Pongezi kwa CDF Jenerali Venance Salvatory Mabeyo

Pongezi kwa CDF Jenerali Venance Salvatory Mabeyo

Huyu CDF ameishia kusoma mzumbe tu hajaenda University?
Mkuu huyu lazima amesoma nje vyuo vikuu kozi za mambo ya kijeshi.
Inawezekana hakutaja kozi na vyuo kwa sababu maalum.

Kuna bandiko humu linasema alikuwa mtu wa intelijensia huko jeshini.

Zamani waseminari wengi walioshia kidato cha 6 walienda jeshini na baadaye kwenda kusoma ngazi ya shahada wakiwa kazini na hasa nchi kama Marekani.

Baadhi tunawajua ambao wamesoma Oklahoma nchini Marekani kwenye Military Academies kiwango cha University bachelor degree.
 
Where is it forbidden? Where is it written that it is forbidden?
The core idea of separation of religion and state.

What is this "where"? Are we not capable of investigating ideas logically?

Don't you see this sort of pimping military ranks religiously may create disillusions even if done innocuosly?
 
Mkuu huyu lazima amesoma nje vyuo vikuu kozi za mambo ya kijeshi.
Inawezekana hakutaja kozi na vyuo kwa sababu maalum.

Kuna bandiko humu linasema alikuwa mtu wa intelijensia huko jeshini.

Zamani waseminari wengi walioshia kidato cha 6 walienda jeshini na baadaye kwenda kusoma ngazi ya shahada wakiwa kazini na hasa nchi kama Marekani.

Hizo inawezekana inawezekana na hizo sababu maalum zibakie kuwa hisia au maoni yako tu.
 
Mimi najadili hoja ya separation of religion and state.

Wewe unaandika hagiography.

Hii ndiyo tofauti yetu.
Jeshi letu linaruhusu maafisa na askari wake kufuata imani yeyote wanayoamini,Gen Mabeyo ni mkristo,katika Ujenerali wake kaamua kumtukuza Kristo,Katika sheria zote za kijeshi hakuna sheria hata moja ambayo CDF amevunja kwa kufanya hivyo,kama una tatizo ni lako binafsi na katika hoja yako hauna mashiko.
 
The core idea of separation of religion and state.

What is this "where"? Are we not capable of investigating ideas logically?

Don't you see this sort of pimping military ranks religiously may create disillusions even if done innocuosly?
What he has done is not forbidden anywhere.

If it’s not forbidden, then it is permitted.

But you have the right to not like it.

He is not in contravention of any law, constitution, or profession[al] code of ethics.
 
The core idea of separation of religion and state.

What is this "where"? Are we not capable of investigating ideas logically?

Don't you see this sort of pimping military ranks religiously may create disillusions even if done innocuosly?

Mbona Mungu mwenyewe ni Jemedari Mkuu na Bwana wa Majeshi? Ushajiuliza ni majeshi yapi?

NB: Usiniulize lile swali lako kuhusu Mungu.
 
Kwani kukosoa kitu ambacho hukubaliani nacho ni lazima iwe kuchukia?
Sio lazima, lakini "unaonekana" hivyo,ninaweza kuwa sipo sawa pia...lakini nipo sawa kuonekana sipo sawa kuhusu wewe kuonekana hivyo.
 
Sio lazima, lakini "unaonekana" hivyo,ninaweza kuwa sipo sawa pia...lakini nipo sawa kuonekana sipo sawa kuhusu wewe kuonekana hivyo.
Ni wewe na ujinga na woga wako tu.

Ukiona mtu anakosoa kwa jinsi usivyokubali, unaona chuki tu.

Kwa sababu huna uwezo wa kufikiri zaidi ya hapo.
 
Jeshi letu linaruhusu maafisa na askari wake kufuata imani yeyote wanayoamini,Gen Mabeyo ni mkristo,katika Ujenerali wake kaamua kumtukuza Kristo,Katika sheria zote za kijeshi hakuna sheria hata moja ambayo CDF amevunja kwa kufanya hivyo,kama una tatizo ni lako binafsi na katika hoja yako hauna mashiko.
Kwani wapi nimesema jeshi haliruhusu maafisa wake kufuata imani wanayoitaka?

Jeshi linamruhusu Mabeyo kujamba ushuzi mkali kwenye gari iliyofungwa vioo?
 
Mbona Mungu mwenyewe ni Jemedari Mkuu na Bwana wa Majeshi? Ushajiuliza ni majeshi yapi?

NB: Usiniulize lile swali lako kuhusu Mungu.
Mungu mwenyewe ushaogopa kumuelezea, hivyo point yako umeiua mwenyewe.
 
What he has done is not forbidden anywhere.

If it’s not forbidden, then it is permitted.

But you have the right to not like it.

He is not in contravention of any law, constitution, or profession[al] code of ethics.
Hizo professional code of ethics za wanajeshi wa Tanzania umeziona wapi?

Ziweke hapa tuzichambue.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hizo professional code of ethics za wanajeshi wa Tanzania umeziona wapi?

Ziweke hapa tuzichambue.
Ungekuwa na uhalali hata wa kuona vitabu vya kijeshi vya sheria usingekuwa unaongea upuuzi unaongea.
 
Kwani wapi nimesema jeshi haliruhusu maafisa wake kufuata imani wanayoitaka?

Jeshi linamruhusu Mabeyo kujamba ushuzi mkali kwenye gari iliyofungwa vioo?
Unataka Mabeyo afanye unavyojisikia wewe kwenye kitabu chake binafsi?
Tujadili kwanza ushuzi wako unaoleta hapa jukwaani.
Unaweza ukawa unazunguka sana,lakini hoja yako haipo kwa Mabeyo,pengine ni hilo jina la Kristo kwenye hicho kitabu.
 
Unataka Mabeyo afanye unavyojisikia wewe kwenye kitabu chake binafsi?
Tujadili kwanza ushuzi wako unaoleta hapa jukwaani.
Unaweza ukawa unazunguka sana,lakini hoja yako haipo kwa Mabeyo,pengine ni hilo jina la Kristo kwenye hicho kitabu.
Wewe hujaelewa kwamba najadili principle, si ninachotaka mimi.

Jifunze kusoma kwa ufahamu kwanza.
 
Anachanganya kazi na dini inaweza kumletea matatizo.

U Jenerali ni cheo chake kikazi, habari za Kristo ni dini yake binafsi, kwa nini anaweka U Jenerali kwenye kitabu cha Kristo, habari za imani yake binafsi?

Kwani na yeye ni Jenerali wa jina kama Jenerali Ulimwengu?
Kwani Jenerali ulimwengu anasemaje kuhusu ili
 
Back
Top Bottom