Sheghwede
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 277
- 123
Mimi wala sishangai, hiyo ni zaidi y mtegemeo yangu. Mimi nilishajua ataachiwa huru, tena bila hata kifungo cha nje. Kadhi dharimu hutoa haki kwa bahati (Unjust judge will hardly provide justice). Kazi bado tunayo, safari bado ni ndefuu.
Kafumu naye karudishiwa ubunge, Kashinde si mbunge tena, hahahahahahaaaa
Kafumu naye karudishiwa ubunge, Kashinde si mbunge tena, hahahahahahaaaa