Wewe wavimba macho wangewaka ile mbaya.Kuvaa hijabu imekuwa nongwa.Tusubiri Mama nae atoe cha kwake "Uislamu ndio Nguzo yangu" ili tuone cheche kama haziunguzi nyumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wavimba macho wangewaka ile mbaya.Kuvaa hijabu imekuwa nongwa.Tusubiri Mama nae atoe cha kwake "Uislamu ndio Nguzo yangu" ili tuone cheche kama haziunguzi nyumba.
Kwa hiyo hata huko mbinguni atafufuka akiwa JeneraliHuyo ni General mpaka anakufa atabaki kuwa General,huyo sio bwana, daktari,profesa au mchungaji, yeye ni General tena wa halali,POPOTE anapojitambulisha hilo neno General lazima liwemo maana ni HAKI yake.
Sina uwezo wa kuongelea mambo ya mbinguni.Kwa hiyo hata huko mbinguni atafufuka akiwa Jenerali
Unafiki ni ugonjwa.Mama Samia alipositisha kuongea na mama aliyemletea shida yake,wanafiki walifanya ni tukio kubwa.Ni kosa? Kama ni kosa, ni kosa kwa mujibu wa nini? Katiba? Sheria?
Imekatazwa wapi kufanya alichokifanya?
Mkuu ukiamuaga kuvuruga mada huwa unanikosha sana😆😁Hivyo ni vya Colombia au Mexico?
Hao ni wakuu wa majeshi? Majenerali?
Unaelewa Chaplain ni nini katika jeshi la Marekani?
Tanzania tuna Chaplain?
Kuna mtu kataja Yesu katika covers za hivyo vitabu?
Na wewe umeishia Udom tu haujaenda majuu?Huyu CDF ameishia kusoma mzumbe tu hajaenda University?
Halafu mtu anashindwa kujibu maswali, anakuambia una chuki!Mkuu ukiamuaga kuvuruga mada huwa unanikosha sana[emoji38][emoji16]
Hapa Uzi utatembea Kwa ajili ya hizi critics na wenye mihemko watademka!
Ni kama mwalimu, hata akistaafu anabaki kuwa mwalimu tuNje ya kazi zake, hicho cheo siyo lazima akiweke.
Au kuna sheria inayolazimisha hivyo?
Hata Mungu ni wa majeshi!Anachanganya kazi na dini inaweza kumletea matatizo.
U Jenerali ni cheo chake kikazi, habari za Kristo ni dini yake binafsi, kwa nini anaweka U Jenerali kwenye kitabu cha Kristo, habari za imani yake binafsi?
Kwani na yeye ni Jenerali wa jina kama Jenerali Ulimwengu?
Vyeo vyao ni vya maisha hata akifariki ataandikwa jina kwa cheo chake kwenye msalaba na kaburi. Yaani maofisa wote inakuwa hivyo. Hivyo hata kanisani ataitwa hivyo.Anachanganya kazi na dini inaweza kumletea matatizo.
U Jenerali ni cheo chake kikazi, habari za Kristo ni dini yake binafsi, kwa nini anaweka U Jenerali kwenye kitabu cha Kristo, habari za imani yake binafsi?
Kwani na yeye ni Jenerali wa jina kama Jenerali Ulimwengu?
Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo kweli na habari za kuwepo kwake si changa la macho tu?Hata Mungu ni wa majeshi!
Kwani nani kasema cheo si cha maisha?Vyeo vyao ni vya maisha hata akifariki ataandikwa jina kwa cheo chake kwenye msalaba na kaburi. Yaani maofisa wote inakuwa hivyo. Hivyo hata kanisani ataitwa hivyo.
Hoja kwamba yule si Jenerali.Ni kama mwalimu, hata akistaafu anabaki kuwa mwalimu tu
Sijasoma vyuo vyenu vya majalalaniNa wewe umeishia Udom tu haujaenda majuu?
Alhaji sio cheo cha kidini.Maana yake ni mhujaji yaani mtu aliyekwenda kuhiji Makka.Siyo Kosa Kwa CDF kuandika kitabu Kumhusu Bwana Yesu Kristo
Kwa Maana hata Siku anaapa alishika Biblia na kuapa akisema Ee mwenyezi Mungu nisaidie
Kwa Maana nyingine kupitia kiapo chake alikiri Kuhitaji na kutegemea Msaada wa Mungu ambaye Biblia Ni kitabu chake yaani Kristo.
Kama ambavyo hata Waislamu wamekuwa wakifanya...
Na Siyo Mara ya Kwaza kwani Hata Raisi Alhaj Alli Hassan Mwinyi Neno 'Alhaj' Ni Cheo Cha Heshima Ambacho Ni Cha kidini.
Nimeshindwa hata kumshangaa kwakweliKachanganyaje dini na kazi hapo?
Kalazimisha subordinates wake wakinunue hicho kitabu chake?
Just Kiranga being Kiranga 🤣Nimeshindwa hata kumshangaa kwakweli
Tatizo ni uelewa, rais akiingia kanisani au msikitini anaugua urais kwanza? Jenerali kaandika kitabu kuhusu dini yake, tatizo si yeye bali ni nyieHoja kwamba yule si Jenerali.
Hoja katumia cheo cha Ujenerali kwenye kitabu cha dini.
Anachanganya Ujenerali na dini.