndiyo athari za pombe, wasiokunywa hiyo pombe nao wanazipata athari hizo hizo zinazosababishwa na pombe..!! Usikwepeshe pointi
 
Mlokole: Hivi unakunywa bia ngapi kwa siku?

Mlevi: nakunywa bia tano kwa siku.

Mlokole: Bia moja unanunua kwa shgilingi ngapi?

Mlevi: Bia moja nanunua kwa shilingi za kitanzania 2,500/-.

Mlokole: Huoni kwamba unaharibu hela? Kwa kiasi hicho cha bia, ungekuwa unamiliki VOGUE.

Mlevi: Kivipi?

Mlokole: Kwa siku bia tano, 2,500 x 5 = 12,500/- ambayo ni sawa na (12,500 x 30) 375,000/- kwa mwezi, ambazo ni sawa na (375,000 x 365) 136,875,000/- kwa mwaka.!!??

Mlevi: Unakunywa bia?

Mlokole: Hapana

Mlevi: NIONYESHE VOGUE YAKO..!!??

Bado mpaka leo mlevi anasubiria jibu toka kwa mlokole..!!

Bwana Hamisi senga msaidie mlokole kujibu hapa..!!
Hiyo hesabu yako ilitakiwa kuwa hivi mkuu: 12,500×365=4,562,500/
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana anajulikana sana kuliko Nuhu ambaye hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
Umeongea ukweli mtupu, maisha ya mlevi na asiyekunywa yanakuwa tofauti sana, nadhani ni mambo ya mungu mwenyewe kitu akikikataza anajua mwenyewe kwa nini
 
Mimi ni shahidi wa pombe inavyoharibu mipango mingi ya Ndugu na jamaa zangu na wengine nimewapoteza sababu ya pombe na niwe mkweli tu kuwa pombe sio mchongo hakika unavyoinywa unakuwa poa tu ila matokeo yake asubuhi ni kujuta pamoja na kero vikiwa vimeambtana kwa ukaribi zaidi
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana anajulikana sana kuliko Nuhu ambaye hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
Sijui tuandike Mara ngapi? TUMESHA SEMA HUMU KILA MARA NA BILA KUCHOKA..

""POMBE HAIJAWAI KUA TATIZO SIKU ZOTEEE TATIZO NI MTU MWENYEWE ""

POMBE
NI KWA AJIRI YA MACHAMPIONI WASHINDI WA VITA NA WAFALME WATAWALA TOKA ENZI NA ENZI DOLA ZOTEEE DUNIANI KUBWA HUTUMIA MVINYO.

UMASKINI, UJINGA NA MARADHI NDIO JANGA KUU HAPA KWETU TANZANIA ILA POMBE SIO TATIZO NA HAIJAWAI KUA TATIZO..

Screenshot_20241112-172403.png
Screenshot_20241112-171917.png
Screenshot_20241112-171332.png
Screenshot_20241112-171424.png
 
Kama ujumbe umeupata, I'm happy..!!! Kuna watu wana kazi ya kuituhumu pombe kwenye kila kitu, lakini wana mambo ya kishenzi mengi sana wanayafanya huku hawanywi pombe.

Uzuri Mungu kaweka balansi. Utawasikia, pombe inafanya vile pombe inasababisha hivi sijui vile...!! LAKINI CHA AJABU HAYO YANAYOSABABISHWA NA POMBE, HATA WASIOKUNYWA YAWAPATA..!! Mungu anatisha.
Ndio hao hao mashehe Wana lawiti, wabinafsi, wachoyo, wazinzi, wanatembea na wake za watu hao hao waongo,matapeli, wazandiki wazulumati, wezi.

NB.
Pombe hajawai kua shida/ tatizo issue ni binadamu/mtu mwenyewe Wana misuse pombe.
 
Ndio hao hao mashehe Wana lawiti, wabinafsi, wachoyo, wazinzi, wanatembea na wake za watu hao hao waongo,matapeli, wazandiki wazulumati, wezi.

NB.
Pombe hajawai kua shida/ tatizo issue ni binadamu/mtu mwenyewe Wana misuse pombe.
Kisu chenyewe ukichomwa nacho tumboni unaweza ukasepa duniani, lakini tunavyo jikoni
 
Adui mkubwa wa mwanaume ni pombe..lakini mwanaume anaeogopa adui yake ni muoga wa kutupwa..

tunywe pombe walau kwa siku hata chupa moja sio mbaya
 
Ni kweli
Mkoa wote wa Kkilimanjaro ni mkoa wa walevi, nimesoma hapo na nimeona asubuhi na mapema vilabu vya mbenge vimejaa watu.
Ndio maana siku hizi wachaga sio wale wanaoheshimika katika biashara, limebaki jina tu, kwa kuwa kizazi kimemalizwa na pombe....
 
Ukimwi ni "Upungufu wa kinga za mwili". Virusi vya ukimwi haviui! Vikishashambulia na kuua kinga ya mwili "white blood cells" baaasi!

Magonjwa yoooote nyemelezi yanatia timu na kuanza kufanya sherehe ya kukutafuna taratibu mpaka unakufa. Sasa kwa upande wa "pombe" ndivyo ilivyo.

