Msihofu, hizo dharau za singlemoms ziko hapa tu JF na sio uhalisia wa mtaani
 
Exactly. Binafsi Nilishaomba msamaha kwa Mungu kwa mimba nilizosababisha na kuzichoropoa.

mtu anaponda single mom na bado hajaoa 🤣🤣 siku anaoa anaoa single mom
Kuna jamaa humu aliomba msamaha alikuwa anaponda single mom m I
 
Exactly. Binafsi Nilishaomba msamaha kwa Mungu kwa mimba nilizosababisha na kuzichoropoa.

mtu anaponda single mom na bado hajaoa 🤣🤣 siku anaoa anaoa single mom
Kuna jamaa humu aliomba msamaha alikuwa anaponda single mom mara akaoa alokuwa akiponda
 
Kumbe ww ni single mom?
 
Hawana hela wanamalizia stress Jf

ukiona mwanaume anaongea ongea sana jua tu hana hela or ni kibamia
 
Mmmh kwa fegi hiyo hapo kwa avatar lazima tuogope[emoji3][emoji3] jokes tu
 
Mlipaswa mulijuwe hilo zamani tu ila niseme bado hamjachelewa.

Nimefurahia uzi wako mana kikawaida huwa sipendi watu wenye tabia ya kuwadharau wanawake.
Sijakuelewa kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…