Pongezi kwa CDF Jenerali Venance Salvatory Mabeyo

Pongezi kwa CDF Jenerali Venance Salvatory Mabeyo

Acha ujuaji kwani Kuna siku alishaingia kanisani na kombati? Au alisha lishirikisha jeshi kwenye mambo ya kanisa? Yeye ni mkatoliki kama Samia alivyo Muislamu
Angeingia kanisani na kombati ndiyo ingekuwaje?

Mbona watu wanaingia makanisani na mavazi ya kijeshi kila siku.

What kind of birdbrained thinking is this?
 
Hata kama kweli mengi ayafanyayo anafanya nje ya camera lakini hiko kitabu jina la mwandishi ni zaidi ya camera.
Ila yote kwa yote apongezwe kwa mema na yenye changamoto asahihishwe.
 
Kachanganyaje dini na kazi hapo?

Kalazimisha subordinates wake wakinunue hicho kitabu chake?
Kaweka cheo chake cha kikazi kwenye cover la kitabu cha dini.

Pia ni ulimbukeni fulani kuweka Ujenerali kama jina lako kwenye kitabu cha kidini.
 
Angeingia kanisani na kombati ndiyo ingekuwaje?

Mbona watu wanaingia makanisani na mavazi ya kijeshi kila siku.

What kind of birdbrained thinking is this?
Kwahiyo ukiandika kiingereza ndiyo inakuwa Hoja yenye nguvu?
 
Huko jeshini kufikia ngazi ya kuwa general huyo kashasoma kozi nyingi sana za uongozi na utawala, mahusiano na diplomasia na mambo chungu nzima ata kama una bachelor yako ya mzumbe humkuti Kwa kupambanua mambo ya kisiasa na kijamii huyo ni full cooked cake
Haujajibu swali naona unazunguka zunguka nikuwekee biography za mark milley , Benjamin netanyau na wakuu wengine wa majeshi?
Je huyu wa kwetu ameenda shule?
 
Kwahiyo ukiandika kiingereza ndiyo inakuwa Hoja yenye nguvu?
Hapana, ni wewe unajishuku tu kwa inferiority complex yako.

Umekimbia kujibu habari ya kombati, umejificha nyuma ya kuogopa Kiingereza.
 
Salaam

Kwanza nikiri wazi kwamba mimi sio mwanajeshi kuweza kuufahamu utendaji wa ndani kabisa wa CDF wetu wa JMT lakini kwa jicho la nje ningependa kutoa pongezi nyingi kwake kwa utendaji na uzalendo uliotukuka.

Mbali na utendaji wake ndani ya jeshi, Kiongozi huyu ameonekana sehemu mbali mbali akitoa mchango wake katika jamii katika kuhakikisha ustawi wa kifikra, kiuchumi,na maendeleo ya jamii kiujumla.

Kwa namna hii ya viongozi kujishusha na kuwa karibu zaidi na wananchi na kuweza kusaidia pale ambapo anahisi kwa kadri ya uwezo wake na nafasi aliyonayo anaweza kutoa msaada ni jambo la mfano na kuigwa na kiongozi yeyote. Na huu ni mfano Bora katika jamii.

Mbali na nafasi kubwa aliyonayo, Jenerali Mabeyo pia amekuwa akishiriki katika harambee mbalimbali kama ujenzi wa vituo vya watoto yatima, shule,mahospitali n.k

Pia Jenerali Mabeyo ameandika vitabu vingi ambavyo kwa namna moja ama nyingine vimekuwa na mchango mkubwa katika kuielimisha na kuibadilisha jamii katika kuhakikisha kuwa tunakuwa na jamii bora zenye misingi imara kifikra,kimaadili na kiuchumi kwa maslahi mapana ya taifa letu kiujumla.

Binafsi kinachonifurahisha zaidi ni kwamba amekuwa akifanya na kushiriki haya yote nje ya camera! Wala hakufanya kama wafanyavyo wanasiasa wengine kwa lengo la kujipatia umaarufu.Hakika unyenyekevu huu ni wa kipekee sana.

Kwa kiongozi wa aina hii, Sina shaka kabisa kwamba hata ndani ya jeshi la ulinzi hakika kutakuwa na mabadiliko mengi chanya na yenye tija kwa taifa.

Nimalizie kwa kumsihi na kumtia moyo Jenerali huyu, kwamba watanzania tunaona na kufurahishwa na kazi zako na tunazidi kukuombea Afya njema na maisha marefu ili uzidi kutoa mchango kwa taifa hili.

View attachment 2106241View attachment 2106242
Namjua mnadhimu Mkuu wa majeshi Mathew Mkingule ni mnyenyekevu kuliko maelezo. Kijamii anajihusisha na watu wa hali ya kawaida na bila kuambiwa huwezi kuamini kama ana cheo kikubwa kiasi hicho. Mungu azidi kutujalia viongozi wengi wa aina hii
 
Kaweka cheo chake cha kikazi kwenye cover la kitabu cha dini.

Pia ni ulimbukeni fulani kuweka Ujenerali kama jina lako kwenye kitabu cha kidini.
Huyo ni General mpaka anakufa atabaki kuwa General,huyo sio bwana, daktari,profesa au mchungaji, yeye ni General tena wa halali,POPOTE anapojitambulisha hilo neno General lazima liwemo maana ni HAKI yake.
 
Huyo ni General mpaka anakufa atabaki kuwa General,huyo sio bwana, daktari,profesa au mchungaji, yeye ni General tena wa halali,POPOTE anapojitambulisha hilo neno General lazima liwemo maana ni HAKI yake.
Nje ya kazi zake, hicho cheo siyo lazima akiweke.

Au kuna sheria inayolazimisha hivyo?
 
That which is not forbidden is permitted.

However, context is everything.

Sioni kosa la Jenerali hapo.

Unless ni kosa tu katika maadili na miiko yako wewe binafsi, ambayo kimsingi, ni yanakuwa maoni yako tu.
The principle of separation of religion and state in a non religious state would forbid the callous parading and basic pimping of a non religious military rank in a religious book.

Separation of religion and state must not only be done, it must also appear to be done.
 
The principle of separation of religion and state in a non religious state would forbid the callous parading and basic pimping of a non religious military rank in a religious book.

Separation of religion and state must not only be done, it must also appear to be done.
Where is it forbidden? Where is it written that it is forbidden?
 
Huyo ni General mpaka anakufa atabaki kuwa General,huyo sio bwana, daktari,profesa au mchungaji, yeye ni General tena wa halali,POPOTE anapojitambulisha hilo neno General lazima liwemo maana ni HAKI yake.
Mimi najadili hoja ya separation of religion and state.

Wewe unaandika hagiography.

Hii ndiyo tofauti yetu.
 
Back
Top Bottom