Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Dkt.gwajima Asante kwa ufafanuzi wako. Umefanya kazi nzurii unastahili pongezi kwa kweli.Ni sawa na mimi uniletee changamoto hapa ya kijamii nikuambie kuwa, kwa nini huko uliko hujashirikisha mtendaji wako wa serikali za mtaa wako wakati hilo jambo ni la dharura na mimi nipo hapo kwenye access yako. Mfano mtoa taarifa ningemwambia wewe mtafute waziri wa mambo ya Ndani mwenye trafiki kisha mtafute wa Tamisemi mwenye wakuu wa mikoa halafu mtafute na wa uchukuzi? Hapo ndiyo tunaokoa mtoto na dharura zake?
Nimesema, nilipopokea hilo jambo, nilimtafuta kwanza mkuu wa mkoa, ningemkosa ningeshuka chini kwa mkuu wa wilaya. Bahati nzuri mkuu wa mkoa alikuwa ziara nzega, na si ajabu walikuwa wote na mkuu wake wa wilaya, ndiyo wakaenda hapo.
Ni sawa na kuuliza mfano ningemtafuta mkuu wa wilaya Bahatu nzuri nikampata, si ungejiuliza mbona hakuanza na mkuu wa mkoa?
Unaweza kuteremsha mguu ngazi ya nne chini kabla ya walau kukanyaga ya tatu? Uongozi ni itifaki na pia kuna mazingira ya dharura ambapo itifaki hukaa pembeni kwanza kutegemeana na scene. Sawa au kuna swali bado ndugu yangu🇹🇿
Hongeraaaa sanaa kwa kuwepo humu jukwaani bila kificho na umekua msaada kwa wengi 🇹🇿