Pombe yenyewe inaenda moja kwa moja na kushambulia "akili". Ikishakamata akili baaasi! Utaanza kushambuliwa na viashiria vyooote vya umasikini! Madeni, lishe duni, maisha duni, usafili duni, n.k. Ili ubalance na maadui ya umasikini inabidi useme uongo, uibe, utapeli na udhurumu.

Wewe kama ni mlevi au mnywa pombe kwa kiwango chochote uwe na uhakiki unabalance maisha kwa vitendo vya ujanja ujanja kama wizi, utapeli, uongo, madeals feki ili muradi uonekae pombe unaimudu. Adui namba moja wa binadamu ni ulevi "pombe".

Ebu niwaambie kitu. Waarabu au dini zilizoshika "uislamu" saaaana ni jamii za watu wasio na akili kabisaaaa! Ila wameweza kutoboa kwa kiasi tunachokiona kwasababu wametambua "pombe" ni adui.

Narudia "Waislamu wamechukulia udhaifu wa binadumu wenzao na kutupiga bao kupitia Pombe". Waislami sio kwamba hawanywi pombe, la ashaaah! Ila wametambua madhara ya pombe katika ngazi ya kitaifa na uwe na uhakika madhara kwao ni pungufu.

Kwa wakristo kwenye kitambu cha "Biblia", kimeandika kwa mara ya kwanza, narudia "kwa mara ya kwanza" mvinyo umetajwa kwenye Biblia kupitia mtu aliyehitwa "Nuhu".

Huyu Nuhu ndie baba yetu wanadamu woooote! Lakini ona sasa, pamoja na sifa na nafasi yake kubwa katika uzao wa mwanadamu jina lake halitajwi na kupewa uzito.

Adamu pamoja na kuleta dhambi duniani bado anajulikana saana kuliko Nuhu labda kwasababu dhambi yake haikupitia pombe ndo maana anajulikana sana kuliko Nuhu ambaye hatajwi kabisa kuwa wanadamu wote ni uzao wa Nuhu ni kwasababu ya "pombe". Soma katika Biblia kitabu cha "Nuhu 9:20 na kuendelea".

Ukinywa pombe kitu cha kwanza ni kushambulia akili na ufahamu wake ili uipende na kuikubali na kuitetea! Madhara ya pombe ni makubwa kuliko kitu chochote duniani! Laiti tungejua ili, madhara ya pombe yangetakiwa kufundishwa mashuleni.

Kwa uzoefu wangu wa maisha yangu niliyoyaishi kwa vipindi tofauti, nimetambua kuwa: kwa mtu mwenye kipato na maisha mazuri yenye sifa za kuitwa "tajiri" akipimwa katika mizania ya uwezo wake wa kutumia akili kwa asilimia unaweza kuwa chini ya masikini unayemdharau.

Wewe unayejiita tajiri unaweza kujikuta unatumia asilimia 5% ya akilini wakati masikini unayemdharau kama hatumii kilevi akawa anatumia zaidi ya asilimia 80% ya akili yake ndogo.

Hawa watu wawili wape muda wa vizazi vyao utakuta baada ya miaka kadhaa kizazi cha mlevi ni fukara na kizazi cha asiyekunywa pombe ni tajiri. Bila kumungunya maneno Waarabu "kiakili" ni "wajinga na wapumbavu" wa kutupwa.

Lakini wamejaliwa kutambua huyu adui anaitwa "pombe" wakampiga marufuku katika ngazi ya kitaifa, sasa ona nchi zao zilivyoendelea pamoja na ujinga wao. Gorofa refu zaidi duniani liko kwa hao wavaa makubasi Dubai.

Nchi ambayo imesogeza bahari kwa eneo kubwa kuliko nchi yoyote duniani na kujenga makazi ya watu ni Dubai. Sio kwamba hawanywi pombe, la asha! ni kwamba wametambua pombe katika ngazi ya kitaifa!

Pombe inapigwa vita katika ngazai ya kitaifa na uwe na uhakika madhara yake kwa wananchi na mukutadha wa taifa utakuwa mdogo. Tuje hapa nchini Tanzania iliyo na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar imetambua pombe na kuipiga marufuku katika ngazi ya kitaifa. Sasa ona Wazanzibari jinsi walivyo na werevu kuliko watanganyika na tukiendelea hivi miaka ijayo tutatawaliwa na wazanzibari. Mfano mwingine ni katika mukutadha wa kikabila.

Tanzania kabila ambalo limeweka pombe katika ngazi ya juuu sana kuliko makabila yote ni "wachaga".

Hawa ndugu zetu wachaga laana ya pombe imeanza kutafuna kizazi chao kiasi kwamba wanawake waliobaki uchagani wanatafuta wanaume nje ya kabila lao sababu ya laana ya ulevi uwe na uhakiki miaka ijayo wasiposhtuka watakuwa masikini.


Kwa utafiti wangu na umri wa utu uzima nilionao, hakuna adui mbaya kuliko adui wooote ambaye ameathiri akili za binadamu na kumrudisha nyuma kama pombe!

Ubaya wa pombe ni kwamba unakamata akili na maamuzi kiasi kwamba mtu akigusa pombe uwe na uhakika utashambulia kwa povu la kufa mtu! Kama unafikiri natania angalia maoni ya wadau watakao changia uzi huu!
Umeona takwimu za bidhaa zinazoingiza kodi kubwa nchini?basi kaa kimya tuliza kalio mtoto wa kike.
 
Back
Top Bottom