Pongezi kwa Raia Mwema (Mtoa Taarifa) na Mkuu wa Mkoa wa Tabora

Hongera sana Mheshimiwa.huna makuu wala baya na mtu.wewe ni kazi tu. Kagombee ubunge Mwakani tuje kukupigia kampeni bure kabisa .
Shida yako wewe ni uchawa na kulamba viatu. Toa hoja yenye kujenga badala ya kuwa 🥾👅 bootlicker muda wote. TAIFA letu linachelewa kupiga hatua Kwa sababu ya kuendekeza uchawa badala ya weledi
 
Pamoja na kwenda shule,
Pamoja na kuwa na cheo kikubwa,
Pamoja na kuwa mtu "mkubwa"
Haujausahau wito wako wa "umama"
Hongera sana Dk. Gwajima G.
Hii ndiyo Tanzania tuitakayo!
 
Chacha tunampongeza kivipi? Yaani anapongezwa mtu kwa kutimiza wajibu wake, tena kwa issue kama hiyo ambayo ilitakiwa imalizwe na trafiki tu
Kwamba alitoka Tabora kwenda Nzega(km 120) kwa ajili hiyo au issue ilimkuta akiwa Nzega?
Acha kujiaibisha
 
Issue ndogo saana hiyo, ilifaa kumalizwa na trafiki huko barabarani... Mnakaa mnasifiaaana, mnapeana pongezi, utafikiri labda mmezuia kitu gani labda.
Hujambo? Sasa kama haikumalizwa huko iliko na ikafika kwa mwingine, naye asiimalize? Na kama katika kumaliza huko umetumika utaratibu ambao ni WA kujiongeza, watu wasipewe maua yao? Maana kuna hard infrastructure na kuna soft infrastructure. Kuwepo kwa miundo mbinu migumu bila laini kufanya kazi siku zote ni mtihani..... Wanastahili PONGEZI maana wangeweza pia kuamua liende kwenye huo utaratibu mwingine ingekuwa dakika tu chache mtoto ashushwe mahali ambapo, mimi na wewe tusingejua mengi. Naendelea kuwapongeza mimi ambaye niliiona hiyo hatari.....

Ukipiga mpira dakika za majeruhi mfano dakika ya 85 ukafunga mawili ya haraka haraka hupongezi?

Hujambo lakini huko uliko 🥹🇹🇿
 
Wazuie matukio ya utekaji kwa uharaka kama huo pia.
 
Trafiki wawajibishwe.....pia dereva na konda wawajibishwe bila kusahau kisbo company...

Hao wote walikuwa kwenye mfereji wa hyo biashara haramu.

Yaani fimbo ya mbali ije iue nyoka wakati fimbo za karibu zipo....wachukuliwe hatua hao iwe fundisho
 
Asante sana Muheshimiwa ubarikiwe sana kwa kazi nzuri kwa watanzania wenzako,Mungu akutangulie kwa kila jambo, na Mkuu wa Mkoa Tabora namuamini sana na namkubali,yuko very active kwenye kuhudumia watanzania, safi sana nae Mungu amtangulie kwa kila jambo!![emoji1431]
 
namba alipata wapi uyo mwamba.
 
Chacha tunampongeza kivipi? Yaani anapongezwa mtu kwa kutimiza wajibu wake, tena kwa issue kama hiyo ambayo ilitakiwa imalizwe na trafiki tu
Kwamba alitoka Tabora kwenda Nzega(km 120) kwa ajili hiyo au issue ilimkuta akiwa Nzega?
Achaa kina Chacha waingie site,huko chini kumeoza,bila ya wakubwa kushuka huku chini watu wengi watakua wanaumizwa sana bila kupata mtetezi!!
 
Hao wadogo wengine hawana unajisi wowote
Ni muhimu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…